Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Wenzangu Wote Mmewapa Miaka 10
Mimi Kweli Ndiyo Mninyime!! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚
 
@mama D kumbe nawe nikiazi namna hii? Pole sana

MtuHabari mimi sio kiazi kama wewe uliyeshindwa kujenga upinzani imara kwa nchi yako
Ukweli mchungu ni kwamba Wa kuitishia CCM hawajatokea bado
Acheni kuanzisha Sacco kwaajili ya matumbo yenu.... anzisheni vyama vya siasa wa maslahi ya umma wa Watanzania
 
Hapo kaonyesha kiasi cha ujinga alichonacho ktk phd yake
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
 
Binamu tutakapokua na vyama vingi na vikawa vyama imara kweli CCM hawataonekana kuikataa demokrasia

Tatizo wanaojiita upinzani nao magumashi tuu
Vyama vya upinzani visingekuwa imara marehemu Jiwe na CCM yake yote , polisi , tiss , tumeccm mngehangaika kupora uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mpaka kuua watu , kuteka , kufunga kubambikia kesi wapinzani ? Hivi nyinyi hamnaga hata aibu ?
 
Wale waliokua wanampangia Rais Samia Suluhu Hassan cha kufanya nadhani tumeshaelewana๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ’ช

Tanzania iko imara sana๐Ÿ˜๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโ™ฅ๏ธ

Alale salama kipenzi chetu John Pombe Magufuli ๐Ÿ™
Mawazo ya kijinga halafu upo upande wetu wa serikali, hivi tunatoaga wapi watetezi wa aina yako?

Tanzania ndio ipo imara ndio na Dr Vp umemtafsiri vibaya, hufanyi analysis unakimbilia ushindi tu na kuponda upande wa pili bila kufikiri.

Watu wa aina yako mna matatizo ya vita vya ushabiki wa kimakundi.

Kila serikali inachoongea hufanyi analysis bali unatafuta uhalali wa kuhalalisha ushindi wa mawazo yako ya makundi.

Mfano hujafikiri juu ya ujumbe wa upinzani na vita na wezi alioongea Dr. Vp, umekimbilia kushangilia sababu akili yako imetafsiri ushindi wa kundi lako. UJINGA MTUPU.

Bungeni wapo wabunge 25 tu wa upinzani. Kati ya hao 19 hawana maelewano mazuri na chama chao. Serikali ni ya CCM na imeundwa na watendaji wa CCM

Huwezi unda serikali ya watu wa chama chako kisha ukajiandaa kukamata wezi, NO. Jiandae kukuza ajira, mzunguko wa fedha, miundombinu, kukamilisha miradi etc sababu ulipaswa kuchagua watu waadilifu maana hakuna wapinzani.

Sasa wewe badala upambane kukishauri chama na serikali yetu namna ya kukuza ajira, biashara na mzunguko wa fedha maana ni watendaji wa ccm ndio wanaunda serikali 100% wewe unashangilia statement ya Dr Vp juu ya kukamata wezi ambao ni watu wa ccm waliochaguliwa na serikali yake na kupambana na upinzani usiokuwepo.

Wizi hautakiwi kutegemewa maana chama kinatakiwa kichague watu waadilifu.

Nina matumaini sana na Mama Samia, amenza vizuri sana, Mpango si mtu wa makundi hivyo Hatutarajii mtindo wa uongozi wanaotegemea kundi lolote bali mwendelezo kufuata sera za chama na katiba ya nchi.

KILA LA HERI SAMIA.
 
Vyama vya upinzani visingekuwa imara marehemu Jiwe na CCM yake yote , polisi , tiss , tumeccm mngehanaika kupora uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu .

Acheni kutafuta excuse ya kushindwa! Chama kinapokua imara hakizuiliki Chief Kabikula.... sio police wala tume wanaweza zuia nguvu ya umma

Vipi yale maandamano baada ya uchaguzi uliyafanyia wapi?
 
Uzuri akizingua COVID 19 ipo itakuja na wimbi la tatu itasafisha ikulu sis wananchi tumeshindwa ila jeshi covid itafanya
 
Acheni kutafuta excuse ya kushindwa! Chama kinapokua imara hakizuiliki Chief Kabikula.... sio police wala tume wanaweza zuia nguvu ya umma

Vipi yale maandamano baada ya uchaguzi uliyafanyia wapi?
Nakumbuka Nccr ya Lyatonga Mrema!
 
Sasa Tanzania tuna vyama vya upinzani kweli?
MtuHabari mimi sio kiazi kama wewe uliyeshindwa kujenga upinzani imara kwa nchi yako
Ukweli mchungu ni kwamba Wa kuitishia CCM hawajatokea bado
Acheni kuanzisha Sacco kwaajili ya matumbo yenu.... anzisheni vyama vya siasa wa maslahi ya umma wa Watanzania
Hivi kama hakuna vyama vya upinzani vinavyo kubalika na jamii ya Watanzania nini sababu hasa ya kupora kura na wizi?
Kwa nini kutumia NEC na Polisi kupata ushindi badala ya kura? Kama unaishi Tanzania na hayo yanayotokea kwenye uchaguzi huyaoni kwa nini usiitwe KIAZI? tena mbatata kabisa.
Hivi ukiangalia bunge lililopita na hili ambalo hakuna wabunge (wa ukweli wa Chadema) hamuoni tofauti?

 
Tanzania ndio ipo imara. Ila watu wa aina yako mna matatizo ya vita vya ushabiki wa kimakundi.

Kila serikali inachoongea hufanyi analysis bali unatafuta uhalali wa kuhalalisha ushindi wa mawazo yako ya makundi.

Mfano hujafikiri juu ya ujumbe wa upinzani na vita na wezi alioongea Dr. Vp, umekimbilia kushangilia sababu akili yako imetafsiri ushindi wa kundi lako. UJINGA MTUPU.

Bungeni wapo wabunge 25 tu wa upinzani. Kati ya hao 19 hawana maelewano mazuri na chama chao. Serikali ni ya CCM na imeundwa na watendaji wa CCM

Huwezi unda serikali ya watu wa chama chako kisha ukajiandaa kukamata wezi, NO. Jiandae kukuza ajira, mzunguko wa fedha, miundombinu, kukamilisha miradi etc sababu ulipaswa kuchagua watu waadilifu. Hakuna wapinzani.

Sasa wewe badala upambane kukishauri chama na serikali yetu namna ya kukuza ajira, biashara na mzunguko wa fedha maana ni watendaji wa ccm ndio wanaunda serikali 100% wewe unashangilia statement ya Dr Vp juu ya kukamata wezi ambao ni watu wa ccm waliochaguliwa na serikali yake.

Wizi hautakiwi kutegemewa maana chama kinatakiwa kichague watu waadilifu.

Nina matumaini sana na Mama Samia, amenza vizuri sana, Mpango si mtu wa makundi hivyo Hatutarajii mtindo wa uongozi wanaotegemea kundi lolote bali mwendelezo kufuata sera za chama na katiba ya nchi.

KILA LA HERI SAMIA.

Umeandika saana lakini kitu kimoja tuu uelewe kwamba kujenga chama imara sio lelemama

Unalalamika kuhusu idadi ndogo ya wapinzani bungeni..... sasa kama ndio walipata nafasi ulitakaje? Au kwa sababu kuna upinzani lazima bungeni wawepo wengi hata kama hawajakidhi vigezo?

Upinzani walikaa vizuri sana miaka 2010 lakini walijimaliza wenyewe 2021 kwasabu ya tamaa zao binafsi. Na sasa ndio wamejichimbia kaburi kabisaaaa

Kabla ya kuilaumu CCM tuongee ukweli kuhusu upinzani
 
Msipobadilika mkaacha kujenga vyama vya ulaji na kujenga vyama vyenye misingi imara kwa wananchi mtaendelea kulialia hadi mwisho wa dunia

Btw upinzani imara ni kitu kizuri sana kwa maslahi ya taifa
Inasemekana mwaka 1909 Henry Ford aliwaambia wateja wa gari lake aina ya Model T kuwa wana uhuru wa kuchagua gari la rangi yeyote wanayoipenda ili mradi iwe nyeusi.
Hii haina tofauti na nyie kutuuambia kuwa wananchi watakuwa na uhuru wa kuchagua chama chochote cha upinzani ili mradi kiwe CCM au kipate baraka ya CCM.

Upinzani imara utatokeza pale tu ambapo patakuwa na taasisi imara za kuhakikisha kuwa vyama vyote vina haki sawa. Hakuna chama chenye haki ya kuamua taswira ya chama kingine. Ni kama Simba wapewe haki ya kupanga timu na kocha wa timu nyingine. Uamuzi wa chama gani kinastahili kutawala ni wa wananchi na si mwingine. Na haki hiyo ni pamoja na kuchagua chama magumashi kama watakipenda.

Huo upinzani imara unayosema unautaka haupatikana kwa mtindo huu unao upigia debe. Utakuwa ni upinzani jina tu. Kama ilivyo sasa kwenye Bunge letu tukufu. Na itabaki kuwa hivyo hata kama Zitto ataingia mjengoni.

Amandla...
 
Mh. Dr. Philip Mpango anajua kabisa vipaumbele ni kuondoa umasikini vijijini, kutengeneza mazingira ya uanzishwaji viwanda hivyo kuongeza wigo watu kuajiriwa pia kujiajiri na siyo kuua upinzani kama ilivyokuwa agenda kuu na kipaumbele cha mwendazake John Magufuli (RIP). Hata bosi wake Mh. Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi anayeamini ktk vyama vingi vya siasa, anayependa hoja za upinzani zinazoikumbusha serikali inapolala katika kutimiza majukumu yake vizuri.

Tumkumbushe makamu wa rais Mh. Dr. Philip I. Mpango katika hotuba zake nyingi za kitaaluma kabla ya kuingia siasa 2015 amekuwa muumini wa mabadiliko ya kiuchumi na kijamii zaidi ambapo sauti mbalimbali za kutoka CCM, CHADEMA, taasisi za kitaaluma, NGOs n.k zilimsaidia kuelewa matamanio ya watanzania kupitia majukwaa mbalimbali

March 2012
Dar es Salaam, Tanzania

Dr. Philip Mpango outline Key Strategies for Tanzania, that will enable rapid Socioeconomic Transformation




Dr. Phillip Mpango's keynote address on Socioeconomic Transformation for Poverty Reduction at REPOA's 17th Annual Research Workshop in March 2012.

Dr. Mpango is the Executive Secretary of the Tanzania Planning Commission
Source : REPOA Tanzania
 
Hivi kama hakuna vyama vya upinzani vinavyo kubalika na jamii ya Watanzania nini sababu hasa ya kupora kura na wizi?
Kwa nini kutumia NEC na Polisi kupata ushindi badala ya kura? Kama unaishi Tanzania na hayo yanayotokea kwenye uchaguzi huyaoni kwa nini usiitwe KIAZI? tena mbatata kabisa.
Hivi ukiangalia bunge lililopita na hili ambalo hakuna wabunge (wa ukweli wa Chadema) hamuoni tofauti?



Hadi 2010 upinzani ulikua sehemu nzuri sana, ila kwa tamaa za viongozi wenu wapenda fwedha mliharibu wenyewe kwa kukiuza chama kwa mlimwita fisadi

Hapa ndio mnapozidiwa maarifa na CCM
 
Vipi hajakabidhiwa mikasi kwenda kufunguwa miundo mbinu ?
 
Umeandika saana lakini kitu kimoja tuu uelewe kwamba kujenga chama imara sio lelemama

Unalalamika kuhusu idadi ndogo ya wapinzani bungeni..... sasa kama ndio walipata nafasi ulitakaje? Au kwa sababu kuna upinzani lazima bungeni wawepo wengi hata kama hawajakidhi vigezo?

Upinzani walikaa vizuri sana miaka 2010 lakini walijimaliza wenyewe 2021 kwasabu ya tamaa zao binafsi. Na sasa ndio wamejichimbia kaburi kabisaaaa

Kabla ya kuilaumu CCM tuongee ukweli kuhusu upinzani
Ujinga uleule unaendeleza. Hatuna upinzani wa vyama vya siasa serikalini kwa sasa na hilo mm sililalamikii. Nakushangaa Sijui kwann unawaongelea wapinzani kama key point wakati hawapo serikalini ni marehemu.

Katika kipindi ambacho udhaifu wote wa serikali hautatokana na upinzani ni kipindi hichi. Sasa hatuwezi kujiandaa na kukamata wezi wanaotokana na chama cha siasa cha ccm.

Tafsiri ni kwamba wanachama ni wezi na serikali haina namna zaidi ya kuchagua wezi kisha kuwatafuta na kuwakamata.

Dr Vp aliongea kisiasa tu nadhani alikuwa anamaanisha wapinzani wa mitandaoni na mtaani. Hao hawapo katika utendaji.
 
Back
Top Bottom