Makampuni yanayotengeneza Magari ya Umeme nchini China

Makampuni yanayotengeneza Magari ya Umeme nchini China

Magari yanayobeba mizigo hapa bongo asilimia kubwa ni Chinese. Achilia mbali mabasi
Baadhi ya Trucks zinazotumika made in china.

1. Howo
2. FAW
3. Shacman
4. Dongfeng
5. Sinotruk
6. Foton
7. JAC
8. Beiben
9. Dayun
10. Qingling
11. Higer
12. King Long
13. BYD
14. JMC
15. Changan
16. Brilliance Auto
17. Hawtai
18. CAMC
19. Hualing Xingma
20. Dongfeng Liuzhou Motor
Wewe hujui kitu unavyoonyesha Kwa Hiyo unafikili Watz wakitumia Magari ya Kichina ndo Wachina wamemzid MMarekani Kwenye technology ya magari hizo gari Zote ulizoorezeaha hapo ni Takataka
 
Wewe hujui kitu unavyoonyesha Kwa Hiyo unafikili Watz wakitumia Magari ya Kichina ndo Wachina wamemzid MMarekani Kwenye technology ya magari hizo gari Zote ulizoorezeaha hapo ni Takataka
Haya taja magari ya marekani yanayotumika hapa Tanzania
 
Haya taja magari ya marekani yanayotumika hapa Tanzania
Gari za Kichina ni Za Bei Chee Nyie Watanganyika Mnataka Vitu Bei Ya chini Sasa Utaweza kununua Gari ya Kimarekani na Kwenye Biashara Sio Kwamba Watanzania wasipo nunua gari za USA basi Ndo Marekani Inapata Hasara au Haifanyi Biashara za magari Kuna Nchi Za kitajiri ndo Wanatumia Gari Hizo Sio Maskini kama Huku Africa
 
Kitu Kingine wenzako Wameshatoka Kwenye ushindani wa Magari Watu wanawaza Mambo Mengine Ndo Tofauti Hiyo Wee Umeshawza Kwanini Wamarekani Hawajawahi Kugombania tenda za Balabala huku Africa
 
Gari za Kichina ni Za Bei Chee Nyie Watanganyika Mnataka Vitu Bei Ya chini Sasa Utaweza kununua Gari ya Kimarekani na Kwenye Biashara Sio Kwamba Watanzania wasipo nunua gari za USA basi Ndo Marekani Inapata Hasara au Haifanyi Biashara za magari Kuna Nchi Za kitajiri ndo Wanatumia Gari Hizo Sio Maskini kama Huku Africa
Sawa nitajie sasa magari ya Kimarekani unayoyajua yanatumika huko ulaya
 
Gari za Kichina ni Za Bei Chee Nyie Watanganyika Mnataka Vitu Bei Ya chini Sasa Utaweza kununua Gari ya Kimarekani na Kwenye Biashara Sio Kwamba Watanzania wasipo nunua gari za USA basi Ndo Marekani Inapata Hasara au Haifanyi Biashara za magari Kuna Nchi Za kitajiri ndo Wanatumia Gari Hizo Sio Maskini kama Huku Africa
Hizi KASUMBA za kusema gari za mchina ni takataka kwasababu ya bei Chee ni ujinga na uzandiki.
China asahivi silaha yake kuu katika biashara ni kuleta bidhaa bora na zenye gharama affordable.
HAYO MAGARI YA UMEME MPAKA ULAYA WANANUNUA HUSUSAN EAST EUROPE JE NAO WANAPENDA VITU VYWA BEI RAHISI?!
 
Sawa nitajie sasa magari ya Kimarekani unayoyajua yanatumika huko ulaya
Kaka asikuchoje huyo anaongea kwa kasumba kuna mengi hajui.
Hata huo mfano wake wa tenda za barabara hajui Qatar na UAE zinazosifiwa kuwa na barabara top 5 DUNIANI ZIMEJENGWA NA WACHINA,HAJUI SINGAPORE MOJA YA NCHI INAYOSIFIKA KUWA NA MIONGONI MWA MIUNDOMBINU BORA DUNIANI IMEJENGWA NA WACHINA.
Hajui kuwa China ameua soko la simu India kwa kuuza simu za bei nafuu japo cha kushangaza ni simu bora kuliko wanazotengeneza wenyewe wahindi na kuuza bei kubwa ambazo ni OPPO na Vivo.
Pia hajafuatilia Audi zinazotengenezwa China ambazo ubora wake unashindana na za Germany.
 
Kitu Kingine wenzako Wameshatoka Kwenye ushindani wa Magari Watu wanawaza Mambo Mengine Ndo Tofauti Hiyo Wee Umeshawza Kwanini Wamarekani Hawajawahi Kugombania tenda za Balabala huku Africa
Ujinga in kuonesha hazarani vile ulivyo mpumbavu wiki iliyopitaa ripot imetoka kuwaa ulaya nzimaa magari ya umeme yanayouzika sana ni magari kutoka makampuni ya China hadi nchi ya ujermani ikapata wasiwasi kuaribiwa soko LA magari yake shida wapumbavu uku jamii forum wamekuwa wengi kuleta ushabiki
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kaka asikuchoje huyo anaongea kwa kasumba kuna mengi hajui.
Hata huo mfano wake wa tenda za barabara hajui Qatar na UAE zinazosifiwa kuwa na barabara top 5 DUNIANI ZIMEJENGWA NA WACHINA,HAJUI SINGAPORE MOJA YA NCHI INAYOSIFIKA KUWA NA MIONGONI MWA MIUNDOMBINU BORA DUNIANI IMEJENGWA NA WACHINA.
Hajui kuwa China ameua soko la simu India kwa kuuza simu za bei nafuu japo cha kushangaza ni simu bora kuliko wanazotengeneza wenyewe wahindi na kuuza bei kubwa ambazo ni OPPO na Vivo.
Pia hajafuatilia Audi zinazotengenezwa China ambazo ubora wake unashindana na za Germany.
Hapo umeitaja Qatar na UAE hapo Sio Africa hii Hizo Nchi za Kiarabu Sasa hivi Wanapeleka Watoto Wao Wakasome EUROPE walete Teknolojia urabuni Ukiniambia Habar ya Mchina unanichafua Coz Hawa Watu Ndo Kila Siku Tupo Nao huku Makazini Kwetu na Tunaona utaratibu Wao wa Kazi Jin's wanavyoendesha Kazi Zao Kiswahili kiswahili ila Wao Wanajijali Afya Zao huku Watu wakiangamia na Masumu Mahali pa Kazi ila Kwa Sababu Wewe hujui ndo Maana unawashobokea Wachina Kumbe Wanyama
 
Hapo umeitaja Qatar na UAE hapo Sio Africa hii Hizo Nchi za Kiarabu Sasa hivi Wanapeleka Watoto Wao Wakasome EUROPE walete Teknolojia urabuni Ukiniambia Habar ya Mchina unanichafua Coz Hawa Watu Ndo Kila Siku Tupo Nao huku Makazini Kwetu na Tunaona utaratibu Wao wa Kazi Jin's wanavyoendesha Kazi Zao Kiswahili kiswahili ila Wao Wanajijali Afya Zao huku Watu wakiangamia na Masumu Mahali pa Kazi ila Kwa Sababu Wewe hujui ndo Maana unawashobokea Wachina Kumbe Wanyama
MZee China ipo na population ya watu 1.3b hao wachina ulionao kazini kwako ni wangapi? Wanajaa hata kwenye kiganja? halafu kwenye rangi nyekundu ni nini hicho?
 
Magari haya yapo na battery. Kwahiyo umeme wake ukiisha unaenda kuchaji kama unavyochaji simu yako. Kwa kutumia umeme wa kawaida unaweza kuchukua muda mrefu kuchaji hiyo bettary. KWaiyo kunakuwa na charger maalum au vituo maluum vya kuchargia haraka.
Siku hizi wana fanya kama mitungi ya gas ukienda kituoni wana weka ingine unaacha yako !
 
Mtoa mada napenda kuongezea kuwa ndio vinara wa kutengeneza Battery za ayo magari ya umeme duniani kila kampuni ulaya hakuna isiyotaka kuwekeza china kuanzia kwenye cheap and skilled labor yao mpaka kwenye purchasing power Volkswagen walijifanya kuondoka china Leo hii wanapiga magoti warudishwe china.. gharama ya kutengeneza gari German ni tofauti na China ..ukitengeneza gari Germany cost yake ni kubwa na lazima uliuze Kwa bei kubwa Ili uweze kufidia cost zako kutokana na gharama ya nishati na cost nyingine lakini ukitengeneza gari la Volkswagen china Kwa ubora ule ule gharama za utengenezaji ni ndogo na ukienda kuliuza ulaya utapata faida kubwa tofauti na Germany Sasa mchina ndio anavyofanya anatengeneza magari ya umeme yenye ubora ule ule unaokaribiana na Volkswagen alafu anauza Kwa bei Chee lazima akutoe sokoni ..mfano ni izi iPhone mnazoziona kuwa ni gharama zingekuwa zinatengenezwa USA mngenunua Kwa zaidi ya milioni 10..Leo hii china anatishia mpaka soko la ndani la Volkswagen Yani mpaka Home ground kwake Germany mchina anamsumbua..alafu Kuna mijusi apa jamvini inasema eti china hawana technology yoyote nawapa pole aliyefanya mpaka uko duniani na apa Africa bei za simu kidogo kuwa cheap ni uyo uyo mchina ..naongezea na hii aliyefanya mpaka Samsung akaja na mfumo wa A series ni uyo uyo mchina baada ya Samsung kuona anapigwa tobo ..
 
Kitu Kingine wenzako Wameshatoka Kwenye ushindani wa Magari Watu wanawaza Mambo Mengine Ndo Tofauti Hiyo Wee Umeshawza Kwanini Wamarekani Hawajawahi Kugombania tenda za Balabala huku Africa
TESLA kampuni ya wapi? siyo kama wameacha gharama za kutengeneza gari USA ni tofauti na CHINA makampuni yote makubwa ya magari duniani Yana branch zao CHINA fah masiala nini na china
 
Hapo umeitaja Qatar na UAE hapo Sio Africa hii Hizo Nchi za Kiarabu Sasa hivi Wanapeleka Watoto Wao Wakasome EUROPE walete Teknolojia urabuni Ukiniambia Habar ya Mchina unanichafua Coz Hawa Watu Ndo Kila Siku Tupo Nao huku Makazini Kwetu na Tunaona utaratibu Wao wa Kazi Jin's wanavyoendesha Kazi Zao Kiswahili kiswahili ila Wao Wanajijali Afya Zao huku Watu wakiangamia na Masumu Mahali pa Kazi ila Kwa Sababu Wewe hujui ndo Maana unawashobokea Wachina Kumbe Wanyama
Unahama mada huku mara kule.
We umeshuku teknolojia ya China na mimi nimekutolea mfano Barabara bora duniani zilizopo Qatar na Dubai kajenga Mchina,City light trains ambazo ni electric locomotives pale mjini Doha zimejengwa na Mchina,mfumo mkubwa wa umeme pale Qatar wa Solar wa mji wa Doha kajenga Mchina.
Kwanini una doubt teknolojia ya Mchina?!
Madai yako yalikua kwamba sisi tunanunua bidhaa ya Mchina kwasabab Africa masikini JE QATAR NA DUBAI NI MASIKINI?!
 
Fanya Kazi Kwa Bidii Utoe Umaskini Kwenye Jamii Yako na Pinga Ufisadi Kwenye Nchi Yako Kujaji Mambo yaliyokuzidi Kimo Ni Kupoteza Muda
 
Back
Top Bottom