Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna mwafrika anaefaa kuwa raisMleta mada ni boya sana, Bado unaamini kuna mwana CCM anafaa kuwa raisi?
Watu wanapaswa kuingia magotini kama wakati uliopita na mambo yatatokea tena.Mungu atusaidie,
Huyu mpemba mwenzangu tumepigwa.
Halieleweki analo ongea.
Haeleweki anakokwenda.
Anakotupeleka ndio giza gizaaaa.
Bora mmanyema ameshafanya kazi benki ya dunia anajua uchumi wa dunia ukoje.
Pia wasije wakafanya matukio ya kumuondosha Mama kama yaliyotokea kwa JPM ili automaticall aapishwe tu maana maneno huumba.Na vile hatujuani kwa hizi ID feki ukute alieandika hapa ndo huyo mpango mwenyewe..😂
Gibberishnchi zote zilizoendelea ni kwasababu ya kiongozi wajuu imara, hakuna nchi iliyoendelea kwasababu ya taasisi imara wala katiba imara.
Marekani illiendelea kwasababu ya FDR, Uingereza kwasababu ya Henry VII, Russia kwasababu ya Stalin n.k
Akili zako ziko makalioni ndio maana huoni kazi za mamaMungu atusaidie,
Huyu mpemba mwenzangu tumepigwa.
Halieleweki analo ongea.
Haeleweki anakokwenda.
Anakotupeleka ndio giza gizaaaa.
Bora mmanyema ameshafanya kazi benki ya dunia anajua uchumi wa dunia ukoje.
Yaani watu wanaongezea petroli kwenye moto.
Wakati bei za bidhaa zinapanda kila uchwao nao ndio wanatanganza ongezeko la mshahara.
post #31Akili zako ziko makalioni ndio maana huoni kazi za mama
😂shenz taipuNa vile hatujuani kwa hizi ID feki ukute alieandika hapa ndo huyo mpango mwenyewe..😂
Sio wa ajabu tu.Mkuu kuna watu wana akili matope na nchi yetu imo
Wenzetu wanajua kuwa kupandisha mishahara ni kupandisha maisha kuwa juu zaidi
Tuna wachumi wa ajabu sana
ashasau kipindi cha mwendazake alikuwa waziri wa fedhaMpango ni kiongozi
Mnafiki
Muongo
Muoga
Mfata upepo
Kifupi hafai kua hata mwenyekiti wa serikali za mitaa tatizo ni alikalili vizuri darasani na kupata vyeti na anaonyesha kabisa kuibadilisha elimu kua maendeleo hawezi.
Jee umeshamuuliza raisi watu wa aina gani ambao anaweza au angependa kuwaongoza?Mungu atusaidie,
Huyu mpemba mwenzangu tumepigwa.
Halieleweki analo ongea.
Haeleweki anakokwenda.
Anakotupeleka ndio giza gizaaaa.
Bora mmanyema ameshafanya kazi benki ya dunia anajua uchumi wa dunia ukoje.
WanazinguaYaani yeye ndio aliua uchumi wakati wa JPM yet yeye ndio Mshauri Mkuu waSSH kwenye uchumi na mnasema JPM uchumi uliuawa na kwa SSH umeinuka. Upumbavu
Umesahau kanuni moja ya uongozi ' Usitake kuonekana unajua Sana kuliko Mkubwa wako'Bora angebakia pale pale kwenye uwaziri wa hela ila tangu apewe ulaji hapo kwenye mjengo mweupe,mrefu jamaa yupo kimya kabisa hana jipya.Hii nyadhifa ilimfaa Majaliwa jamaa ni mtu na nusu.
Anyway;Viongozi wetu wakuu sisi tunachotaka ni maendeleo tu.
#Majaliwaforpresidency