Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I see waKristo tu ndiyo huvaa hereni! Diamond, harmonize na wasanii wote ambao wengi wao Ni waislam hawavai hereni sio. FYI huyu judge ni atheist.
Uliowataja ni waislamu jina tu,
Kama hujui kaa kimya. Mashoga ndiyo huvaa kulia, straight huvaa kushoto
Kwaiyo wamasai nao mashoga?Wakenya ni hopeless kabisa!!! Hivi mnakubali vipi kuwa na jaji mkuu ambaye anavaa hereni!!! Huyu sio shoga kweli?? Naye akiolewa kama yule aliyeolewa juz mtafanyaje na mtaificha wapi hiyo aibu??? Ni aibu kubwa sana kwa majirani zetu ni aibu.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Waislam wakivaa ni waislam jina ila wakristo wakivaa dini nzima ya Ukristo imekosa maadili. Double standard at its best. Huyu judge haamini katika Mungu mlioletewa na wazungu/waarabu hivyo dini hazina nafasi yeyote katika hili.
Kuvaa/kutovaa hereni ni maamuzi ya mtu haiingiliani kabisa na utendaji kazi wa mtu. Kuna jamii wanavaa hereni kama tamaduni zao mbona hawasemwi mf maasai. Mutunga ni judge makini sana, product ya university of Nairobi, UDSM na Havard sio TEKU kama wewe, anasimamia sheria na sheria pekee. Uhuru hawezi mgusa Mutunga kwa madai yasiyo na kichwa wala mguu wakati jamaa anapiga kazi
Huwa sijengi/kutetea hoja kwa kutumia dini zilizoletwa na mzungu/muarabu. Sina interest nazo si uislam si ukristo. Natetea kwa mujibu wa sheria ya nchi. Kama unataka judge mwenye maadili ya kiislam waamasishe wenzio wajenge shule kama wafanyavyo waKristo, waende shule ili wapate viongozi wenye maadili yenu vinginevyo hizi Kazi watapewa wenye weledi na si kwa misingi ya dini.Waislamu ndani ya kitabu chetu kitukufu yapo maandiko yanayoharamisha mavazi kama haya herini kwa mwaname, ama kuvaa dhahabu na vituo vyenye mfano huo, lakini kwa wakiristo kitabu chao chote hakuna andiko lihusianalo na mavazi kwa mwanamme na mwanamke ndio mana tunasema tuna wasiwasi na dini yenu. kwa sababu mumekosa mafundisho kwenye kitabu chenu sasa munakuja hapa munasema ni utamaduni., kwa msingi huo ndio utakuta wakiristo wengi hawajielewi wanafanya vyovyote tu katika haya mavazi kwa sababu mumekosa muongozo.
Sisi waislamu muislamu akivaa herini tunajuwa makatazo yake kwa maandiko na mtu muislamu akivaa tunajua kabisa amefanya kosa na hukmu yake ni nini lakini kwa wakiristo hamna hiyo fatwa kwenye kitabu chenu. kama lipo letee tumalize mjadala.
Ndio mana huyu W.Ruto alikosa majibu kwa mwanawe baada ya kumuuliza kwanini huyu judge anavaa herini? ni kwa sababu alikosa muongozo yeye ni mkiristo na hakuna hayo mafundisho, kuna mambo unayaona kabisa haya hayafai lakini unakosa kujenga hoja mana huna pakushika katika kitabu chenu.
Unawezaje kuhusisha hulka na imani? Tena imani unahusisha upande mmoja !inaonekana una chuki za kijinga..kumbuka huu uzi hakuna sehemu iliyohusisha imani/dini ya mtu!!Mwanamme kuvaa Herini ni tamaduni za kikafiri tokea dini zao zimekosa maandiko namna ya uvaaji wa herini ndio sasa inakuja hiyo shida hajulikani mwanamke wala mwaname, mwanamke anvaa jeanz na tshirt, mwaname herini ni udhaifu wa dini ya kikiristo lazima hili liwekwe wazi.
Dini huku inatokea wap tn? Uvaaji hereni wa mtu na dini vinakujaje yn!Mwanamme kuvaa Herini ni tamaduni za kikafiri tokea dini zao zimekosa maandiko namna ya uvaaji wa herini ndio sasa inakuja hiyo shida hajulikani mwanamke wala mwaname, mwanamke anvaa jeanz na tshirt, mwaname herini ni udhaifu wa dini ya kikiristo lazima hili liwekwe wazi.
Kwa katiba ipi?!Human beings are animals no matter what!!!
cuea alumina missio hall,jubilee hall,rugambwa hall...... ukambani hiyo kule kitui ni mila zao sema kwa uwelewa wa jamii ndio shidankisoma hapo cuea almost five years ago hivi, nliimulizaga jamaa flan apo chuo kuhusu jaji huyu akaniambia, katika jamii ya wakamba, kuna mbari flan za huko kwao sehemu inayoitwa kitui, bibi akikaribia kuaga humpa hereni mtoto mkubwa wa kiume kimila, nlilielewa hivyo hili jambo mie
Kuna aina flani ya waislamu huwa mwanishangaza sana.... utakuta ustadhi mzima ameketi na wafuasi wake wakijadiliana na kudanganyana kuhusu ukristo.... kama dini yenu ni ya nguvu sana, kwanini mwajisumbua na ukristo...Waislamu ndani ya kitabu chetu kitukufu yapo maandiko yanayoharamisha mavazi kama haya herini kwa mwaname, ama kuvaa dhahabu na vituo vyenye mfano huo, lakini kwa wakiristo kitabu chao chote hakuna andiko lihusianalo na mavazi kwa mwanamme na mwanamke ndio mana tunasema tuna wasiwasi na dini yenu. kwa sababu mumekosa mafundisho kwenye kitabu chenu sasa munakuja hapa munasema ni utamaduni., kwa msingi huo ndio utakuta wakiristo wengi hawajielewi wanafanya vyovyote tu katika haya mavazi kwa sababu mumekosa muongozo.
Sisi waislamu muislamu akivaa herini tunajuwa makatazo yake kwa maandiko na mtu muislamu akivaa tunajua kabisa amefanya kosa na hukmu yake ni nini lakini kwa wakiristo hamna hiyo fatwa kwenye kitabu chenu. kama lipo letee tumalize mjadala.
Ndio mana huyu W.Ruto alikosa majibu kwa mwanawe baada ya kumuuliza kwanini huyu judge anavaa herini? ni kwa sababu alikosa muongozo yeye ni mkiristo na hakuna hayo mafundisho, kuna mambo unayaona kabisa haya hayafai lakini unakosa kujenga hoja mana huna pakushika katika kitabu chenu.
Naona umejaribu kuongezea maoni yako bila kuambia watu hayo ni yako... kumbuka yeye ndo jaji aliepinga kesi ya madai ya upinzani kwamba kura ifanyike tena kwani IEBC ilifanya makosaa kadhaa ambayo yalisababisha raila kushindwa uchaguzini.... ndo maana upinzani wanaandamana kila juma tatu wakitaka makamishna wa iebc watolewe kabla ya uchaguzi ujao.....Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto amesema hapendezewi na tabia ya Jaji Mkuu wa nchi hiyo Willy Mutunga kuvaa hereni. Ruto alikuwa akijibu swali la mtangazaji wa kituo cha TV na akasema: "Sipendezwi na jambo hilo, mtoto wangu mdogo anasomea sheria ananiulizaga kuhusu kitendo hicho lakini nakosa majibu ya kumpa."
Baadhi ya watu wamekuwa wakimtetea Mutunga, wakisema uvaaji wa hereni ni sehemu ya utamaduni wa kiafrika.
Kumbuka huyu Jaji Mkuu alitoa hukumu ya maandamano ya CORD kuendelea, vilevile alishawahi kufungwa jela na inasemekana alifungwa gereza moja na Odinga kipindi cha Rais Moi wakati wa mapambano ya kudai vyama vingi, Hivyo ukaribu wao na Misimamo imara ya Jaji mkuu ambaye hateteleki bali anasimamia sheria, Hiyo inaweza kuwa unamkera Makamu wa rais Ruto