Makampuni yanayotengeneza Magari ya Umeme nchini China

Makampuni yanayotengeneza Magari ya Umeme nchini China

Leapmotor​

is a Chinese automobile manufacturer headquartered in Hangzhou, China, specializing in developing electric vehicles.

Models

Leapmotor S01​

1694864811882.png


1694864835224.png
 

Aion (marque)​

is a Chinese electric vehicle marque of Guangzhou Automobile Corporation. It was introduced in 2018 as a sub-brand and in 2020 as a marque.
Models

Aion S​

1694865170888.png


1694865194739.png
 

Singulato​

Singulato Motors is the new energy vehicle brand of Chi Che-hung Technology Co., Ltd,. Singulato was founded in December 2014 in Beijing as an internet company to produce premium Chinese new energy vehicles. Singulato Motors aims to develop new energy vehicles (NEV), autonomous driving systems, automotive networking services with a focus on big data development and cloud computing technologies.

Models

Singulato iS6​

1694865697534.png


1694865719930.png
 

Sinogold​

is a Chinese automobile manufacturer headquartered in Shandong, China, that specializes in producing electric vehicles.

Models

Sinogold GM3​

1694865847967.png


1694865870489.png
 
Magari haya yapo na battery. Kwahiyo umeme wake ukiisha unaenda kuchaji kama unavyochaji simu yako. Kwa kutumia umeme wa kawaida unaweza kuchukua muda mrefu kuchaji hiyo bettary. KWaiyo kunakuwa na charger maalum au vituo maluum vya kuchargia haraka.

Kwamba wameshindwa kutengeneza System ambayo itakuwa inacharge battery moja kwa moja Wakati gari ipo barabarani??. Mbona hzi gari tunazotumia battery inajicharge??
 
Kwa ninavyojua:

Unavyopanga trip, gari inakua inakupa njia (kwenye google map) na kukuambia kila mahala ambapo kuna kituo cha kuchajia na vile vile inakupa makadirio ya kilometa ambazo gari yako itaweza kutembea kwa chaji uliyonayo.

Mfano hii hapa screen ya Tesla.

View attachment 2751029

Inakuonesha chaja zilizopo, distance, bei ya kuchaji etc.

Tukirudi kwenye wasiwasi wako.

Ni kweli, kwa nchi kama Tanzania, hizi gari bado. Ata ukinunua leo, unaweza kuweka charging station nyumbani kwako, lakini mfano unakuta full charge gari ina range ya kilometa 400 ina maana ukitaka kwenda Mbeya kutoka Dar utahitaji kuchaji mitaa ya Iringa. Je kuna charging station?

Sasa wenzetu unakuta zipo nyingi. Mfano kwenye malls, kwenye vituo vya mafuta etc.

Mfano hapa, unakuta kwenye parking ya mall kuna mahala pa kupata EV tu.

View attachment 2751034

Tujipe muda, nadhani baada ya miaka 5 hadi 10 tunaweza kuanza kuziona EV nyingi tu.

Kwa sasa thnaendelea kukomaa na Hybrid.

Gharama za kuchaji zikoje na inachukua muda gani kucharge?
 
Kwamba wameshindwa kutengeneza System ambayo itakuwa inacharge battery moja kwa moja Wakati gari ipo barabarani??. Mbona hzi gari tunazotumia battery inajicharge??
Ukisoma Law of Conservation of Energy inakataa kiongozi wangu. Maana wakati gari inatembea kwenye EV source of energy ni hiyo battery. Je, utachaji hiyo battery kwa kutumia source ipi?

Kwenye gari zetu source of energy ni fuel ambayo inabadilishwa inakuwa mechanical energy ndio inazungusha alternator ambayo inacharge battery.

Source kwenye gari za mafuta source of energy ni fuel mkuu.
 
Ukisoma Law of Conservation of Energy inakataa kiongozi wangu. Maana wakati gari inatembea kwenye EV source of energy ni hiyo battery. Je, utachaji hiyo battery kwa kutumia source ipi?

Kwenye gari zetu source of energy ni fuel ambayo inabadilishwa inakuwa mechanical energy ndio inazungusha alternator ambayo inacharge battery.

Source kwenye gari za mafuta source of energy ni fuel mkuu.

Mkuu wengine Physics ilipita kushoto Ahsante kwa elimu.
 
Back
Top Bottom