Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Border tension resurfaces...as Tanzanian truckers are blocked from crossing into Kenya
 
Acha kuropoka ropoka. Ushawahi kuishi mpakani? Au basi hujui jamii z mipakani zinapata adha gni
 
Kwani Tanzania Hakuna matatizo ya kisiasa?

Hivi watanzania tunekuwaje siku hizi. Tupo Kama vichaa. Alieturoga ukute ameshakufa.
 
Acha kuropoka ropoka. Ushawahi kuishi mpakani? Au basi hujui jamii z mipakani zinapata adha gni
Kuna mitanzania mienzetu ipo Kama vichaa kila sehemu inaweka siasa haijui watanzania wa mipakani wanapata vipi shida ... Ukute lenyewe linaishi Tandale halijui adha ya sisi tunaoishi mipakani. Jinga kweli Hilo chizi
 
Nyinyi mnapenda mbwembwe tu.. Ili wananchi wenu waone viongozi ni simba.
Ni Sawa. Mawaziri watakutana, picha xichukuliwe kuwafurahisha mlivyo ikalia Kenya, lakini mwisho ni hapo.. Mipango yetu inasonga mbele
 
Unajidanganya,swala la soko,sisi tumezungukwa na nchi zaidi ya 7! Na ni wanachama wa SADC,hatutegemei EAC kwa kiasi kikubwa kama nyinyi, tunauza mazao yetu hadi Zimbabwe, pia tutatumia hayo mazao wenyewe kwa sababu sisi ni wengi.kuteseka kwa WTZ kipindi cha Nyerere haikutokana na kufungwa mpaka na Kenya,ilitokana na Sera iliyokuepo,vita ya Uganda, ukame n.k,acha upotoshaji.Hayo mawazo ya enzi ya Nyerere ndio bado mko Nayo mpaka sasa kuhusu TZ! Mmekosea.
 

Jadili kitakwimu kama mtaalam wacha ngonjera, hao wote mliozungukwa nao ni maskini kama mlivyo, Kenya tu ndiye tajiri anayewapa biashara ya maana.
 
Mimi ni mtanzania ila nakiri kwa hili tunakosea Sana sijui viongozi wetu wana Nia gani na sisi. Wanashindwa vipi kuendana na guidelines za WHO
Who hawahaminiki hata marekani wamewatenga, wameshindwa kutoa alert ugonjwa ulipoa anzia waje waifunge dunia huo ni upuuzi. Walisema June maiti zitatapakaa wewe umeona maiti wapi?
 
Lockdown, WHO guidelines, barakoa na mambo mengine vinafanya kazi au kuzingatiwa wakati huu huko Marekani? Ile mikusanyiko ya maandamano kuna watu wanazingatia hizo tahadhari? Takwimu za maambukizi na vifo zikoje kwa sasa?

Huu ugonjwa umezidiwa sana na siasa kuliko athari zake kiuhalisia.
 
Kwa hio jamaa ambayo ipo mpakani na kenya iende adi mpaka wa malawi kufanya biashara?
Mataga huna akili
 
Yaan waajir madereva wa pande zote mbil alafu walipwe na nchi zao au vip, yaan kaz ya kufanywa na mtu mmoja uajir watu wawil??
 
Kuna mitanzania mienzetu ipo Kama vichaa kila sehemu inaweka siasa haijui watanzania wa mipakani wanapata vipi shida ... Ukute lenyewe linaishi Tandale halijui adha ya sisi tunaoishi mipakani. Jinga kweli Hilo chizi
Wanapata shida gani? Tuanzie apo kwanza..
 
Acha basi nawee kuongea sana mpaka mate yana kuruka usije kutuambukiza korona bure na barakoa yenyewe hujavaa

Hapa tz ni mara ngap tunaona maguful akipishana na mawazir au wataalam.
 
Kwani zile 1.5 trn zilipigwa na nani vile mkuu, sema sikumbuki kuhusu dowans na dada zake
 
so wakulima wa vitungu wa singida wanaendaga namanga kufanya biashara?
Acha kutumia makalio kufikiri na atari kwa afya ya akili yako
Mataga hivi unaelewa kinachoongelewa au unapanua makalio tu hapa ili kia mtu akusikie
 
Jadili kitakwimu kama mtaalam wacha ngonjera, hao wote mliozungukwa nao ni maskini kama mlivyo, Kenya tu ndiye tajiri anayewapa biashara ya maana.
nyie mlikua wanyonyaji kwa wakulima wetu na mwisho wa hayo ndo ushafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…