Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

Hizo nchi zote za sadc mnauza bidhaa za pesa ngapi kwa mwaka halafu pia ulete takwim za bidhaa zenu ambazo mnauza Kenya na ulinganishe utaona tofauti.

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 

Kenya wanayo haki ya kuchagua maisha badala ya uchumi. Watanzania wenye busara zao hawaridhiki katu na huu msimamo wa serikali wa kuwaweka rehani kiasi hiki.

Ikumbukwe 1+1 = 2 bila kujali wajinga wangapi wanasema ni 5.

Tanzania, mzee baba kasema kila kitu ni hewa, wafanyakazi hewa, cheti fake nk ije kuwa cheti cha Corona?

Corona: EAC kutokuwapo protokali moja, janga hili bado sana.

Corona: Siri ya mafanikio yetu katika hii vita

Kuajiri madereva upande wa pili kwa shuruti kama hivi nayo si suluhisho. Hapo mbona hata engine za magari zaweza badilishwa? Gari si sawa na fyekeo la kufyekea majani kupeana peana tu.

Hata bandari kavu maingiliano yatakuwapo tu.

Hapa dawa sahihi ilikuwa ni kufunga mpaka tu!
 
MK254 Hili mnalolitaka ni kama walivyofanya Rwanda, corona mmepatia sababu.

Kwa sasa gari za Rwanda zinaingia Tanzania na madereva wao hawasumbuliwi na makampuni ya Rwanda yaliyokuwa na madereva wa Tanzania upande wa Rwanda wamewarudisha watanzania huku.

Kuna makosa yamefanyika kuruhusu hawa jamaa kuweka mkakati huu, kwa sasa usafirishaji wa makasha Dar port to Kigali hauna maslahi kwa gari za Tanzania.

Tunajua walikuwa wanakata mizigo yao wasafirishe wenyewe na pia mizigo kwa mfano mchele, mahindi na mashudu wanataka magari yao pia yafate huku.

Kenya mnataka kufata njia waliotumia Rwanda, nasikitika kwangu haya mambo hayaangaliwi kwa undani zaidi.

Nakumbuka sakata la rodtoll ilivyosumbua kipindi cha JK kutoka $500 kwa gari za Rwanda kuingia tanzania na wao wakataka walipe $152 kama tunavyolipa sisi kwa hizi km 152 Rusumo to Kigali.
 
Jadili kitakwimu kama mtaalam wacha ngonjera, hao wote mliozungukwa nao ni maskini kama mlivyo, Kenya tu ndiye tajiri anayewapa biashara ya maana.
Ukijiita tajiri halafu unayemuita masikini anakuvimbishia msuli hadi unalialia basi jiulize kuhusu huo utajiri wako! Yawezekana unajimilikisha nafasi yake.
 

Kingine kinachowezekana ni maabara ya pamoja hapo mpakani ambayo itumike na wataalam wa pande zote mbili wakishirikiana kwa pamoja, yaani dereva aidha Mkenya au Mtanzania anaingia na kuwakuta wataalam wa kwao na wa nchi jirani hapo, anapimwa huku wakishuhudia wote na kujiondokea, hii itateleza vizuri sana maana akiondoka hapo ameridhisha mataifa yote mawili, akigunduliwa na kirusi anapokezwa kwa watu wake papo hapo.
Lakini hili la mtu amekatiza kutoka Dar na kijikaratasi cha kuonyesha mpakani sio kabisa, kwanza hata inawezekana kweli kapima Dar na kukutwa bila, ila kwa walivyo na muingiliano, unakuta labda kalala kigesti uchwara sehemu Moshi, yaani mpaka anafika Namanga keshajimix balaa halafu anachomoa kijikaratasi eti cheti na hataki apimwe tena.
 
Ukipewa uwezo wa kulifuta taifa moja hapa duniani, NAHISI UTAIFUTA TANZANIA... kwako hakuna kizuri toka Tanzania...
 
Mimi ni mtanzania ila nakiri kwa hili tunakosea Sana sijui viongozi wetu wana Nia gani na sisi. Wanashindwa vipi kuendana na guidelines za WHO
Ww ongea fact usitulete utumbo apa...kwaiyo yungejifungia ndani ...hawa kunya walivyo jifungia wamepata nn?
 
Wewe unaekichukulia serious hicho kirusi baada ya kujipima na kukikuta mnatumia dawa gani? na hakuna unajisumbua nini kitu kinachoweza kujiondokea chenyewe mwilini tena bila dawa,kuna ukimwi,maralia,typhoid,kansa n.k mmevitokomeza au haviui mpaka corona muhofie kufa?hao waliowapa fedha za mkopo kupapambana na ugongwa msiojua mwisho wake siku wakisema mtoke nje haiwezakani kupambana nao ndio mtajielewa,dnikutajie dawa nzuri nayo Kenya yote mtoke muache nchi tu muanze kurudi mmojammoja tena kupimwa mrudi kwenu na mkishakuwa OK! mjenge na ukuta kama wa babeli muweke na fensi ya umeme kwa juu yaani msionane na majirani zenu mpaka wapone kinyume na napo ni uduni wa kufikiri.
 
Nyinyi mnapenda mbwembwe tu.. Ili wananchi wenu waone viongozi ni simba.
Ni Sawa. Mawaziri watakutana, picha xichukuliwe kuwafurahisha mlivyo ikalia Kenya, lakini mwisho ni hapo.. Mipango yetu inasonga mbele
Sasa kwann rais wenu alikubaliana na magu kuwakutanisha mawaziri, na mawaziri wakakutana na pctr wakapiga.
Afu mnageuka tena, huoni you guys are not men of your words, bunch of pussies, tutaona this time itakapoishia.
 
Sasa kwann rais wenu alikubaliana na magu kuwakutanisha mawaziri, na mawaziri wakakutana na pctr wakapiga.
Afu mnageuka tena, huoni you guys are not men of your words, bunch of pussies, tutaona this time itakapoishia.
Rais Uhuru anajua Magu anapenda sifa za kuonekana mtu mwenye nguvu... akampa hilo.
Saa hii Uhuru hata amesahau kama kulikuwa na shida kama hiyo..
 
Kwani zile 1.5 trn zilipigwa na nani vile mkuu, sema sikumbuki kuhusu dowans na dada zake
Peleka upumbavu huko

Ni vichaa tu wanaweza kuamini trillion 1.5 kwenye mapato ya trillion 1.4 kwa mwezi yanaweza kuibiwa na bado serikali ikaendesha nchi bila misukosuko
 
Rais Uhuru anajua Magu anapenda sifa za kuonekana mtu mwenye nguvu... akampa hilo.
Saa hii Uhuru hata amesahau kama kulikuwa na shida kama hiyo..
Ni umama, hakuwa na haja ya kumpea hata hizo sifa.
Be a man of your words, usibadilike badilike kama mwanamke malaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…