Huenda wao wenyewe ni vivutio vya utalii mkuu.Mbona kama wamechanganyikiwa vile. Kutangaza utalii? Kutangaza utalii sio lelemama na unahitaji pesa pamoja na kufahamu kutumia technology ya hali ya juu hivi sasa. Je, wanaweza kufanya advert pamoja na matangazo kwenye prime TV stations pamoja na radio around the world?
Sio kazi rahisi ingawa unaweza kufanikisha hilo kama una connection na nchi ambazo unafanya target. Can they do that job? What about our embassies? They need to be serious and stop the bandwagon of trying to be seen that they matter while during their time they never served the people.
Nashauri waendelee kutumiwa walikokuwa wakitumiwa miaka yote.Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.
Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.
Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.
Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Lah salalee!Wakaombe walishauri kundi la watu wasiojulikana maana hao ndio wanahitaji ushauri wa kidhalimu. Jamii haihitaji ushauri wao. Huyo anayesema atoe ushauri wa utalii, hakuna ushauri wa utalii unatolewa na wazee.
Hiyo team haina hata vifaa nayo ni team kweli!Nasikia Kova ana team ya uwokowaaji kwenye Majanga, ndiyo anayoiongoza kwa Sasa!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mbona wengi wao wanakuwaga nazo sema zinakufiaa njianiWaanzishe security consultancy firms.
Ni wakati sasa private investigators watambulike kisheria , ingawa sheria imetaja tu kuwa DPP anaweza ruhusu private investigator kufanya kazi ila kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi.
Nadhani umeiona point nyingine hapo ya private Investigators , hii inaweza saidia Sana kwenye baadhi ya mambo.Mbona wengi wao wanakuwaga nazo sema zinakufiaa njiani
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hivi bongo wapoNadhani umeiona point nyingine hapo ya private Investigators , hii inaweza saidia Sana kwenye baadhi ya mambo.
Naelewa kwamba ili kuwa na security company moja ya kigezo ni kuwa mmojawapo wa wamiliki lazima awe na background ya maswala ya kiusalama.
Ila nililenga uhitaji wa uwepo wa private investigators.
Umemsahau yule alhaj wa Morogoro wa visu vya CUF! Eti naye alitaka kugombea ubunge Moro!Hivi mtu bogus kama Kova au Chegonja wanaweza kuishauri nin jamii ikawaelewa?
Umemsahau yule alhaj wa Morogoro wa visu vya CUF! Eti naye alitaka kugombea ubunge Moro!Hivi mtu bogus kama Kova au Chegonja wanaweza kuishauri nin jamii ikawaelewa?
Zinatafutwa teuzi.Makamishna wastaafu wa jeshi la polisi wamesema kupitia umoja wao wako tayari kuitumikia jamii kwa kutoa ushauri na kutumia elimu yao kuisaidia jamii.
Kamishna mstaafu Mohamed Mpinga amesema jamii isisite kuwaendea kwa ushauri popote walipo.
Naye kamishna mstaafu Jamal Rwambo ameiomba serikali iwatumie katika kuutangaza utalii wa nchi yetu.
Umoja wa makamishna wastaafu wa jeshi la polisi ulitembelea familia ya hayati Moringe Sokoine na kuzuru kaburi lake.
Source Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa..... Umeambiwa ni wastaafu bwashee!Zinatafutwa teuzi.
Changamoto tunayokumbana nayo. Ni ukilitimba ulio kwea kiwangoWaanzishe security consultancy firms.
Ni wakati sasa private investigators watambulike kisheria , ingawa sheria imetaja tu kuwa DPP anaweza ruhusu private investigator kufanya kazi ila kuna umuhimu wa kwenda mbali zaidi.
πππ hapo hamna ushauri labda connection tuHaya sasa kachukue ushauri mwamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuhani Noah
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa....... eti connection!πππ hapo hamna ushauri labda connection tu