Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
KAMA WAMESTAAFU MAANA YAKE HAWATAKIWI NA SERIKALI NA WAMEKWISHA EXPIRE WASUBIRI KUPUMZIKA KWA AMANI.
 
Haya majibwa mazeee,yanataka kuombwa ushauri kwa lipi la upekee waliofsnya wakati wakiwa viongozi?

Watu waache kwenda kwa Warioba,Ana Makinda,Msuya kuomba ushauri waje waombe kwa nyie mbwa kasoro mikia,

Jeshi lenu linanuka Rushwa,uonevu,kesi za kumbambikiwa kibao,jeshi linatumika kisiasa.
 
Mnoooo . Watulie ni wakati wa kuisogelea foleni ya kuhesabiwa.

Hapo ndio napompendea Mungu, fanya ubabe , dhulma na uonevu lakini muda utafika utasinyaa na kuzeeka nguvu zitaisha. Vyeo na mamlaka vitakaliwa na wengine wale waliokuwa wanyonge na watu wa kawaida ambao walikuaa hawaruhusiwi na ma-ps kumfikia mwenye mamlaka ndio watarudi kuwa rafiki na jirani wa kweli. Wenye mamlaka wa wakati huo huja msibani kusaini kitabu na pole ya vijipesa na kuwahi kuondoka wakisema wanamajukumu mengi na misiba huachiwa wasio na lolote na ndio wanamsitiri marehemu aliyekuwa na kibri kwa hao wanyonge.

Hili ni fumbo kubwa sana la Imani.

Watulie hao makamishna
Akina mambosasa wanaviiimba kweli sasa

Ngoja wastaafu nobody will give a damn about them

Watasandaaa!!
 
Mbona kama wamechanganyikiwa vile. Kutangaza utalii? Kutangaza utalii sio lelemama na unahitaji pesa pamoja na kufahamu kutumia technology ya hali ya juu hivi sasa. Je, wanaweza kufanya advert pamoja na matangazo kwenye prime TV stations pamoja na radio around the world?

Sio kazi rahisi ingawa unaweza kufanikisha hilo kama una connection na nchi ambazo unafanya target. Can they do that job? What about our embassies? They need to be serious and stop the bandwagon of trying to be seen that they matter while during their time they never served the people.
 
Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Tangu lini mhuni akawa mshauri?!
 
Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Wauaji kama Mahita ndiyo watumike kama washauri? Kweli nchi imeishiwa busara hii
 
Mbona kama wamechanganyikiwa vile. Kutangaza utalii? Kutangaza utalii sio lelemama na unahitaji pesa pamoja na kufahamu kutumia technology ya hali ya juu hivi sasa. Je, wanaweza kufanya advert pamoja na matangazo kwenye prime TV stations pamoja na radio around the world? Sio kazi rahisi ingawa unaweza kufanikisha hilo kama una connection na nchi ambazo unafanya target. Can they do that job? What about our embassies? They need to be serious and stop the bandwagon of trying to be seen that they matter while during their time they never served the people.

Waingie YouTube, waanzishe online TV , website, blogs n.k wajitangaze na dunia ikiwaona wapo vizuri watapata dili kibao iwe za Ubalozi wa kijamii au ushauri (consultancy) masuala ya ulinzi na usalama kimataifa / ndani ya nchi n.k, ingawa wao walikuwa mstari wa mbele kutetea sheria gandamizi za kusajili akaunti youtube, blogs, tovuti, kikonyo dot.co.tz kwa gharama kubwa na kubinya uhuru.
 
Naungana na wachangiaji waliopita kua ndugu ma kamishna mliostaafu kama mnapita hapa basi mjue kwamba hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuja kuomba ushauri kutoka kwenu

Kama njaa imewapiga tafuteni mashamba huko vijijini kwenu mlime.
 
Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Wanawashwawashwa hao
 
Naungana na wachangiaji waliopita kua ndugu ma kamishna mliostaafu kama mnapita hapa basi mjue kwamba hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuja kuomba ushauri kutoka kwenu

Kama njaa imewapiga tafuteni mashamba huko vijijini kwenu mlime.
Tena nawashauri walime Korosho, Magu atanunua zote kupitia Jeshi.
 
Back
Top Bottom