Yeah....mjomba kendazake tayari!
Nakumbuka PIM alivyovutana na Bashite kwenye ile issue ya kuingiza mizigo bila kulipa kodi.
Jk alijisahau akalitupa,zee la nasadiki,alipotonywa,ikabidi Eddo afukuzwe kazi,ili nafasi ya PM apewe Mizengo Pinda! Zee la nasadiki lina mkono mrefu,hata Marehemu na ubabe wake,hakuwahi ligusa zee lile,zaidi alimgusa ndugu yake na zee lile,likakaa kimya,huku linamcheki, Marehemu akarudisha mpira kwa kipa haraka sana!
Una ushahidi bwashee!MPANGO ALIMWAMBIA JIWE KAMA BASHITE ANGEINGIZA YALE MAKONTENA BILA KULIPIA KODI ANGEACHIA NGAZI YA UWAZIRI WA FEDHA!!!! BASHITE ILIBIDI ALIPIE. KODI YALE MAKONTENA!!!
It is on record and on Tape na alisemea hilo akiwa TRA!!!Una ushahidi bwashee!
Ruzuku msahau.Ndio waliokuwa wanabebwa na mjomba?
Kuna bavicha kaomba msanaha mfalme hery james hahaaaaRu
Ruzuku nKuna bavicha kaomba msanaha mfalme hery james hahaaaa
Ndio...Ndio waliokuwa wanabebwa na mjomba?
Mbona walikuwa wanamwibia mabilioni anaangalia tu Huko wizarani, hana jipya huyo!Bavichaa hali zenu? Mnabanwa kila kona[emoji16][emoji16][emoji16]msiyemtaka kaja tena.
Toa taarifa ukiwabaini... Walio wabaini wamewafikisha kwa PilatoMbona walikuwa wanamwibia mabilioni anaangalia tu Huko wizarani, hana jipya huyo!