Agustin kun Aguero
JF-Expert Member
- Mar 22, 2023
- 532
- 641
Hakuna, the same applies to gays and lesbians.Bangi nikivuta mm namuathir nani mwingine
Wao wakifanya mapenzi kwenye faragha zao kwa hamu zao, kuna outsider anaathirika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna, the same applies to gays and lesbians.Bangi nikivuta mm namuathir nani mwingine
Yaan kama mwanangu atapotea kusikojulikana
Mkuu, jamii zetu watu hawana tabia ya kuheshimu uhuru na maamuzi ya wengine hata kama hayamuathiri kwa chochote.UKIMPOTEZA TUTAKUSHUGHULIKIA MPAKA MAJI UITE MMA.
Tofautisha kati yaMkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.
Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.
Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
HAKUNAGA HIYO AINA YA COVERT OPERATION.yn tunaipukutisha idadi yao kimya kimya! Wajikute tu wanaisha taratibu bila hata kuelewa yn. Nadhan nimeeleweka
Huu ujinga utauacha lini kushikiwa akili kuambiwa kua Ushoga ni mbaya ..acha Siasa fanya kaziMakamu wa Rais wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema kuwa hali ya Ushoga nchini Tanzania sasa imefikia pabaya na kutaka Jamii Kubadilika na Kuimarisha Maadili ya Mtanzania.
Taarifa: Gazeti la Nipashe la Leo.
Mama na Wewe sasa sema Kitu tu!!!
====
Mpango: Hali mbaya mmomonyoko maadili
MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema hali ya mmomonyoko wa maadili, inazidi kuwa mbaya huku akikemea ndoa za jinsia moja.
Kutokana na hali hiyo, amewasisitiza wazazi kuwalea watoto wao katika maadili ya Kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayoonyeshwa kwenye televisheni.
Dk. Mpango amesema kwa sasa kumekuwapo na mmomonyoko wa maadili, ikiwamo ndoa za jinsia moja na kuwataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kukemea vikali, ili kuondokana na taifa lisilofaa kwa vizazi vya sasa na baadaye.
Alisema hayo jana wakati akizungumza na waumini wa kijiji cha Kasumo mkoani Kigoma baada ya kushiriki ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani lililoko kijijini hapo.
Makamu wa Rais aliwataka wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika televisheni.
“Paroko hili ni zito, gumu kweli. Maadili ya nchi yetu yameporomoka sana. Hayo masanamu uliyokuwa ukituhubiria yamejaa, yamekuwa mengi kupindukia na mengine hata kuyasema ni ngumu. Mimi niliyezaliwa katika kijiji hiki naogopa, ndoa za wanaume wawili, ndoa za wanawake wawili mliziona wapi? Hata wanyama hawafanyi hivyo,” alisema.
“Kwa hiyo nawasihini sana, najua nyumbani kuna televisheni, mchague watoto, vijana wanaangalia nini, vinginevyo tutakuwa na taifa la ajabu kabisa,” alisisitiza.
Ibada hiyo ilihudhuriwa pia na mke wake, Mama Mbonimpaye Mpango na kuongozwa na Paroko wa Parokia hiyo, Padre Joseph Mashaka.
CHANZO: Nipashe
We utembei kweli, mi kwa Mara ya kwanza shoga nilimuona dar magomeni mapipa, wa pili kagera, Kama Moro Kuna lishoga Eriki linapita linajichetua watu wanalizonga likifika mbele linakatika linajitingisha mitako.Hivi hawa mashoga huwa mnakutana nao wapi? mi naona kama haya mambo mnayakuza sana tofauti na uhalisia.
Kwani na Wewe ni Shoga / Mwendo Mkuu?Huu ujinga utauacha lini kushikiwa akili kuambiwa kua Ushoga ni mbaya ..acha Siasa fanya kazi
MUSEVEN MWENYEWE KASHATEPETA.Kwani hatumuoni museven anachofanya nchini kwake
Shoga mtoto wakoKwani na Wewe ni Shoga / Mwendo Mkuu?
ACHANA NAO. USIWAFUATE.We utembei kweli, mi kwa Mara ya kwanza shoga nilimuona dar magomeni mapipa, wa pili kagera, Kama Moro Kuna lishoga Eriki linapita linajichetua watu wanalizonga likifika mbele linakatika linajitingisha mitako.
Mkome kumlisha rais Samia maneno.Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema kuwa hali ya Ushoga nchini Tanzania sasa imefikia pabaya na kutaka Jamii Kubadilika na Kuimarisha Maadili ya Mtanzania.
Taarifa: Gazeti la Nipashe la Leo.
Mama na Wewe sasa sema Kitu tu!!!
====
Mpango: Hali mbaya mmomonyoko maadili
MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema hali ya mmomonyoko wa maadili, inazidi kuwa mbaya huku akikemea ndoa za jinsia moja.
Kutokana na hali hiyo, amewasisitiza wazazi kuwalea watoto wao katika maadili ya Kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayoonyeshwa kwenye televisheni.
Dk. Mpango amesema kwa sasa kumekuwapo na mmomonyoko wa maadili, ikiwamo ndoa za jinsia moja na kuwataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kukemea vikali, ili kuondokana na taifa lisilofaa kwa vizazi vya sasa na baadaye.
Alisema hayo jana wakati akizungumza na waumini wa kijiji cha Kasumo mkoani Kigoma baada ya kushiriki ibada ya kawaida ya katikati ya wiki katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Amani lililoko kijijini hapo.
Makamu wa Rais aliwataka wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili ya kitanzania pamoja na kuongeza umakini katika maudhui yanayooneshwa katika televisheni.
“Paroko hili ni zito, gumu kweli. Maadili ya nchi yetu yameporomoka sana. Hayo masanamu uliyokuwa ukituhubiria yamejaa, yamekuwa mengi kupindukia na mengine hata kuyasema ni ngumu. Mimi niliyezaliwa katika kijiji hiki naogopa, ndoa za wanaume wawili, ndoa za wanawake wawili mliziona wapi? Hata wanyama hawafanyi hivyo,” alisema.
“Kwa hiyo nawasihini sana, najua nyumbani kuna televisheni, mchague watoto, vijana wanaangalia nini, vinginevyo tutakuwa na taifa la ajabu kabisa,” alisisitiza.
Ibada hiyo ilihudhuriwa pia na mke wake, Mama Mbonimpaye Mpango na kuongozwa na Paroko wa Parokia hiyo, Padre Joseph Mashaka.
CHANZO: Nipashe
Kawe Ukwamani kuna Shoga Maarufu aitwae Micky mwaka Jana alianza kutaka Kunishobokea ila tokea anishuhudie nikimuadabisha Kibaka Mtaani Kikatili / Kishalubela na kuambiwa na Watu kuwa natokea Mkoa wa Wanamume ( wa Mara ) hajanisumbua tena hivi leo na ana bahati sana kwani kwa ambacho nilipanga Kumfanyia ndiyo angejua kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna Kolabo na kwanini Nyoka hana Ugoko kama Yeye.We utembei kweli, mi kwa Mara ya kwanza shoga nilimuona dar magomeni mapipa, wa pili kagera, Kama Moro Kuna lishoga Eriki linapita linajichetua watu wanalizonga likifika mbele linakatika linajitingisha mitako.
Huna Akili.Mkome kumlisha rais Samia maneno.
Mkoa Wako au mji unaoishi ushakutana na mashoga wangapi mwaka huu?upo dunia gani mkuu
Wewe ulijuaje hao watu ni mashoga au unatumia kiashiria gani kujua huyu mtu ni shoga?1. Ni mwalimu wa chuo kikubwa kabisa cha elimu ya juu pale Dodoma.
2. Dr pale Dodoma kwenye hospitali ya sirikali kubwa iliyopo katikati ya mji.
3. MD kwenye shirika moja kubwa linalo heshimika lenye makao makuu yake maeneo ya mikocheni.
4. Huyu anaitwa Prince, sijawahi kujua anafanya nini lakini anapendelea sana Platinum Bar pale area C.
Na hao wote ni watu wanajiweza kifedha tena sio watu ambao wanajiombeleza vinywaji kama akina sisi tukiwa bar.
Niliota ndotoWewe ulijuaje hao watu ni mashoga au unatumia kiashiria gani kujua huyu mtu ni shoga?
Pengine na wewe ni shoga ndio maana ukaota hiyo ndoto kama ufunuo?Niliota ndoto