Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Agenda 1wapo ni utambuzi na uhalali wa mapenzi ya jinsia 1.
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380] hallal

Karibu sanaa kamala.

Kwa hiyo unafurahia kushikishwa ukuta?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulitakaa kumaanishaje??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi serikali ilimruka makonda wakati Magufuli akiwa nan na wapiii???

Unatia aibuuu mnoooo lol
 
Acha tuu lakini tusiingilie uhuru wake ila huyo mtu anapenda sana hizi habari yaani huwa zinampa goosebumps kabisa ajabu sana.
Poleeeee sanaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maendeleo au mikopo yenye riba na masharti
 
Mimi nilisema na nitaendelea kusema
2025 Dr. SSH Awe ndiye mgombea pekee wa Urais Tz, Sasa tunaona fursa zinakuja, dunia inaitazama Tz means mashirika mengi duniani yatakuja kuwekeza Tz na watu kupata Ajira, nazikumbuka fursa tulizopata baada ya ujio wa Obama.
YOTE HAYO NI MATOKEO YA JITIHADA ZA RAIS WETU DR. SSH 🇹🇿 HONGERA SANA MH. RAIS
 
Mfalme wa Morocco aliombwa msaada kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa michezo Dodoma na yule naniliu.
Yule naniliu alikuwa sijui anawaza nini, anaomba vitu visivyo na impact kwa mgogo wa Mvumi au Makoro mfano kiwanda kikubwa cha kusindika zabibu Dodoma anaomba stadium?
 

Huwa sioni tija ya hao viongozi wa US hapa Tanzania.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] INTRAPENTENYUAAAAAA........Ofukozi Pipo yuzdi tu dai in ze Reki
 
Chawa pro max
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…