Makamu wa Rais, Dkt. Mpango akemea ndoa za jinsia moja

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango akemea ndoa za jinsia moja

Swali fikirishi. Kuna watu wanapenda kuwa na mafanikio ya harakaharaka ya kumiliki mali na fedha nyingi. Inawezekana wengine walifanyiwa mchezo mchafu wa kuingiliwa yaani kulawitiwa kama kafara badala ya kutoa ndugu afe. Sasa kama mtu utajiri wake ni kufanyiwa kafara la kulawitiwa, huyo mtu awekwe kundi gani miongoni mwa mashoga? Dunia ina mambo ya ajabu sana mashoga yanaonesha simu za gharama kubwa yakijisifu kuwa yamezipata kwa kulawitiwa
 
Sababu ya kumuua hakuna,Ila asiachwe kueneza/endeleza ushoga wake,zifanywe jitihada za kumtoa huko
Mkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.

Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.

Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
 
Mkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.

Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.

Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
Huo siyo uhuru unaotakikana,wananitongoza Sana fb, binaadam akiachiwa huru kupitiliza shida sharti zitokee
 
Hao mashoga nyie mnawaona wapi mpaka mseme hali imekuwa mbaya ivo mana sie wengine hatuwaon huku mtaan kila mtu unamuona yuko fresh tu na mbishe zake au huwa mnawala ndio mnakuwa mnawajua ka wako wengi
HAWA WANAKUZA HII AJENDA ILI KUPOTEZA MABOYA KUHUSU TOZO NA MAISHA MAGUMU.

YULE CHIZI WA UGANDA ALIITUMIA HII MBWINU, LAKINI JANA KAPIGWA BITI NA MABEBERU KATOKOMEA SHIMONI.
 
Twende taratibu.

Sababu ya kutaka kumuua shoga ni ipi?

Na je ukimuacha afanye maamuzi yake kwenye mwili wake wewe unaathirika nini?

(Usiandike kwa mihemko tafadhali)
HALAFU HAWA WAPINGA USHOGA MARA NYINGI NI MASHOGA FICHE.

IMETHIBITISHWA NA SAYANSI ZA SAIKOLOJIA KUWA WATU HUCHUKIA KILE AMBACHO NI WAO.

NA WENGI WAO HAWA WANATAFUNA MAVI KWELI KWELI, LAKINI WAKIWA MBELE ZA WATU WANAJIFANYA KUFOKEA USHOGA.

HILI NALO TUTALITIZAMA.
 
Twende taratibu.

Sababu ya kutaka kumuua shoga ni ipi?

Na je ukimuacha afanye maamuzi yake kwenye mwili wake wewe unaathirika nini?

(Usiandike kwa mihemko tafadhali)
Kutembea uchi ya uchi ni sawa si sawa? Fkr na watoto wanakua
Haki zipo lakn znaukomo
 
hakuna mwanajimii mwenye akili timamu atafurahia kuona shoga akitaabishwa na kunyanyaswa. Hatuungi mkono ushoga ila mashoga ni watu na utu wao ulindwe
Utu gani achen kutetea ujinga imagine mwanao awe shoga huwez pata huu ujasir wa kusema cjui utu
Yaan dume kama demu
 
Mkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.

Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.

Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
Bangi nikivuta mm namuathir nani mwingine
 
Hivi Mashoga na mnaowala Mashoga Huwa ni wazimu au mnakuwa mmepatwa na nini hasa?

Huyo anaesema Hali ni mbaya amewaona wapi? Kwamba Kuna Watumishi au viongozi wa siasa ni Mashoga?

Nani anaweza nithibitishia hili maana Mimi Kwa umri wangu sijawahi shuhudia Kwa macho hapa Tanzania zaidi ya kuambiwa kama hivi unless Huwa Kuna maeneo maalumu nao wanajiuza kama wanawake lakini hata huko sijawahi ona na sitaki kuona maana nitasikitika sana.
Wengine ndio maagano yao na Yule mwovu. "Ukitaka hiki,fanya hiki"
 
Ni habari ya kushitua kwa kiongozi wa juu kukiri kuwepo kwa mapenzi ya jinsia moja. Maana yake kuna tatizo hilo miongoni mwa jamii na wanashangaa mahusiano hayo. Niwaombe msimuingize mama mkenge naye akataoa kauli kisha ikahamia bungeni kutungiwa sheria kuwatia korokoroni wapenzi hao.

Tunahofia nchi yetu isije ikawekewa vikwazo vya uchumi kuwa inakadamiza haki za binadamu kwa kuingilia faragha zao. Habari za mashoga nimeanza kuzisoma miaka 20 ishirini iliyopita, tena mashoga yakijiremba kama wanawake na kushiriki shughuli za burudani hadharani hasa muziki wa taarabu na kitchen part. Kulikuwa na mashoga maarufu yale majina yao yalianza na title aunt ...

Ina maana serikali haikuona wapenzi hao miaka hiyo? Sasa nini kinawafanya washangae uwepo wa mashoga wakati wapo muda mrefu? Yaani hapa wanaukoleza badala ya kuufifisha. Hebu wasitake kukwaruzana na marekani na washirika wake wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja. Mambo mengine unasukumiwa uingie kingi ili msimamo wako ujulikane, ni mtego wa kuepukwa.
Lazima serikali itoe tamko mkuu. Kukaa kimya kunaweza kuleta tafsiri nyingi.
 
Yaani Tanzania na baadhi ya watanzania ni bure kabisa, sasa rais asemeje kwani ni janga la taifa hili, taasisi za dini za watu husika zipi, tupitishe sensa tujue wa dini ipi wako wengi na tutawatambua kwa majina yao, then hatua zichukuliwe
Acha udini.
 
Back
Top Bottom