TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

Pole kwa waliofikwa na msiba, familia, ACT, CUF, CCM, Wazanzibari na watanzania wote kwa ujumla.
 
Ana kitabu aalitoa ? Mbona mzee Atik hapa anasema alimwambia Maalim aandike kitabu lkn marehemu alikataa

In other word marehemu ameo doka na siri zake
Race, Revolution and the Struggle for Human Rights in Zanzibar: The Memoirs of Ali Sultan Issa and Seif Sharif Hamad
1613563449668.png
 
Siku moja watoto walienda mtoni kuchota majio, kufika mtoni wakamuona chura yuko kwenye maji, wakaanza kushindana kumrushia mawe wakitaka kujua nani mwenye shabaha zaidi....kwa huzuni yule chura akapaza sauti ya upole "Mchezo wenu ni mauti yangu".
 
Kweli corona ipo ila nilichogundua ikikupata usikimbilie hospital we kaa kwako upige nyungu za kutosha kama alivyofanya jiwe
 

Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif amefariki ktk Hospitali ya Muhimbili. Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa

Pia soma > Wasifu/ CV ya Maalim Seif Sharif Hamad, Historia yake kwa Ufupi

Kupitia ukurasa wa Twitter, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli atoa salamu za rambirambi pamoja na kutangaza siku tatu za maombolezo Kitaifa.

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Natoa pole kwa Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT-Wazalendo na Watanzania wote. Mungu amweke mahali pema peponi,Amina"


Pia soma > Zanzibar 2020 - Uchambuzi Urais Zanzibar 2020: Nafasi ya Maalim Seif Sharif Hamad
View attachment 1704550
Maalim Seif alizaliwa kutokana na familia ya wakulima wa kijiji cha Mtambwe, nje kidogo ya mji wa Wete, Pemba, katika Oktoba 22, 1943, Maalim Seif alivuka bahari ya mkondo wa Pemba kuja Zanzibar kuendelea na masomo ya sekondari kutoka 1958 hadi 1963.

Hakuweza kuendelea na masomo ya chuo kikuu pale alipotakiwa aende kusomesha katika shule za sekondari ili kujaza mapengo yaliowachwa na walimu wengi wa Kiingereza na wachache wa kizalendo baada ya Mapinduzi ya 1964. Wakati ule siasa kali za utawala wa mkono wa chuma ulishuhudia serikali ikitaifisha vikataa vidogo vya mashamba na nyumba za makazi za watu walioonekana maadui wa Mapinduzi ziliipelekea Zanzibar kuelezwa na nchi za Magharibi kama Cuba ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo, alifanikiwa kuchukua shahada ya kwanza ya Elimu, Sayansi ya Kisiasa na Uhusiano wa Kimataifa´kutoka mwaka 1972 hadi 1975 na aliporudi Zanzibar alichaguliwa msaidizi maalum wa Rais wa Zanzibar mpaka mwaka 1977 alipochaguliwa Waziri wa Elimu.

Katika medani ya siasa Maalim Seif alichaguliwa mjumbe wa Halamshauri Kuu ya Taifa ya CCM ambayo aliitumikia kwa miaka 11. Katika mwaka 1984 kufuatia kile kilichojulikana kama kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Visiwani kulikoshuhudia kulazimishwa kustaafu kwa aliyekuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Sheikh Aboud Jumbe, Maalim Seif alichaguliwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Lakini kauli zake za uwazi za mara kwa mara za kuonyesha hafurahishwi na mwenendo mzima wa Muungano na kueleza Zanzibar haitendewi haki kwa baadhi ya mambo ndani ya Mungano kuliepelea kutimuliwa katika chama na pia kupoteza wadhifa wa Waziri Kiongozi kufuatia hatuahio ya chama.

Tokea wakati huo aliandamwa kwa kuonekana tishio la kisiasa na mwaka 1989 alifunguliwa mashitaka bandia ya kupatikana na nyaraka za siri za serikali. Alikaa miaka miwili gerezani, baadhi ya wakati katika chumba akiwa peke yake kwa muda unaoweza kufikia wiki mbili mpaka alipoachiwa na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kwa kuwa hakuwa na kesi ya kujibu.

Tanzania ilipofungua milango yake na kuruhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, Maalim Seif na baadhi ya wenzake aliofukuzwa nao Halmashauri Kuu ya CCM walikuwa miongoni ma walioanzisha Chama chaWananchi (CUF) na kuwa Makamo Mwenyekiti wake wa kwanza

Aligombea Urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, mwaka 2000, 2005, 2010,2015 na 2020, Alishindwa kwa kura chache, lakini mwenyewe amekuwa akiamini alishinda chaguzi zote hizo na aliporwa ushindi kwa sababu Tanzania na hasa Zanzibar haijakuwa tayari kupokea mfumo wa demokrasia kwa moyo safi.

Mnamo tarehe 18 machi 2019 maalim self alitangaza kujiunga na chanma cha ACT wazalendo baada ya kutokea kutokuelewana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba katika Mgogoro uliwafikisha Mahakani na Upande wa Seif Ukashindwa kesi.

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alimteua Dec 07, 2020 Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar. Uteuzi uliozingatia matakwa ya kifungu cha 9(3) cha katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kinachosomeka kwamba, muundo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar utakuwa wa Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia.

Hadi mauti unamkuta, Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.

Tarehe 31 Januari 2021 chama chake cha ACT Wazalendo kilisema kuwa wasaidizi kadhaa wa Bw Maalim Seif wamepatwa na maambukizi ya virusi vya corona. Pia kiliwafahamisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania kuwa mwenyekiti wake Maalim Seif Sharif Hamad na mkewe Bi Awena, wamethibitika kupata maambukizi ya Covid 19. Taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba


''Katika hali ya kuchukua tahadhari zaidi madaktari walimshauri Maalim Seif kuwa ni vyema awepo chini ya uangalizi maalum katika kipindi chote atakachokuwa anaendelea na matibabu'', ilisema taarifa ya ACT Wazalendo. Maalim Seif alipumzishwa katika Hospitali ya Mzazi Mmoja, Unguja.

Zaidi soma; Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Apumzike kwa Amani

---
PICHA

View attachment 1704565
Maalim Seif na Mwalimu Nyerere nyumbani kwa Mwalimu (The Clinic) Msasani

View attachment 1704567
Vipande vya picha mbalimbali vikionesha harakati za Maalim Seif

View attachment 1704569
Maalim Seif na Salmin Amour mwaka 1999 baada ya Mazungumzo ya Mwafaka
Mwenyezi Mungu ndio anajua hatima ya mtu kufa/uhai, serikali hatuwalaumu kwa hili... hii ya kutokutangaza na kutilia mkazo hapa tutawalaumu, tuliona meya wa moshi akizuia watu kuingia mkutanoni na barakoa ...na hii taarifa nayo hamjaweka wazi nikipi kimemchokua ndugu yetu, mbaya zaidi tukiongea mwatuona wachochezi
 

Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif amefariki ktk Hospitali ya Muhimbili. Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa

Pia soma > Wasifu/ CV ya Maalim Seif Sharif Hamad, Historia yake kwa Ufupi

Kupitia ukurasa wa Twitter, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli atoa salamu za rambirambi pamoja na kutangaza siku tatu za maombolezo Kitaifa.

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Natoa pole kwa Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT-Wazalendo na Watanzania wote. Mungu amweke mahali pema peponi,Amina"


Pia soma > Zanzibar 2020 - Uchambuzi Urais Zanzibar 2020: Nafasi ya Maalim Seif Sharif Hamad
View attachment 1704550
Maalim Seif alizaliwa kutokana na familia ya wakulima wa kijiji cha Mtambwe, nje kidogo ya mji wa Wete, Pemba, katika Oktoba 22, 1943, Maalim Seif alivuka bahari ya mkondo wa Pemba kuja Zanzibar kuendelea na masomo ya sekondari kutoka 1958 hadi 1963.

Hakuweza kuendelea na masomo ya chuo kikuu pale alipotakiwa aende kusomesha katika shule za sekondari ili kujaza mapengo yaliowachwa na walimu wengi wa Kiingereza na wachache wa kizalendo baada ya Mapinduzi ya 1964. Wakati ule siasa kali za utawala wa mkono wa chuma ulishuhudia serikali ikitaifisha vikataa vidogo vya mashamba na nyumba za makazi za watu walioonekana maadui wa Mapinduzi ziliipelekea Zanzibar kuelezwa na nchi za Magharibi kama Cuba ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo, alifanikiwa kuchukua shahada ya kwanza ya Elimu, Sayansi ya Kisiasa na Uhusiano wa Kimataifa´kutoka mwaka 1972 hadi 1975 na aliporudi Zanzibar alichaguliwa msaidizi maalum wa Rais wa Zanzibar mpaka mwaka 1977 alipochaguliwa Waziri wa Elimu.

Katika medani ya siasa Maalim Seif alichaguliwa mjumbe wa Halamshauri Kuu ya Taifa ya CCM ambayo aliitumikia kwa miaka 11. Katika mwaka 1984 kufuatia kile kilichojulikana kama kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Visiwani kulikoshuhudia kulazimishwa kustaafu kwa aliyekuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Sheikh Aboud Jumbe, Maalim Seif alichaguliwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Lakini kauli zake za uwazi za mara kwa mara za kuonyesha hafurahishwi na mwenendo mzima wa Muungano na kueleza Zanzibar haitendewi haki kwa baadhi ya mambo ndani ya Mungano kuliepelea kutimuliwa katika chama na pia kupoteza wadhifa wa Waziri Kiongozi kufuatia hatuahio ya chama.

Tokea wakati huo aliandamwa kwa kuonekana tishio la kisiasa na mwaka 1989 alifunguliwa mashitaka bandia ya kupatikana na nyaraka za siri za serikali. Alikaa miaka miwili gerezani, baadhi ya wakati katika chumba akiwa peke yake kwa muda unaoweza kufikia wiki mbili mpaka alipoachiwa na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kwa kuwa hakuwa na kesi ya kujibu.

Tanzania ilipofungua milango yake na kuruhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, Maalim Seif na baadhi ya wenzake aliofukuzwa nao Halmashauri Kuu ya CCM walikuwa miongoni ma walioanzisha Chama chaWananchi (CUF) na kuwa Makamo Mwenyekiti wake wa kwanza

Aligombea Urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, mwaka 2000, 2005, 2010,2015 na 2020, Alishindwa kwa kura chache, lakini mwenyewe amekuwa akiamini alishinda chaguzi zote hizo na aliporwa ushindi kwa sababu Tanzania na hasa Zanzibar haijakuwa tayari kupokea mfumo wa demokrasia kwa moyo safi.

Mnamo tarehe 18 machi 2019 maalim self alitangaza kujiunga na chanma cha ACT wazalendo baada ya kutokea kutokuelewana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba katika Mgogoro uliwafikisha Mahakani na Upande wa Seif Ukashindwa kesi.

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alimteua Dec 07, 2020 Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar. Uteuzi uliozingatia matakwa ya kifungu cha 9(3) cha katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kinachosomeka kwamba, muundo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar utakuwa wa Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia.

Hadi mauti unamkuta, Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.

Tarehe 31 Januari 2021 chama chake cha ACT Wazalendo kilisema kuwa wasaidizi kadhaa wa Bw Maalim Seif wamepatwa na maambukizi ya virusi vya corona. Pia kiliwafahamisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania kuwa mwenyekiti wake Maalim Seif Sharif Hamad na mkewe Bi Awena, wamethibitika kupata maambukizi ya Covid 19. Taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba


''Katika hali ya kuchukua tahadhari zaidi madaktari walimshauri Maalim Seif kuwa ni vyema awepo chini ya uangalizi maalum katika kipindi chote atakachokuwa anaendelea na matibabu'', ilisema taarifa ya ACT Wazalendo. Maalim Seif alipumzishwa katika Hospitali ya Mzazi Mmoja, Unguja.

Zaidi soma; Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Apumzike kwa Amani

---
PICHA

View attachment 1704565
Maalim Seif na Mwalimu Nyerere nyumbani kwa Mwalimu (The Clinic) Msasani

View attachment 1704567
Vipande vya picha mbalimbali vikionesha harakati za Maalim Seif

View attachment 1704569
Maalim Seif na Salmin Amour mwaka 1999 baada ya Mazungumzo ya Mwafaka
Inna lillah wa inna ilayh rajiuun: Mwenyeezi mungu aiweke roho yako pahala pema peponi.

Kwanza pole ziende kwa Familia, ndugu, jamaa, Wazanzibari wote na wana ACT. Nimepokea taarifa kwa masikitiko makubwa sana, ila kwa kuelewa uwezo wa Maulana nimezikubali taarifa na kuzikumbatia huku nikijua leo Maalim katangulia na kwa kuwa KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI, yeye katangulia nasi tupo nyuma yake.

Maalim umeacha pengo kubwa si kwa Wazanzibari tu bali ni kwa Tanzania nzima na Afrika. Pengo kubwa linatokana sifa moja kubwa uliyokuwa nayo ya kutokuwa mchumia tumbo. Ulipigania haki za Watanzania bila kujali pesa, kwani kama vyeo ulishavipata na ungepata hata hicho cha urais Zanzibar kama ungewasahau wananchi. Hivyo sifa zako kubwa ni Tatu: Haki kwa wote, Demokrasia ya kweli na upendo katika kudumisha amani. Ulipambana lakini kikomo chako ni pale ulipoona amani inataka kupotea, uliwatuliza wananchi na kutafuta njia mbadala, ukijua kuwa mabadiliko bila vita yanawezekana.

Ulizungumza hata na adui yako aliyekutesa na kutesa wananchi kama kufanya hivyo kutaleta unafuu wa maisha kwa watu wako. Hukujali kuchekwa wala kubezwa kwa lile uliloliamini. Umefanya hivyo miaka nenda rudi, wakati mwingine ulifanikiwa lakini wakati mwingine ilionekana kama umedanganywa lakini yote uliyafanya kwa nia njema tu.

Kubwa kabisa ni kuwa umeonyesha njia, njia ya kule ulipotaka tufike, nayo ni IDIOLOJIA thabiti ya kuamini katika utu wa Mtanzania, Kuleta demokrasia ya kweli, Kujenga uchumi imara na kuondokana na siasa za kibaguzi. Hapa umetuachia urithi dhabiti na imara, na kubwa zaidi umefanya kazi kwa karibu sana na vijana ambao wameiva na wako tayari kuvaa viatu vyako. Kwa hayo Jina lako ndani ya mioyo ya watanzania litaishi mkilele, kwa vile tutayaishi maisha yako. Wazanzibari wataendelea kula na kufaidi matunda uliyoyaacha kama vile ni mti wa idiolojia unaomwagiliwa maji usiku na mchana.

Namalizia kwa kusema Kila nafsi itaonja umauti, Inna Lillah wa inna ilayh rajiuun. Maalim kwaheri, Mwenyeezi Mungu aipumzishe roho yako pahala pema peponi. Amen.
 
Pole kwa familia, ndugu na Jamaa, hakika kaacha pengo kubwa katika siasa za Tanzania.
 
R.I.P mzee wetu Maalim Seif. Ulipambana kudai haki ya wazanzibar. Mungu akupumzishe mahali pema peponi, Amin
 
Inna lillah wainna illaih rajiuun. Kapumzike Maalim, umetenda kadri ya uwezo wako. Mungu akupe kauli thabit.
 

Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif amefariki ktk Hospitali ya Muhimbili. Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ametangaza siku 7 za maombolezo ya Kitaifa

Pia soma > Wasifu/ CV ya Maalim Seif Sharif Hamad, Historia yake kwa Ufupi

Kupitia ukurasa wa Twitter, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli atoa salamu za rambirambi pamoja na kutangaza siku tatu za maombolezo Kitaifa.

"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Natoa pole kwa Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Mwinyi, Familia, Wazanzibari, wanachama wa ACT-Wazalendo na Watanzania wote. Mungu amweke mahali pema peponi,Amina"


Pia soma > Zanzibar 2020 - Uchambuzi Urais Zanzibar 2020: Nafasi ya Maalim Seif Sharif Hamad
View attachment 1704550
Maalim Seif alizaliwa kutokana na familia ya wakulima wa kijiji cha Mtambwe, nje kidogo ya mji wa Wete, Pemba, katika Oktoba 22, 1943, Maalim Seif alivuka bahari ya mkondo wa Pemba kuja Zanzibar kuendelea na masomo ya sekondari kutoka 1958 hadi 1963.

Hakuweza kuendelea na masomo ya chuo kikuu pale alipotakiwa aende kusomesha katika shule za sekondari ili kujaza mapengo yaliowachwa na walimu wengi wa Kiingereza na wachache wa kizalendo baada ya Mapinduzi ya 1964. Wakati ule siasa kali za utawala wa mkono wa chuma ulishuhudia serikali ikitaifisha vikataa vidogo vya mashamba na nyumba za makazi za watu walioonekana maadui wa Mapinduzi ziliipelekea Zanzibar kuelezwa na nchi za Magharibi kama Cuba ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo, alifanikiwa kuchukua shahada ya kwanza ya Elimu, Sayansi ya Kisiasa na Uhusiano wa Kimataifa´kutoka mwaka 1972 hadi 1975 na aliporudi Zanzibar alichaguliwa msaidizi maalum wa Rais wa Zanzibar mpaka mwaka 1977 alipochaguliwa Waziri wa Elimu.

Katika medani ya siasa Maalim Seif alichaguliwa mjumbe wa Halamshauri Kuu ya Taifa ya CCM ambayo aliitumikia kwa miaka 11. Katika mwaka 1984 kufuatia kile kilichojulikana kama kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Visiwani kulikoshuhudia kulazimishwa kustaafu kwa aliyekuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Sheikh Aboud Jumbe, Maalim Seif alichaguliwa Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Lakini kauli zake za uwazi za mara kwa mara za kuonyesha hafurahishwi na mwenendo mzima wa Muungano na kueleza Zanzibar haitendewi haki kwa baadhi ya mambo ndani ya Mungano kuliepelea kutimuliwa katika chama na pia kupoteza wadhifa wa Waziri Kiongozi kufuatia hatuahio ya chama.

Tokea wakati huo aliandamwa kwa kuonekana tishio la kisiasa na mwaka 1989 alifunguliwa mashitaka bandia ya kupatikana na nyaraka za siri za serikali. Alikaa miaka miwili gerezani, baadhi ya wakati katika chumba akiwa peke yake kwa muda unaoweza kufikia wiki mbili mpaka alipoachiwa na Mahakama ya Rufaa ya Tanzania kwa kuwa hakuwa na kesi ya kujibu.

Tanzania ilipofungua milango yake na kuruhusu mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, Maalim Seif na baadhi ya wenzake aliofukuzwa nao Halmashauri Kuu ya CCM walikuwa miongoni ma walioanzisha Chama chaWananchi (CUF) na kuwa Makamo Mwenyekiti wake wa kwanza

Aligombea Urais wa Zanzibar katika uchaguzi wa kwanza wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, mwaka 2000, 2005, 2010,2015 na 2020, Alishindwa kwa kura chache, lakini mwenyewe amekuwa akiamini alishinda chaguzi zote hizo na aliporwa ushindi kwa sababu Tanzania na hasa Zanzibar haijakuwa tayari kupokea mfumo wa demokrasia kwa moyo safi.

Mnamo tarehe 18 machi 2019 maalim self alitangaza kujiunga na chanma cha ACT wazalendo baada ya kutokea kutokuelewana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof Ibrahim Lipumba katika Mgogoro uliwafikisha Mahakani na Upande wa Seif Ukashindwa kesi.

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alimteua Dec 07, 2020 Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar. Uteuzi uliozingatia matakwa ya kifungu cha 9(3) cha katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 kinachosomeka kwamba, muundo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar utakuwa wa Umoja wa Kitaifa na utendaji wa kazi zake utafanywa katika utaratibu utakaohakikisha kuendelezwa kwa umoja nchini na lengo la kufikia demokrasia.

Hadi mauti unamkuta, Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.

Tarehe 31 Januari 2021 chama chake cha ACT Wazalendo kilisema kuwa wasaidizi kadhaa wa Bw Maalim Seif wamepatwa na maambukizi ya virusi vya corona. Pia kiliwafahamisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania kuwa mwenyekiti wake Maalim Seif Sharif Hamad na mkewe Bi Awena, wamethibitika kupata maambukizi ya Covid 19. Taarifa hiyo iliendelea kusema kwamba


''Katika hali ya kuchukua tahadhari zaidi madaktari walimshauri Maalim Seif kuwa ni vyema awepo chini ya uangalizi maalum katika kipindi chote atakachokuwa anaendelea na matibabu'', ilisema taarifa ya ACT Wazalendo. Maalim Seif alipumzishwa katika Hospitali ya Mzazi Mmoja, Unguja.

Zaidi soma; Zanzibar: Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe Bi Awena waambukizwa virusi vya Corona

Apumzike kwa Amani

---
PICHA

View attachment 1704565
Maalim Seif na Mwalimu Nyerere nyumbani kwa Mwalimu (The Clinic) Msasani

View attachment 1704567
Vipande vya picha mbalimbali vikionesha harakati za Maalim Seif

View attachment 1704569
Maalim Seif na Salmin Amour mwaka 1999 baada ya Mazungumzo ya Mwafaka

Tujikumbushe ahadi zake Uchaguzi 2020

View attachment 1704645
Huu uzi acha tu nipite kimya nisicomment chochote maana...
Yote tumwachie Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema, mwenye haki.
R.I.P maalim Seif mpambanaji uliyevuja jasho na damu kupambania haki ya Wazanzibar.
 
Back
Top Bottom