Makampuni ya Utalii na Hoteli za Kitalii

Makampuni ya Utalii na Hoteli za Kitalii

Ushauri Mzuri, Bora kuziba ufa kuliko kujenga Ukuta.
 
NSSF watoe kiasi fulani cha akiba kwa kila mfanyakazi wa Private sekta (utalii) ili waweze kujikimu.

Mkoa wa Arusha utoe ushauri kwa Wenye nyumba, ili wapunguze Kodi au watoe unafuu, labda kulipa baadae.

Kama Serikali itaona umuhimu kutazama LUKU na bili za maji
Hii ipeleke jukwaa la siasa pia.

Ni mada sensitive sana. Tunaumia sana muda huu landcuriser Toyota kupeleka kilombero kuhemea vitunguu na bamia na kuirudisha parking.

Mwaka huu ni wa hovyo kuliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo wizara ilikuwa na kodi lukuki hadi kufanya gharama za kutalii Tanzania kuwa kubwa bila sababu za msingi.

Ni muda muafaka kupitia taratibu tulipo kosea na kurekebisha. Kuhusu wafanya biashara na wafanyakazi sekta ya utalii waandae mkakati wa mda mfupi na mrefu kujikwamua na serikali ikitupia jicho na mkono vile vile.
 
Mzee Baba wa Chato alikataa kuweka Dar kwenye lockdown huku akihofia kupoteza mapato ya serikali! Sasa hii hoja ya kupunguziwa Kodi nk kweli ataikubali??

Halafu hata kama tukifuta ada zote, haitawaleta watalii, kwa sababu nchi zao zimekataza raia wao kusafiri nje!...
Utalii wa ndani utafanywaje na watu wasio na disposable income mkuu?
 
NSSF watoe kiasi fulani cha akiba kwa kila mfanyakazi wa Private sekta (utalii) ili waweze kujikimu.

Mkoa wa Arusha utoe ushauri kwa Wenye nyumba, ili wapunguze Kodi au watoe unafuu, labda kulipa baadae.

Kama Serikali itaona umuhimu kutazama LUKU na bili za maji
ZSSF (Zanzibar) jana imewajibu wafanyakazi waliopitia majanga haya huko Zenji kwamba wao wanasimamia sheria zinavyosema na hakuna sheria inayoruhusu mfuko kutoa pesa kipindi cha janga kama hili,ndivyo walivyojibu.

Ingawa swali la msingi hapa ni Je,hio mifuko ya kijamii inazo hizo pesa kwa wkt huu?au walishazipeleka kwny miradi yao isiyoeleweka na janga Corona likaibuka kama surprise.
 
Hii ipeleke jukwaa la siasa pia.
Ni mada sensitive sana.
Tunaumia sana mda huu landcuriser Toyota kupeleka kilombero kuhemea vitunguu na bamia na kuirudisha parking ..
Mwaka huu ni wa hovyo kuliko...

Sent using Jamii Forums mobile app

Asante ndugu

Moderators mnaombwa kupeleka huu uzi jukwaa la Siasa ili Viongozi watunga Sera wauone.

Mod Five

Fang
 
This is reality to be faced for couple of months. Tourism and aviation industry is going to suffer disproportionately due to covid-19 pandemic. The case will be much worse in developing countries including Tanzania.

Because these countries has showed poor response towards this pandemic and the disease is going to stay for long time and actually is going to be endemic in these countries.

Moreover, these countries hasn't done enough to make plans for economic stimulation package due to it's infantile economy.

Based on all these dynamics I advice affected industry to try another route to participate in the economy, since hopping that this situation will normalize within coming few months is completely unrealistic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana waziri husika kawasilisha bungeni ila sijaona lolote linaloendana na hoja kama hizi zaidi ya watu kupoteza ajira soon.
 
Watu kwa kujikosha kwa mkuu hawajambo!!! Niliona kwenye taarifa ya habari eti TANAPA sasa hivi wameanzisha program ya utalii kwa njia ya video eti wanarekodi matukio ya wanyama porini na kisha wanawatumia watalii waangalie wakiwa vyumbani kwao!! Eti ndio ubunifu waliobuni huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali si shwari, Corona virus imeleta madhara makubwa katika sekta ya utalii

A - Hakuna biashara na hakuna nafuu katika miezi 3 ijayo

B - Wafanyakazi wengi sana wamepewa likizo bila malipo

C - Serikali kukosa mapato (Park entry fees $$$ £££) foreign money kwa kiasi kikubwa

D - Je, bado TRA inawadai Kodi Hoteli na Makampuni ya kitalii?

Kuna haki ya kukamua maziwa kutoka kwa Ng'ombe mwenye njaa?

Ombi kwa Mheshimiwa Waziri na Rais wetu

TRA - wasamehe Corporate tax kwa miezi 3

Wafanyakazi wa Sekta ya utalii (Private sekta) wapewe Robo ya akiba yao katika kipindi hiki cha mpito.

Lingine: Wizara ya Mali asili na utalii na TTB, wabuni mikakati ili kukabili Kipindi kigumu cha uchumi Duniani. Watalii watakuwa hawana pesa za kutosha...Kupunguza gharama za kutembelea Tanzania. Nashauri yafuatayo

A - Kupunguza JET fuel (kupunguza bei mafuta ya ndege)

B- Kupunguza landing fee ya ndege

C- Kupunguza VAT kutoka 18 hadi 12% kwenye park fee za mbuga za wanyama

D - Kupunguza Park fee kwenye mbuga za wanyama

E - LOdges kupunguziwa kodi ili na wao wapunguze room price

F - Kupunguza VISA fee

G - Kukaa na Private sector (Hotel na Kampuni za utalii) na kusikiliza Maoni.

Waziri Kigwangala alifanya vizuri sana kukaa na wadau pale mwanzoni na kusikia maoni. Waziri asichoke.

Wabunge pia waishauri serikali.

Wana JF, mnakaribishwa kwa maoni.

Uzalendo mbele kwanza..
Ushauri mujarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu kwa kujikosha kwa mkuu hawajambo!!! Niliona kwenye taarifa ya habari eti TANAPA sasa hivi wameanzisha program ya utalii kwa njia ya video eti wanarekodi matukio ya wanyama porini na kisha wanawatumia watalii waangalie wakiwa vyumbani kwao!! Eti ndio ubunifu waliobuni huo!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]aisee
 
Hii ipeleke jukwaa la siasa pia.

Ni mada sensitive sana. Tunaumia sana muda huu landcuriser Toyota kupeleka kilombero kuhemea vitunguu na bamia na kuirudisha parking.

Mwaka huu ni wa hovyo kuliko.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakuomba mkuu, uanzishe kwenye Jukwaa la siasa...Au Pin..ikae juu.

Please Mods

Leo na kesho Waziri yupo Arusha - KIkao na wadau
 
Back
Top Bottom