Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
Niwekeni kwenye moja ya team ntapiga kaz bure hata naul sitakTutaanza kufanya kama ulivyoshauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niwekeni kwenye moja ya team ntapiga kaz bure hata naul sitakTutaanza kufanya kama ulivyoshauri.
Wataje acha kuuma uma maneno na kula kucha Kama kabinti ka miaka 14 kanatongozwa na mwalimu wake.Namalizia kufanya Upelelezi wangu Binafsi nasikia kuna Taasisi Moja Kubwa tu na inayoheshimika na hata Kuogopwa Tanzania kuna huu Upuuzi na Upumbavu mkubwa kwa Watendaji wake ili wapate Safari nyingi za kwenda Nje, Kupata Cheo au kuwekwa katika Vitengo vya Pesa.
Na aliyenipa Tip hi ni wa huko huko.
Wasisahau na wale wanaowafira wake zao.Sheria ipo na kali. kifungo miaka 30 au maisha. Pengine kinachotakiwa ni kukumbusha jamii na ulimwengu kwa ujumla.
Yaap Cheo cha Urais wa Nchi sio poa.Na huyo tu ndiyo alikuwa Rais hasa.