Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Hapa wamebugi kabisa haifai kabisa hilo sio Godauni Kabuli lina Heshima yake Wajenge Nyumba nzuri kabisa Napinga kwa ngvu zangu zote Kuzungushia uzio kwa style hiiView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Hapo serikali haijajenga, familia watakuwa wameficha aibu kwa kujenga hicho kibanda.View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?Leo makamu wa rais Dk Philip Mpango amezuru kaburi la hayati JPM. Makamu wa rais anaelekea Kibondo kwa ajili ya kufunga Kampeni kesho
View attachment 1784287
Kwa hiyo kama amezikwa hivi karibuni ndio hutembelei kaburi?Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?
Kivipi yani?Mzee wetu Dr Magufuli wetu alizikwa ki'mila safiii sana
Kitajengwa kitu kama cha Butiama.Haya mabati hayana taswira nzuri yabomolewe na kuwekwe mandhari stahiki
Tena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.Kwa hiyo kama amezikwa hivi karibuni ndio hutembelei kaburi?
kwamba yakiwekwa mengine marehem atapata hewa safi?Haya mabati hayana taswira nzuri yabomolewe na kuwekwe mandhari stahiki
Kijana kuwa muelewa, ameshuka Chato kwa ndege anaunga Kibondo kuna ubaya kupita?Tena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.
Wahutu wanapenda sana kuabudu mizimuTena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.
Kinda of stupiditykwamba yakiwekwa mengine marehem atapata hewa safi?