Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku BAVICHA itakupa ujauzito Jo..samahani lakini
[emoji849][emoji3]Kuna siku BAVICHA itakupa ujauzito Jo..samahani lakini
Hahahaaaa......mganga wa February huyo!Malizia,tena mapacha
😀😀
He is bold, inasemekana aliweza kumeambia mwendazake ukweli wa mambo na akausikiliza. Mawazo wengi hawakuliweza hili.Yeah....mjomba kendazake tayari!
Nakumbuka PIM alivyovutana na Bashite kwenye ile issue ya kuingiza mizigo bila kulipa kodi.
Kuna bavicha kaomba msanaha mfalme hery james hahaaaaBavichaa hali zenu? Mnabanwa kila kona[emoji16][emoji16][emoji16]msiyemtaka kaja tena.
Magufuli alikuwa mjomba wa Mnyika au wa Hilda Newton?Makamu wa Rais mteule Dr Mpango amewataka watendaji kuchapa kazi kwani mjomba hayuko.
Makamu wa Rais amesema hayo wakati akiwaaga wabunge wenzake tayari kabisa kutumikia nafasi yake mpya.
BAVICHA chapeni kazi majungu siyo mtaji.
Maendeleo hayana vyama!
Vipi wewe ilishakupa ujauzito? Samahani lakini mkuu!Kuna siku BAVICHA itakupa ujauzito Jo..samahani lakini
Unawashwawashwa, BAVICHA wako idara gani serikalini!Makamu wa Rais mteule Dr Mpango amewataka watendaji kuchapa kazi kwani mjomba hayuko.
Makamu wa Rais amesema hayo wakati akiwaaga wabunge wenzake tayari kabisa kutumikia nafasi yake mpya.
BAVICHA chapeni kazi majungu siyo mtaji.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio waliokuwa wanabebwa na mjomba?Bavichaa hali zenu? Mnabanwa kila kona😁😁😁msiyemtaka kaja tena.
TUSUBIRI taarifa ya hela iliyotoka BoT kuanzia January hadi March 2021. Hayo mengine ni majungutuMakamu wa Rais mteule Dr Mpango amewataka watendaji kuchapa kazi kwani mjomba hayuko
Makamu wa Rais amesema hayo wakati akiwaaga wabunge wenzake tayari kabisa kutumikia nafasi yake mpya.
BAVICHA chapeni kazi majungu siyo mtaji
Maendeleo hayana vyama!
KulwaHajamtaja mtu bwashee!
Na hii pia mmwamboe jokate mungeloTaarifa imfikie Heri James pia
Maisha hayana formulaBashite popote ulipo uliyemdharau kaja[emoji23]
Daah tuishi tukiamini kuna kesho!
Kesho yetu au ya waliotuzunguka hatuijui. Dunia duara
Everyday is Saturday............................... 😎
Ccm kwa kutuhadaa kila msimu mnakuja na maneno mapya wakati ya jana hamjatekeleza. Kweli nchi hii imepatikana.Bwashee chapa kazi!
Taarifa imfikie yule chalii wa hai popote alipo.Taarifa imfikie Heri James pia