Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Watendaji chapeni kazi, Mjomba hayupo

Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Watendaji chapeni kazi, Mjomba hayupo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu wa Rais mteule Dr Mpango amewataka watendaji kuchapa kazi kwani mjomba hayuko.

Makamu wa Rais amesema hayo wakati akiwaaga wabunge wenzake tayari kabisa kutumikia nafasi yake mpya.

BAVICHA chapeni kazi majungu siyo mtaji.

Maendeleo hayana vyama!
 
Yeah....mjomba kendazake tayari!

Nakumbuka PIM alivyovutana na Bashite kwenye ile issue ya kuingiza mizigo bila kulipa kodi.
Bashite alimtunishia msuli,Dadi akaokoa jajazi
 
Back
Top Bottom