Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

KAMA WAMESTAAFU MAANA YAKE HAWATAKIWI NA SERIKALI NA WAMEKWISHA EXPIRE WASUBIRI KUPUMZIKA KWA AMANI.
 
Haya majibwa mazeee,yanataka kuombwa ushauri kwa lipi la upekee waliofsnya wakati wakiwa viongozi?

Watu waache kwenda kwa Warioba,Ana Makinda,Msuya kuomba ushauri waje waombe kwa nyie mbwa kasoro mikia,

Jeshi lenu linanuka Rushwa,uonevu,kesi za kumbambikiwa kibao,jeshi linatumika kisiasa.
 
Akina mambosasa wanaviiimba kweli sasa

Ngoja wastaafu nobody will give a damn about them

Watasandaaa!!
 
Mbona kama wamechanganyikiwa vile. Kutangaza utalii? Kutangaza utalii sio lelemama na unahitaji pesa pamoja na kufahamu kutumia technology ya hali ya juu hivi sasa. Je, wanaweza kufanya advert pamoja na matangazo kwenye prime TV stations pamoja na radio around the world?

Sio kazi rahisi ingawa unaweza kufanikisha hilo kama una connection na nchi ambazo unafanya target. Can they do that job? What about our embassies? They need to be serious and stop the bandwagon of trying to be seen that they matter while during their time they never served the people.
 
Tangu lini mhuni akawa mshauri?!
 
Wauaji kama Mahita ndiyo watumike kama washauri? Kweli nchi imeishiwa busara hii
 

Waingie YouTube, waanzishe online TV , website, blogs n.k wajitangaze na dunia ikiwaona wapo vizuri watapata dili kibao iwe za Ubalozi wa kijamii au ushauri (consultancy) masuala ya ulinzi na usalama kimataifa / ndani ya nchi n.k, ingawa wao walikuwa mstari wa mbele kutetea sheria gandamizi za kusajili akaunti youtube, blogs, tovuti, kikonyo dot.co.tz kwa gharama kubwa na kubinya uhuru.
 
Naungana na wachangiaji waliopita kua ndugu ma kamishna mliostaafu kama mnapita hapa basi mjue kwamba hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuja kuomba ushauri kutoka kwenu

Kama njaa imewapiga tafuteni mashamba huko vijijini kwenu mlime.
 
Wanawashwawashwa hao
 
Naungana na wachangiaji waliopita kua ndugu ma kamishna mliostaafu kama mnapita hapa basi mjue kwamba hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuja kuomba ushauri kutoka kwenu

Kama njaa imewapiga tafuteni mashamba huko vijijini kwenu mlime.
Tena nawashauri walime Korosho, Magu atanunua zote kupitia Jeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…