Hakika nami kwa fikra nyingine nimeitafakari ile ziara kwa kina nikaangukia Kama hii postKifo cha maalim hakitokani na Covid-19 bali kimetokana na safari yake na mwenzake walioifanya kwa njia mbili tofauti kuelekea nyumbani kwa raia namba moja. Decision from room 105 resulted to the brain respiratory center to shut down.
tunabadilisha katiba mkuu, stay turned !!Siasa za zanzibar zimezikwa rasm. Na Mwinyi ni mrith wa mzee baba bara 2025.
KAYAFA alishawahi chanjo mapema sana!Huu ugonjwa umeanza kuingia ikulu sasa stone ajiandae. Pumzika kwa amani Sefu kipenzi cha wazanzibari.
Ndiyo hivyo mkuu, tujitahidi kuchukua tahadhari maana waswahili wanasema "Lisemwalo lipo"Oh jamani [emoji24]
King Kong III . Hivi ''system'' haiwezi kucheza mchezo wa kuondoa ''kero'' inayosumbua kila uchaguzi wa Zanzibar unapofika? Unajua corona ni ugonjwa ambao mtu anaweza kukuambukiza kwa makusudi kwa urahisi sana na usijue au isijulikane hasa kipindi hiki chenye maambukizo mengi. Just thinking aloud!Kigogo alitoa taarifa tangia jana.