cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
mkuu mbona unaingia kwenye mtego kirahisi hvo?
Mtego upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mbona unaingia kwenye mtego kirahisi hvo?
we ni kiazi?Mtego upi?
we ni kiazi?
Kwa taatifa tu..maskini wengi wanafyatua watoto si kawaidaDaaaa sisi Maskini inakuwaje
Wajua kila ktu bibie ila uliingia kwenye mtego kirahisi sana.Ha ha Haa Kiazi
Sasa wewe umesema wajua Wazee(sabujekti imebadilishwa pia) n.k. .. Nami nauliza maana wajua na sijui loloteee.
dini ni mapokeo tuLikikufika wala hutowaza dini -- mtoto kwanzaa kisha mwendelezo wa ibada -
Mil 2?Nina mtu aliefanyiwa hii procedure mloganzila sasa mimba ina miezi 5 vipi au mloganzira ni tofauti? Zilimtoka kama 2mill+
we are far back 300years kuna issue muhimu sana zaidi ya hiyo ambayo tunahitaji kama watanzania walio wengi hiyo wanao mudu waifuate kule inapopatikana,after all private nyingi dar zinafanya zaidi ya mbilimbona unasogeza magoli, gharama watamudu watakaomudu kwan kuna kulazimishwa?
Kuna, stali mwembamba sana kati ya surrogacy na IVF in short they depend on each other in terms of technologyBora surrogacy kuliko IVF.
Nikategemea huyu na Kassim, kuwa ndiyo WATETEZI wa sisi WATANGANYIKA, kumbe ni MABOYA tu kwenye Serikali hii!Huyu kabakia kufungua vituo vya afya na shule ndani ya nchi hana mgongo zaidi ya hapo.
Ndiyo majukumu ya Makamu wa Rais!Huyu kabakia kufungua vituo vya afya na shule ndani ya nchi hana mgongo zaidi ya hapo.