Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Mbona kama wamechanganyikiwa vile. Kutangaza utalii? Kutangaza utalii sio lelemama na unahitaji pesa pamoja na kufahamu kutumia technology ya hali ya juu hivi sasa. Je, wanaweza kufanya advert pamoja na matangazo kwenye prime TV stations pamoja na radio around the world?

Sio kazi rahisi ingawa unaweza kufanikisha hilo kama una connection na nchi ambazo unafanya target. Can they do that job? What about our embassies? They need to be serious and stop the bandwagon of trying to be seen that they matter while during their time they never served the people.
Huenda wao wenyewe ni vivutio vya utalii mkuu.
 
Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Nashauri waendelee kutumiwa walikokuwa wakitumiwa miaka yote.
 
Wakaombe walishauri kundi la watu wasiojulikana maana hao ndio wanahitaji ushauri wa kidhalimu. Jamii haihitaji ushauri wao. Huyo anayesema atoe ushauri wa utalii, hakuna ushauri wa utalii unatolewa na wazee.
Lah salalee!
Kweli dunia ni duara!
 
Wakakae huko iwatumie nini wakati kutwa wananchi kuwalalalkia, wakashauri familia zao
 
Waunde kikundi kama sungusungu, wajiajiri wafungue mashamba walime zamu kwa kila shamba, tena korosho jiwe atanunua zote, watuache wataharibu huko maana si kwa ubambikiaji wa kesi lazima wataharibu tu
 
Waanzishe security consultancy firms.

Ni wakati sasa private investigators watambulike kisheria , ingawa sheria imetaja tu kuwa DPP anaweza ruhusu private investigator kufanya kazi ila kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi.
 
Waanzishe security consultancy firms.

Ni wakati sasa private investigators watambulike kisheria , ingawa sheria imetaja tu kuwa DPP anaweza ruhusu private investigator kufanya kazi ila kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi.
Mbona wengi wao wanakuwaga nazo sema zinakufiaa njiani

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mbona wengi wao wanakuwaga nazo sema zinakufiaa njiani

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nadhani umeiona point nyingine hapo ya private Investigators , hii inaweza saidia Sana kwenye baadhi ya mambo.

Naelewa kwamba ili kuwa na security company moja ya kigezo ni kuwa mmojawapo wa wamiliki lazima awe na background ya maswala ya kiusalama.

Ila nililenga uhitaji wa uwepo wa private investigators.
 
Nadhani umeiona point nyingine hapo ya private Investigators , hii inaweza saidia Sana kwenye baadhi ya mambo.

Naelewa kwamba ili kuwa na security company moja ya kigezo ni kuwa mmojawapo wa wamiliki lazima awe na background ya maswala ya kiusalama.

Ila nililenga uhitaji wa uwepo wa private investigators.
Hivi bongo wapo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.

Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.

Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.

Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Zinatafutwa teuzi.
 
Waanzishe security consultancy firms.

Ni wakati sasa private investigators watambulike kisheria , ingawa sheria imetaja tu kuwa DPP anaweza ruhusu private investigator kufanya kazi ila kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi.
Changamoto tunayokumbana nayo. Ni ukilitimba ulio kwea kiwango
 
Nimepitia Mchango Wa Member Mmoja Mmoja
Nimegundua Jambo Kubwa Sana, Usiombe
Jamii Kukukataa, Watu Hawana Hamu Yoyote

Ndiyo Maana Vijana Wa Sasa Hivi Baadhi Hawapendi Kujulikana Wanafanya Kazi Wapi,Ili Kuepuka Kukataliwa Na Jamii
 
Back
Top Bottom