Makamu wa Rais azuru Kaburi la Magufuli akiwa njiani kuelekea Kibondo

Makamu wa Rais azuru Kaburi la Magufuli akiwa njiani kuelekea Kibondo

Ujenzi wa apo mzuri hauzidi mil 150 standard kabisa so hata wabunge wa ccm mnashindwa fanya ilo mpaka kusubili serikali au familia, Mnatetea legacy yake wakati Mambo madogo hamfanyi, changeni laki 7 kila mmoja hapo bungeni mtakua mmepata ml 210 pendekeza mchoro wakabidhi serikali pitia waziri mkuu ,wakafanye Mambo ,
Wachange halafu washindwe kufankamia whiskey!
 
Wachange halafu washindwe kufankamia whiskey!
Ndo shida yao tu ,kwani katika mil 11 kila mbunge akitoa laki saba Kuna shida gani? Kwanza aliwasaidia Sana fika hapo mjengoni sio lazima kila kitu serikali bado bunge laweza fanya Jambo ,ukizingatia ni Rais wa kwanza fia madarakani ,wanashindwa kujiongeza KWA vitu vidogo
 
Team mwendazake mwaninifu. Sijui how he is aligning with the new post and new phase !!!!!
 
Kijumba kizuri kinajengwa soon. Mchakato unaendelea. Tusiwe wepesi wa kulaumu wakati amekufa hata miezi 2 bado.
 
Ndo shida yao tu ,kwani katika mil 11 kila mbunge akitoa laki saba Kuna shida gani? Kwanza aliwasaidia Sana fika hapo mjengoni sio lazima kila kitu serikali bado bunge laweza fanya Jambo ,ukizingatia ni Rais wa kwanza fia madarakani ,wanashindwa kujiongeza KWA vitu vidogo
Wakichanga au hata kutoa mawazo ya kuchanga unistue ili nami nitoe mchango wangu!
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.

Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.

Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye
Mapema hii wameanza kuabudu kaburi. Duh!
 
Tena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.
Asingeenda ungeona mandhari ilivyo kwa sasa!? Ujumbe unatumwa, ili wakufurahi wa furahi kwa miradi yao haramu ya kutubagua watanzania! Hata hivyo, watashindwa kuvunja umoja, amani, na upendo wa watanzania.
 
View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Kwanini wamefupisha herufi P ?yaani John p.joseph magufuli?wangeandika in full tu
 
Back
Top Bottom