Makamu wa Rais azuru Kaburi la Magufuli akiwa njiani kuelekea Kibondo

Makamu wa Rais azuru Kaburi la Magufuli akiwa njiani kuelekea Kibondo

Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?
Hakuwa makamu wa Rais, alikuwa waziri sasa kaenda kama naibu rais.
 
View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Ujenzi wa apo mzuri hauzidi mil 150 standard kabisa so hata wabunge wa ccm mnashindwa fanya ilo mpaka kusubili serikali au familia, Mnatetea legacy yake wakati Mambo madogo hamfanyi, changeni laki 7 kila mmoja hapo bungeni mtakua mmepata ml 210 pendekeza mchoro wakabidhi serikali pitia waziri mkuu ,wakafanye Mambo ,
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.

Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.

Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye
Si tulisha malizana na huyu jamaa?
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.

Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.

Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye
Kufa kufaana,
Hv akienda kwa shughuli za kichama anagharamiwa na chama au serikali.
 
Back
Top Bottom