Makamu wa Rais awasili Rwanda kumuwakilisha Rais Samia katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Afrika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali nchini Rwanda ambapo anatarajia kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika wa Mwaka 2022 (AGRF 2022) unaofanyika nchini humo kuanzia tarehe 6 hadi 9 Septemba 2022.





 
Kilimo Kwanza na Malinduzi ya Kijani.

Je ule usemi wetu wa kilimo kwanza kama kipaumbele chetu kuchagiza mapinduzi ya kijani unafanywa kwa vitendo au ndiyo serikali imewatupa wakulima ?

AGRF 2022
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…