MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Pathetic hivi Corona inaambukizana kwa Kukumbatiana tu? Hivi wengjne wakati Mwenyezi Mungu anatupa wengine Akili za Kutukuka nyie mlikuwa wapi?Wapi uliona wamekumbatiana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pathetic hivi Corona inaambukizana kwa Kukumbatiana tu? Hivi wengjne wakati Mwenyezi Mungu anatupa wengine Akili za Kutukuka nyie mlikuwa wapi?Wapi uliona wamekumbatiana!
Hata website yao ya Ubalozi wa Marekani ilishasema tuna korona.Haya ndio madhara ya Kujipendekeza kwa watu, Itaonekana ameambukizwa na wadau wa Royal tour
Maneno haya unaweza kumwambia mama yako mzazi?Kama itapelekea kushuka kwa gharama za maisha basi nipo upande wa COVID, iondoke tu na Tarzan wa kike.
... dah; siamini somo la chanjo ni gumu kiasi hiki. Chanjo zimekuwepo miaka na miaka kuazia surua, kifaduro, ndui, polio, n.k. n.k. n.k. until recently Covid-19. Waliochanjwa surua haimaanishi hawaambukizwi surua; vivyo hivyo kifaduro, ndui, polio, n.k. Ukichanjwa it means ukiambukizwa huathiriki kama asiyechanjwa; makali ya ugonjwa yanadhibitiwa na chanjo.
Ukipimwa utaonekana yes umeambukizwa Covid but athari za Covid kwako hazipo or are very minimal; chance ya kufa ni ndogo au haipo kwa sababu tayari mwili una kinga (chanjo).
Kwahiyo Bwana-Chanjo hautakufa tena kama sisi tusiochanjwa?chance ya kufa ni ndogo au haipo
Corona ni hatari tujikinge kwa kunawa mikono
Royal tour umezindua kwa mahela kibao halafu wanakuja kukuambia yule kaleta Covid! Kwahiyo stori ya sasa Tanzania kuna Covid watalii msiende.
Safe from what?... Good! Then she is safe.
Mama yangu mzazi katokea wapi tena??? Mpaka kuandika nilidhani Tarzan na mtu wa kusadikika katika filamu.Maneno haya unaweza kumwambia mama yako mzazi?
Huna akili.
Mama asije kutuletea Corona.
Apime au awe quarantine pale airport !!!
Mbona balozi wao na wasaidizi wake wanadunda? Wanakula dona na dagaa kama kawaida?Hata website yao ya Ubalozi wa Marekani ilishasema tuna korona.