joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Border tension resurfaces...as Tanzanian truckers are blocked from crossing into KenyaIn Kenya the govt does not issue vendettas in the public, rarely will you find a minister talking of how they will treat a neighbor state..
things are decided in cabinet meetings and other high level meetings..
So what is done on the ground is what was agreed officially.
Forget about the PR...na hapo ndiyo WaTanzania wanapotoshwa, Magufuli na viongozi wa TZ ni kutupa maneno wafurahishe watu kwenye media...
Rais mzima anasimama kujigamba eti amepigiwa simu na rais mwingine, ili wananchi wamwone ana nguvu?