Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sio wa ajabu tu.
Wanamwogopa namba moja.
Hawataki kumuambia ukweli.
Wanajuana hao
Wanakula sahani moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wa ajabu tu.
Wanamwogopa namba moja.
Hawataki kumuambia ukweli.
Mbona wamekufa na maendeleo bado yapo? Taasisi imara.nchi zote zilizoendelea ni kwasababu ya kiongozi wajuu imara, hakuna nchi iliyoendelea kwasababu ya taasisi imara wala katiba imara.
Marekani illiendelea kwasababu ya FDR, Uingereza kwasababu ya Henry VII, Russia kwasababu ya Stalin n.k