Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

In Kenya the govt does not issue vendettas in the public, rarely will you find a minister talking of how they will treat a neighbor state..
things are decided in cabinet meetings and other high level meetings..

So what is done on the ground is what was agreed officially.

Forget about the PR...na hapo ndiyo WaTanzania wanapotoshwa, Magufuli na viongozi wa TZ ni kutupa maneno wafurahishe watu kwenye media...

Rais mzima anasimama kujigamba eti amepigiwa simu na rais mwingine, ili wananchi wamwone ana nguvu?
Border tension resurfaces...as Tanzanian truckers are blocked from crossing into Kenya
 
Soko la bidhaa gani ambalo Tanzania hutegemea Kenya ukiacha vyakula ambavyo vinahitajika na nchi Jirani kuliko uwezo wetu wa kuzalisha?. Zimbabwe na Msumbiji pekee wanahitaji mahindi na mchele kuliko uwezo wetu wa kuwatimizia.

Biashara kati ya Kenya na Tanzania jumla haizidi $500M kwa mwaka, Tanzania tunawauzia bidhaa za $270M, wakati biashara na nchi za SADC tunauza bidhaa za $740M, nani kasema Tanzania tunahitaji Kenya.

Kenya haina bidhaa zozote muhimu inayouza kwa Tanzania zaidi ya Sigara, Sabuni, mafuta ya kula na maziwa, bidhaa ambazo zote tunazitengeneza hapa nchini na tunajitoshekeza, tukipungukiwa tunaagiza toka majirani wetu wa kusini.
Acha kuropoka ropoka. Ushawahi kuishi mpakani? Au basi hujui jamii z mipakani zinapata adha gni
 
Tatizo lenu wakenya ni kwamba mpo na matatizo ya siasa zenu za ndani "internal politics", nchi yenu imepoteza mwelekeo kutokana na makundi yanayotaka urais wa 2022, sasa matatizo yenu hayo yanasababisha kutokuwepo na utii wa amri zinazotolewa na viongozi wenu.

Haiwezikani Uhuru Kenyatta anajitahidi kutafuta suluhisho la mgogoro wa mpaka wa Kenya na Tanzania, tena kwa kujishusha kwa kumpigia magoti Magufuli, James Macharia anatoa maelekezo kwamba kila dereva atapimwa nchini kwao, watendaji wa chini wanafanya tofauti na amri ya waziri Macharia, huko ni kukosa nidhamu.
Kwani Tanzania Hakuna matatizo ya kisiasa?

Hivi watanzania tunekuwaje siku hizi. Tupo Kama vichaa. Alieturoga ukute ameshakufa.
 
Acha kuropoka ropoka. Ushawahi kuishi mpakani? Au basi hujui jamii z mipakani zinapata adha gni
Kuna mitanzania mienzetu ipo Kama vichaa kila sehemu inaweka siasa haijui watanzania wa mipakani wanapata vipi shida ... Ukute lenyewe linaishi Tandale halijui adha ya sisi tunaoishi mipakani. Jinga kweli Hilo chizi
 
Huu ndio ujinga wenu, ninyi ni wapumbavu sana. Juzi mawaziri wa uchukuzi wa Kenya na Tanzania walikutana pale Namanga, wakatoka na maazimio ya pamoja waliyokubaliana katika MoU waliyokubaliana, wakazungumza na vyombo vya habari kuitangazia dunia na wananchi wa hizi nchi mbili yaliye yaliyokubalika ili kumaliza mgogo uliokuwepo, unasema ile ilikua ni PR?, ninyi wakenya ni wapumbavu kuliko maelezo.
Nyinyi mnapenda mbwembwe tu.. Ili wananchi wenu waone viongozi ni simba.
Ni Sawa. Mawaziri watakutana, picha xichukuliwe kuwafurahisha mlivyo ikalia Kenya, lakini mwisho ni hapo.. Mipango yetu inasonga mbele
 
Tafuta mzee yeyote akuelimishe kuhusu umaskini uliokuwepo Tanzania kipindi cha Nyerere na sera zake, wengi walipitia mateso makubwa na mpaka leo hamjapona kabisa, Kenya ndio mshirika mkubwa wa Tanzania likija kwenye suala la biashara baina yenu na mataifa majirani. Siku tukifungiana kabisa mtarudi nyuma mpaka mjihurumie.
Tunachokitegemea kikubwa kutoka kwenu ni mazao ya shambani, kitu ambacho kwa jeuri ya hela zetu tunawaeza tukaagiza kwingine, ila nyie mtakosa soko na kukoma umaskini ukizingatia hata sasa nyie bado maskini wa kutupwa, sasa ukija kuongeza umaskini mwingine wa kukosa soko, ndio mtalia kwa kusaga meno.
Unajidanganya,swala la soko,sisi tumezungukwa na nchi zaidi ya 7! Na ni wanachama wa SADC,hatutegemei EAC kwa kiasi kikubwa kama nyinyi, tunauza mazao yetu hadi Zimbabwe, pia tutatumia hayo mazao wenyewe kwa sababu sisi ni wengi.kuteseka kwa WTZ kipindi cha Nyerere haikutokana na kufungwa mpaka na Kenya,ilitokana na Sera iliyokuepo,vita ya Uganda, ukame n.k,acha upotoshaji.Hayo mawazo ya enzi ya Nyerere ndio bado mko Nayo mpaka sasa kuhusu TZ! Mmekosea.
 
Unajidanganya,swala la soko,sisi tumezungukwa na nchi zaidi ya 7! Na ni wanachama wa SADC,hatutegemei EAC kwa kiasi kikubwa kama nyinyi, tunauza mazao yetu hadi Zimbabwe, pia tutatumia hayo mazao wenyewe kwa sababu sisi ni wengi.kuteseka kwa WTZ kipindi cha Nyerere haikutokana na kufungwa mpaka na Kenya,ilitokana na Sera iliyokuepo,vita ya Uganda, ukame n.k,acha upotoshaji.Hayo mawazo ya enzi ya Nyerere ndio bado mko Nayo mpaka sasa kuhusu TZ! Mmekosea.

Jadili kitakwimu kama mtaalam wacha ngonjera, hao wote mliozungukwa nao ni maskini kama mlivyo, Kenya tu ndiye tajiri anayewapa biashara ya maana.
 
Mimi ni mtanzania ila nakiri kwa hili tunakosea Sana sijui viongozi wetu wana Nia gani na sisi. Wanashindwa vipi kuendana na guidelines za WHO
Who hawahaminiki hata marekani wamewatenga, wameshindwa kutoa alert ugonjwa ulipoa anzia waje waifunge dunia huo ni upuuzi. Walisema June maiti zitatapakaa wewe umeona maiti wapi?
 
Lockdown, WHO guidelines, barakoa na mambo mengine vinafanya kazi au kuzingatiwa wakati huu huko Marekani? Ile mikusanyiko ya maandamano kuna watu wanazingatia hizo tahadhari? Takwimu za maambukizi na vifo zikoje kwa sasa?

Huu ugonjwa umezidiwa sana na siasa kuliko athari zake kiuhalisia.
 
Unajidanganya,swala la soko,sisi tumezungukwa na nchi zaidi ya 7! Na ni wanachama wa SADC,hatutegemei EAC kwa kiasi kikubwa kama nyinyi, tunauza mazao yetu hadi Zimbabwe, pia tutatumia hayo mazao wenyewe kwa sababu sisi ni wengi.kuteseka kwa WTZ kipindi cha Nyerere haikutokana na kufungwa mpaka na Kenya,ilitokana na Sera iliyokuepo,vita ya Uganda, ukame n.k,acha upotoshaji.Hayo mawazo ya enzi ya Nyerere ndio bado mko Nayo mpaka sasa kuhusu TZ! Mmekosea.
Kwa hio jamaa ambayo ipo mpakani na kenya iende adi mpaka wa malawi kufanya biashara?
Mataga huna akili
 
Yaan waajir madereva wa pande zote mbil alafu walipwe na nchi zao au vip, yaan kaz ya kufanywa na mtu mmoja uajir watu wawil??
 
Kuna mitanzania mienzetu ipo Kama vichaa kila sehemu inaweka siasa haijui watanzania wa mipakani wanapata vipi shida ... Ukute lenyewe linaishi Tandale halijui adha ya sisi tunaoishi mipakani. Jinga kweli Hilo chizi
Wanapata shida gani? Tuanzie apo kwanza..
 
Kenya hawawezi kuhimili kufunga mipaka na Tanzania hata kwa wiki moja, sasa hivi uchumi wa Kenya unaitegemea Tanzania kuliko wakati wowote ule.

Tatizo la Kenya ni kukosekana kwa nidhani na utawala wa pamoja. Viongozi wao wakuu wanatoa maelekezo, lakini watendaji wanafanya tofauti. Haiwezikani rais wa nchi anajaribu kusuluhisha, waziri anatoa maelekezo lakini watendaji wanafanya kinyume chake.

Unaweza kuona jinsi ambavyo hata uongozi wa Ikulu ulivyoparagantika, rais na naibu wake hawaelewani kiasi cha rais kupokonya mamlaka ya ofisi wa Naibu wake na kuyaweka katika utendaji wake ili kujaribu kurudisha utii. Imefikia hatua rais na naibu wake kila mtu ana kundi lake na watumishi wake.
Acha basi nawee kuongea sana mpaka mate yana kuruka usije kutuambukiza korona bure na barakoa yenyewe hujavaa

Hapa tz ni mara ngap tunaona maguful akipishana na mawazir au wataalam.
 
Kwani zile 1.5 trn zilipigwa na nani vile mkuu, sema sikumbuki kuhusu dowans na dada zake
Na ukabila pia unachangia government kuwa dismantled, Kenya wamekosa moral and order yaani kila mtu kambale

Yule Mike sonko pamoja na kufanya ufisadi wa kutisha lakini bado karudishwa offisini na anaenda mpaka ikulu hahaha kweli kuna nchi zililaanika
 
so wakulima wa vitungu wa singida wanaendaga namanga kufanya biashara?
Acha kutumia makalio kufikiri na atari kwa afya ya akili yako
Mataga hivi unaelewa kinachoongelewa au unapanua makalio tu hapa ili kia mtu akusikie
 
Jadili kitakwimu kama mtaalam wacha ngonjera, hao wote mliozungukwa nao ni maskini kama mlivyo, Kenya tu ndiye tajiri anayewapa biashara ya maana.
nyie mlikua wanyonyaji kwa wakulima wetu na mwisho wa hayo ndo ushafika
 
Back
Top Bottom