Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto alalamikia Jaji Mkuu wa Kenya Kuvaa Hereni

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto alalamikia Jaji Mkuu wa Kenya Kuvaa Hereni

Huyo jaji amepitia spiritual identity nyingi lakini hakuacha tamaduni yake,

Dr Mutunga said for most of his childhood, he practiced the Kamba traditional religion. As a Protestant, he was baptized and given the name William. He later became a Roman Catholic and was baptized and confirmed as William Jacob. As a Muslim his name is Wali Mohammed. He said he is a man of all faiths.
He said he had been to many places of prayer including synagogues and shrines. He said that he believed in the Supreme Being.




The guy tried to find God in all religiins and traditions. ... and he discoverd that we all worship the same Supreme bieng
 
Mbona makabila mengi ya kiafrika wanaume wanavaa hereni?? Kama wamasai na kadhalika. Sioni kosa wala kasoro ya huyo jaji
ila huyo hiyo hereni sio ya kimila za kiafrika. inaelekea kufanana na zile za jamii zinazoruhusu ndoa za jinsia moja.
 
Kuna aina flani ya waislamu huwa mwanishangaza sana.... utakuta ustadhi mzima ameketi na wafuasi wake wakijadiliana na kudanganyana kuhusu ukristo.... kama dini yenu ni ya nguvu sana, kwanini mwajisumbua na ukristo...


Sasa nani kakudanganya hakuna mahali nguo/mavazi huongelewa kwa bibilia?

Kitu cha kwanza unafaa ujue kwa bibilia kuna parts mbili...kuna old testament na new testament. ..

Old testament ni sheria ya Mungu tangu dunia ianze hadi pale alipotuma nabii wake Yesu. New testament ni sheria ya Mungu kuanxia pale yesu alipozaliwa hadi siku ya mwisho kwenda mbinguni...


Katika old testament, wakristo wanaahidiwa kwamba kutakua na mwamko mpya, wafyate sheria ya Mungu hadi pale mwamko mpya ukija watapewa sheria mpya. The old testament ilikua sheria ya nabii Moses, ndo maana utakuta kuna vitu vyengine kwa bibilia vinafanana na vya Quran. Haya hapa maandiko ya Bibilia yanaayo ongelea new testament


The Old Testament was preparatory, temporary, and limited. The New is complete, eternal, and universal. The Old Testament promised a New Testament


(Jer. 31:31). The prophet Isaiah spoke of the days to come when the new law would go forth from Jerusalem (Isaiah 2:2-4). In the New Testament, the Apostle Paul stated that the law of Moses had been given until the seed, which is Christ Jesus, had come (study Galatians 3:19-27).

The New Testament is the will of Christ, its seal is Jesus' blood (Hebrews 9:15-17). The testator of this will is Jesus, God's Son. The inheritance is heaven. The terms are faith and obedience. The period of probation is the Christian age which will end when Christ returns. The beneficiaries are all men who accept the terms, and the executors of the will are the apostles.

This will could not come of force until Jesus' death, "For where a testament is, there must of necessity be the death of him that made it" Hebrews 9:16. Jesus' death marked the end of the old and the beginning of the new, for, "He taketh away the first that He may establish the second" Hebrews 10:9. Christians are discharged from the law and joined to Christ (Romans 7:4-6).

Since the time of the cross, even now in this Christian age, men live under the law of Christ rather than under the Law of Moses as in the Old Testament times. (John 1:17).








Hivi ndo kitabu cha Deuteronomy ambacho ni old testament kinaongea kuhusu mavazi ya mwanamme na mwanamke


OLD TESTAMENT

Deuteronomy 22:5
"A woman shall not wear man's clothing, nor shall a man put on a woman's clothing; for whoever does these things is an abomination to the LORD your God.
----------
Psalm 104:2
Covering yourself with light as with a garment, stretching out the heavens like a tent.
--------
Leviticus 19:19

“You shall keep my statutes. You shall not let your cattle breed with a different kind. You shall not sow your field with two kinds of seed, nor shall you wear a garment of cloth made of two kinds of material.




NEW TESTAMENT

Kitabu cha kwanza cha new testament
Matthew 6:25-34

“Therefore I tell you, do not be anxious about your life, what you will eat or what you will drink, nor about your body, what you will put on. Is not life more than food, and the body more than clothing? Look at the birds of the air: they neither sow nor reap nor gather into barns, and yet your heavenly Father feeds them. Are you not of more value than they? And which of you by being anxious can add a single hour to his span of life? And why are you anxious about clothing? Consider the lilies of the field, how they grow: they neither toil nor spin, yet I tell you, even Solomon in all his glory was not arrayed like one of these.



Also from new testament kuhusu wanawake
-------
Your beauty should not come from outward adornment, such as braided hair and the wearing of gold jewelry and fine clothes. Instead, it should be that of your inner self, the unfading beauty of a gentle and quiet spirit, which is of great worth in God's sight. For this is the way the holy women of the past who put their hope in God used to make themselves beautiful. (1 Peter 3:2-5)



---------------------'
Hizi ni mfano tu, ziko aya nyingi ambazo zinaongelea mavazi.... kwahivyo kamwambie alie kudanganya akajinyonge .


Alafu usijifanye eti uislamu uko na muongozo imara ambao hauchanganyi watu, afadhali ukristo ambao umekuchanganya wewe kuhusu mambo madogo kama mavazi..... dini ya uislamu imechanganya wengine... vita vikubwa duniani vinavyoendelea kwa sasa ni mambo ya jihad.... wengine wenu mnnaamini makafiri wote lazma wawe waislamu au wachinjwe na wanasema hayo ndo mafundisho ya Quran na wengine wenu mnabaki mkiwakana kwamba hao si wenzenu kwani yeni ni dini ya amani

Mkuu kabla sijajibu hayo maandiko yako., naomba kwanza thibitisha ulichokiandika kwa mkono wako hapo juu ambacho nimebold kwa blue colour halafu mimi na wewe tuelekeze hoja zetu kwenye mada ya msingi.

1. Mimi nilifikiri yesu ni mungu wa wakikiristo lakini kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu umekiri yesu ni nabii wa Mungu. yawezekana mimi na wewe tuko upande mmoja sote ni waislamu.

2. Katika aya hiyo hiyo umeeleza kwamba yesu alipozaliwa that means kumbe yesu alizaliwa na ni mtu siyo Mungu, na bila shaka kama yesu kazaliwa bila shaka mama yake alikuepo, pia kumbe yesu alinyonya kwa mama yake, pia kumbe yesu ni binadamu na sio mungu. Kama kazaliwa kabala hakuwepo mpaka alipozaliwa. kwa msingi huu dunia ilikuwepo kabla yesu kuzaliwa na ilikuwa katika himaya ya Mungu ambaye baada ya yesu kuzaliwa alimtuma na kumpa unabii. Ni sawa na kusema yesu si mungu hii ni kauli yako.

3. Kuna mahali katika paragraf hio hio umeandika Mungu alipomtuma yesu, Kumbe yesu alitumwa na Mungu mana wakiristo wengi husema yesu ni mungu lakini ndo nakusikia wewe unasema mungu alimtuma yesu. Kumbe yesu si mungu bali ametumwa na ni Mtume wa Mungu.

Kwa heshima sana naomba thibitisha haya halafu tuwekane sawa kwenye hii hoja yetu ya mavazi yawezekana wewe ni muislamu mwenzangu kwa mujibu wa maelezo yako mana hata sisi waslamu tunaamini yesu alikuwa Mtume wa Mungu na Mungu ndio alimtuma yesu kwa wana wa Israel.
 
Mwanamme kuvaa Herini ni tamaduni za kikafiri tokea dini zao zimekosa maandiko namna ya uvaaji wa herini ndio sasa inakuja hiyo shida hajulikani mwanamke wala mwaname, mwanamke anvaa jeanz na tshirt, mwaname herini ni udhaifu wa dini ya kikiristo lazima hili liwekwe wazi.

Tatizo la kuongea mambo ambayo huelewi. willy mutunga ni Muislamu. Alikataliwa na makanisa yote alipoteuliwa na ni viongozi wa dini ya kiislamu waliokuja kumtetea.

Gazeti la 2011

Much ado about a stud

Dr Mutunga is a Muslim. Last week, Muslim leaders said they would talk to him to discard the jewellery.
Hivi sasa waislamu walilia kwa choo baada ya willy mtunga kuteua Kadhi wa kike.
 
Mkuu kabla sijajibu hayo maandiko yako., naomba kwanza thibitisha ulichokiandika kwa mkono wako hapo juu ambacho nimebold kwa blue colour halafu mimi na wewe tuelekeze hoja zetu kwenye mada ya msingi.

1. Mimi nilifikiri yesu ni mungu wa wakikiristo lakini kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu umekiri yesu ni nabii wa Mungu. yawezekana mimi na wewe tuko upande mmoja sote ni waislamu.

2. Katika aya hiyo hiyo umeeleza kwamba yesu alipozaliwa that means kumbe yesu alizaliwa na ni mtu siyo Mungu, na bila shaka kama yesu kazaliwa bila shaka mama yake alikuepo, pia kumbe yesu alinyonya kwa mama yake, pia kumbe yesu ni binadamu na sio mungu. Kama kazaliwa kabala hakuwepo mpaka alipozaliwa. kwa msingi huu dunia ilikuwepo kabla yesu kuzaliwa na ilikuwa katika himaya ya Mungu ambaye baada ya yesu kuzaliwa alimtuma na kumpa unabii. Ni sawa na kusema yesu si mungu hii ni kauli yako.

3. Kuna mahali katika paragraf hio hio umeandika Mungu alipomtuma yesu, Kumbe yesu alitumwa na Mungu mana wakiristo wengi husema yesu ni mungu lakini ndo nakusikia wewe unasema mungu alimtuma yesu. Kumbe yesu si mungu bali ametumwa na ni Mtume wa Mungu.

Kwa heshima sana naomba thibitisha haya halafu tuwekane sawa kwenye hii hoja yetu ya mavazi yawezekana wewe ni muislamu mwenzangu kwa mujibu wa maelezo yako mana hata sisi waslamu tunaamini yesu alikuwa Mtume wa Mungu na Mungu ndio alimtuma yesu kwa wana wa Israel.
Sasa tukiendelea hivi hatutamaliza leo hapa.... Kitu cha kwanza nimekwambia mi siendangi kanisani, infact last time nilienda ni kama miaka 7 iliopita, tena mimi nilikua nikianguka mtihani wa CRE mbaya..... lakini kama unataka jadiliana haya mambo, anzisha mada yako ili hio ndo iwe hoja watu wajadiliane....

kuanza kukujibu hayo maswali yako na simu itachukua muda lakini wacha nijaribu, ili usiseme nimekukimbia, utabaki umepotoka nikuacha hivyo....

nimetumia neno nabii ili maelezo yangu yakue simple ili uelewe...


Kama uko na umakini na maswali mengi kuhusu hilo swali la Yesu ni Mungu, enda ukasome kitabu chote cha John...

kitu cha kwanza unafaa ujue, hakuna mahali Yesu anasema 'explicitly' kwamba "mimi ni Mungu', ukiangalia maandiko kweli kuna aya nyingi amesema yeye ni Mungu, lakini anatumia maneno kama

John 10:30 , “I and the Father are one.”

hapa yesu alikua anajibu swali aliloulizwa na Jews, na pindi alipo sema hayo maneno, waliokota mawe na kutaka kumua nayo, kuonyesha walikua wanaelewa anasema nini, kwamba yeye ni Mungu kwani alisema yeye na Mungu ni wamoja. .
walipokua wanataka kumrushia mawe hivi ndo walikua wanasema “You, a mere man, claim to be God” (John 10:33 )


pia hapa Yesu alisema
John 8:58 , “I tell you the truth … before Abraham was born, I am!”
Leviticus 24:16 ) inasema yeyote asemaye ni Mungu akue stoned to death....hio ni sheria ya Moses....nadhani pia iko kwa Quran..






oh, kabla sijaendelea pia unafaa ujue kwamba Yesu alizaliwa alipo kuja duniani toka mbiguni, hilo ni jambo karibu kila mtu anafaa kujua, yani siku zote tangu ulizaliwa umekua haujui kwanini wakristi wanasherekea Crismasi??????????

kabla Yesu kuzaliwa duniani

"Joseph, son of David, do not be afraid to take Mary as your wife; for that which has been conceived in her is of the Holy Spirit." (Matt. 1:20)

And the angel answered and said to her [Mary], "The Holy Spirit will come upon you, and the power of the Most High will overshadow you; and for that reason the holy offspring shall be called the Son of God." (Luke 1:35



in essence Jesus, eternal and perfect - but he
became human so that he could enter into our world and die for humans


Mary ambae alikua bikra ndo alimzaa yesu , alitembelewa na malaika na akaambiwa atazaa mwana wa kipekee na jina lake Yesu.



turudi kwa yesu ni Mungu. ..

In John 14:28, Jesus says, "The Father is greater than I"

sasa hapa watu wanaanza kuchanganyikiwa, inakuaje Yesu anasema yeye na Mungu ni kitu kimoja tena badae anasema Mungu ni mkubwa kumliko....

jambo lililo wastaajabisha wale Jews ni vipi huyu Yesu alikua anajieka kwa hali ya juu hata kumwongelea Mungu ni kama alikua rika lake, unaezaje sema kiuhakika kwamba jambo kama hilo, kuna sehemu nyingi Yesu amesema tamko kama hilo... na ukiangalia wale manabii walio kua kitambo, siku zote walikua wakifanya jambo, walikua wanahakikisha wanaambia wafyasi wao kwamba hizo si nguvu zao bali ni nguvu za Mungu, lakini ukiangalia Yesu, akifanya miujiza alikua anaongea kana kwamba ilikua ni nguvu zake, alipo fanya aliezaliwa kipofu kuona, alipofanya malio vuja damu kupona,
alafu walipokua baharini wakisafiri na bahari ikachafuka na mawimbi yalikua karibu na kupindua meli/dau, Yesu alismama na kuinua mkono na bahari ikawa safi, nani tena alikua anaweza kusmamisha anga kama sio Mungu, hivyo ndo walikua wanajiuliza...


sasa kufika hapa unachanganyikiwa kama alikua ni Mungu au si Mungu. ..

baada ya kusema hivyo hapo mbele Yesu aliomba......(sasa kama Yesu alikua Mungu alikua ana muomba nani?) hii ni direct translatiin kutoka greek

At John 17:21, 22 Christ prayed, "That they all may be one; as thou, Father, art in me, and I in thee, that they also may be one in us: that the world may believe that thou hast sent me. And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one."

umaanza kuelewa alikua anamaanisha nini akisema yeye na Mungu ni kitu kimoja?
lakini kabla bado unajaribu kuingiza hio akilini mwako
mwasi wa Yesu alimwita Yesu Mungu, na Yesu hakumkosoa .....lakini tena ukiangalia hakuna mahali Yesu anasema explicitly 'muniabudu mimi', anasema muambudu Mungu Baba, na pia anasema kusamehewa na yeye ni kusamehewa na Mungu, akikugusa ni kama Mungu amekugusa, na hakuna mkristo atakae enda mbinguni bila kupitia kwake... sasa hapa unaona pia ni kama yeye ndo Mungu, lakini ukumbuke hakusema kwa uhakika kwamba yeye ndo Mungu

Yesu pia alisema
, "Even though you do not believe me, believe the evidence of the miracles, that you may learn and understand that the Father is in Me, and I am in the Father."

unaona vile alikua anataja baba na yeye ni kama kitu kimoja lakini mbona alikua hasemi yeye ndo baba...inakuaje?

kwanzia hapa sasa unaona Yesu anaongea uhusiano wake na Mungu baba.... hapa ni aloposhikwa na jesi la Roman, mwasi wake Peter alitoa upanga akiwa tayari kumtetea Yesu ili aaishikwe na asisulubiwe.. Yesu akasema

"Put your sword back into its place...Do you think that I cannot appeal to my Father, and he will at once send me more than twelve legions of angels?"


hizi hapa aya zengine, Yesu alipokua kijana, alikua baptised, na pindi alipo batizwa , anga ilifunguka na sauti kuroka mbinguni ilisema


And after being baptized, Jesus went up immediately from the water; and behold, the heavens were opened, and he saw the Spirit of God descending as a dove, and coming upon Him, and behold, a voice out of the heavens, saying, "This is My beloved Son, in whom I am well-pleased." (Matt. 3:16-17)


kutoka kwa hii ndo wengine wetu husema Yesu ni mwana wa Mungu, na wengine husema Yesu ni Mungu kwavile kwa maandiko mengine kwa bibilia Yesu amejisawazisha na Mungu. ...... jambo hili lilijadiliwa na wakristo wengi


conclusuion ni kwamba wote wako sawa.

kitabu cha genesis kinaongelea mwanzo wa dunia

Genesis 1:26 -- Then God said, "Let us make man in our image, in our likeness, and let them rule over the fish of the sea and the birds of the air, over the livestock, over all the earth, and over all the creatures that move along the ground."


inaongelea hapo mwanzoni kabisa..... lakini unaona hilo neno 'let us' 'in our own image', alikua anaongea na nani?


alafu unakuta mahali flani anasema I am THE Lord your GOD, there is no other GoD but me.





sasa kufika hapo naona utakua umechanganyikiwa kabisa....
sasa unafaa ujue kwamba kwa bibilia kuna kitu inaitwa trinity...... inamaanisha TRI-Unity yani vitu vitatu tofauti lakini vyote ni kitu kimoja kama vile maji (H2O) inaeza ikawa barafu ama mvuke ama maji ya kawaida, vitu vitatu tofauti lakini bado ni kitu kimoja...


"Go therefore and make disciples of all the nations, baptizing them in the name of the Father and the Son and the Holy Spirit." (Matt. 28:19)


unaona hapo inasema in the name of thr Father and the Son and the Holy Spirit. ..... hio ndo trinity .... there is only one God but he exists in trinity, they are distinct but they are all God
therefore Jesus is not the Father, he is the Son, he is not GOD but he is God, what ever he does is though as if the Father has done, and what ever the wholly spirit does is as if thr Son has done and ad if the Father has done...... so like Jesus said "He and the Father are One" He did not say are equal, but are one
wakati Yesu alipokua anarudi mbinguni alisema holy spirit itashuka na iwe nasi hadi siku atarudi....lakini alipo ulizwa siku ya mwisho ya dunia kuisha ni siku ghani, alisema baba pekee ndo anajua hio siku.......... hapo pia ndo unaelewa alikua anamaanisha nini akisema Father id greater than I ....

so ukisema Yesu ni Mungu, Yesu ni mwana wa MUNGU... nyote mko sawa
 
yaani watanzania mwafikiri sisi tu mashoga au vipi,hereni tunazo na tutazidi kuvaa
 
Suala hili sio la ki-taifa...ati m-Kenya au m-TZ, noooo!!! Wala suala la kuvaa heleni sio la dini flani ati dini zingine hazivai mm mm!!!... Suala la huyu mheshimiwa Ni so special! Right from the time he was being interviewed for the post he was specific that he won't give up his habit for the job. You dont like it, leave him and vice versa. Sasa inakuwaje question hii Ku erupt from no where. Mie naona Ni personal issues wanazo huyu VP na judiciary........
 
Mbona makabila mengi ya kiafrika wanaume wanavaa hereni?? Kama wamasai na kadhalika. Sioni kosa wala kasoro ya huyo jaji
unataka kufananisha utuboaji wa masikio wa kimasai na huu wa vijana wa kileo hapo kuna kosa! kabisa
 
Wakenya ni hopeless kabisa!!! Hivi mnakubali vipi kuwa na jaji mkuu ambaye anavaa hereni!!! Huyu sio shoga kweli?? Naye akiolewa kama yule aliyeolewa juz mtafanyaje na mtaificha wapi hiyo aibu??? Ni aibu kubwa sana kwa majirani zetu ni aibu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Mbona wamasai, wameru wanavaa hereni tangu enzi na enzi?
 
Mwanamme kuvaa Herini ni tamaduni za kikafiri tokea dini zao zimekosa maandiko namna ya uvaaji wa herini ndio sasa inakuja hiyo shida hajulikani mwanamke wala mwaname, mwanamke anvaa jeanz na tshirt, mwaname herini ni udhaifu wa dini ya kikiristo lazima hili liwekwe wazi.
na kuoa vibinti vya miaka 13 ni udhaifu wa dini gani? suala hili la herein hata haliendani na masuala ya dini zilizoletwa na wazungu na waarabu(wakoloni) ni suala la uafrika ni mila za baadhi yetu...sasa tatizo liko wapi
 
Sasa tukiendelea hivi hatutamaliza leo hapa.... Kitu cha kwanza nimekwambia mi siendangi kanisani, infact last time nilienda ni kama miaka 7 iliopita, tena mimi nilikua nikianguka mtihani wa CRE mbaya..... lakini kama unataka jadiliana haya mambo, anzisha mada yako ili hio ndo iwe hoja watu wajadiliane....

kuanza kukujibu hayo maswali yako na simu itachukua muda lakini wacha nijaribu, ili usiseme nimekukimbia, utabaki umepotoka nikuacha hivyo....

nimetumia neno nabii ili maelezo yangu yakue simple ili uelewe...


Kama uko na umakini na maswali mengi kuhusu hilo swali la Yesu ni Mungu, enda ukasome kitabu chote cha John...

kitu cha kwanza unafaa ujue, hakuna mahali Yesu anasema 'explicitly' kwamba "mimi ni Mungu', ukiangalia maandiko kweli kuna aya nyingi amesema yeye ni Mungu, lakini anatumia maneno kama

John 10:30 , “I and the Father are one.”

hapa yesu alikua anajibu swali aliloulizwa na Jews, na pindi alipo sema hayo maneno, waliokota mawe na kutaka kumua nayo, kuonyesha walikua wanaelewa anasema nini, kwamba yeye ni Mungu kwani alisema yeye na Mungu ni wamoja. .
walipokua wanataka kumrushia mawe hivi ndo walikua wanasema “You, a mere man, claim to be God” (John 10:33 )


pia hapa Yesu alisema
John 8:58 , “I tell you the truth … before Abraham was born, I am!”
Leviticus 24:16 ) inasema yeyote asemaye ni Mungu akue stoned to death....hio ni sheria ya Moses....nadhani pia iko kwa Quran..






oh, kabla sijaendelea pia unafaa ujue kwamba Yesu alizaliwa alipo kuja duniani toka mbiguni, hilo ni jambo karibu kila mtu anafaa kujua, yani siku zote tangu ulizaliwa umekua haujui kwanini wakristi wanasherekea Crismasi??????????

kabla Yesu kuzaliwa duniani

"Joseph, son of David, do not be afraid to take Mary as your wife; for that which has been conceived in her is of the Holy Spirit." (Matt. 1:20)

And the angel answered and said to her [Mary], "The Holy Spirit will come upon you, and the power of the Most High will overshadow you; and for that reason the holy offspring shall be called the Son of God." (Luke 1:35



in essence Jesus, eternal and perfect - but he
became human so that he could enter into our world and die for humans


Mary ambae alikua bikra ndo alimzaa yesu , alitembelewa na malaika na akaambiwa atazaa mwana wa kipekee na jina lake Yesu.



turudi kwa yesu ni Mungu. ..

In John 14:28, Jesus says, "The Father is greater than I"

sasa hapa watu wanaanza kuchanganyikiwa, inakuaje Yesu anasema yeye na Mungu ni kitu kimoja tena badae anasema Mungu ni mkubwa kumliko....

jambo lililo wastaajabisha wale Jews ni vipi huyu Yesu alikua anajieka kwa hali ya juu hata kumwongelea Mungu ni kama alikua rika lake, unaezaje sema kiuhakika kwamba jambo kama hilo, kuna sehemu nyingi Yesu amesema tamko kama hilo... na ukiangalia wale manabii walio kua kitambo, siku zote walikua wakifanya jambo, walikua wanahakikisha wanaambia wafyasi wao kwamba hizo si nguvu zao bali ni nguvu za Mungu, lakini ukiangalia Yesu, akifanya miujiza alikua anaongea kana kwamba ilikua ni nguvu zake, alipo fanya aliezaliwa kipofu kuona, alipofanya malio vuja damu kupona,
alafu walipokua baharini wakisafiri na bahari ikachafuka na mawimbi yalikua karibu na kupindua meli/dau, Yesu alismama na kuinua mkono na bahari ikawa safi, nani tena alikua anaweza kusmamisha anga kama sio Mungu, hivyo ndo walikua wanajiuliza...


sasa kufika hapa unachanganyikiwa kama alikua ni Mungu au si Mungu. ..

baada ya kusema hivyo hapo mbele Yesu aliomba......(sasa kama Yesu alikua Mungu alikua ana muomba nani?) hii ni direct translatiin kutoka greek

At John 17:21, 22 Christ prayed, "That they all may be one; as thou, Father, art in me, and I in thee, that they also may be one in us: that the world may believe that thou hast sent me. And the glory which thou gavest me I have given them; that they may be one, even as we are one."

umaanza kuelewa alikua anamaanisha nini akisema yeye na Mungu ni kitu kimoja?
lakini kabla bado unajaribu kuingiza hio akilini mwako
mwasi wa Yesu alimwita Yesu Mungu, na Yesu hakumkosoa .....lakini tena ukiangalia hakuna mahali Yesu anasema explicitly 'muniabudu mimi', anasema muambudu Mungu Baba, na pia anasema kusamehewa na yeye ni kusamehewa na Mungu, akikugusa ni kama Mungu amekugusa, na hakuna mkristo atakae enda mbinguni bila kupitia kwake... sasa hapa unaona pia ni kama yeye ndo Mungu, lakini ukumbuke hakusema kwa uhakika kwamba yeye ndo Mungu

Yesu pia alisema
, "Even though you do not believe me, believe the evidence of the miracles, that you may learn and understand that the Father is in Me, and I am in the Father."

unaona vile alikua anataja baba na yeye ni kama kitu kimoja lakini mbona alikua hasemi yeye ndo baba...inakuaje?

kwanzia hapa sasa unaona Yesu anaongea uhusiano wake na Mungu baba.... hapa ni aloposhikwa na jesi la Roman, mwasi wake Peter alitoa upanga akiwa tayari kumtetea Yesu ili aaishikwe na asisulubiwe.. Yesu akasema

"Put your sword back into its place...Do you think that I cannot appeal to my Father, and he will at once send me more than twelve legions of angels?"


hizi hapa aya zengine, Yesu alipokua kijana, alikua baptised, na pindi alipo batizwa , anga ilifunguka na sauti kuroka mbinguni ilisema


And after being baptized, Jesus went up immediately from the water; and behold, the heavens were opened, and he saw the Spirit of God descending as a dove, and coming upon Him, and behold, a voice out of the heavens, saying, "This is My beloved Son, in whom I am well-pleased." (Matt. 3:16-17)


kutoka kwa hii ndo wengine wetu husema Yesu ni mwana wa Mungu, na wengine husema Yesu ni Mungu kwavile kwa maandiko mengine kwa bibilia Yesu amejisawazisha na Mungu. ...... jambo hili lilijadiliwa na wakristo wengi


conclusuion ni kwamba wote wako sawa.

kitabu cha genesis kinaongelea mwanzo wa dunia

Genesis 1:26 -- Then God said, "Let us make man in our image, in our likeness, and let them rule over the fish of the sea and the birds of the air, over the livestock, over all the earth, and over all the creatures that move along the ground."


inaongelea hapo mwanzoni kabisa..... lakini unaona hilo neno 'let us' 'in our own image', alikua anaongea na nani?


alafu unakuta mahali flani anasema I am THE Lord your GOD, there is no other GoD but me.





sasa kufika hapo naona utakua umechanganyikiwa kabisa....
sasa unafaa ujue kwamba kwa bibilia kuna kitu inaitwa trinity...... inamaanisha TRI-Unity yani vitu vitatu tofauti lakini vyote ni kitu kimoja kama vile maji (H2O) inaeza ikawa barafu ama mvuke ama maji ya kawaida, vitu vitatu tofauti lakini bado ni kitu kimoja...


"Go therefore and make disciples of all the nations, baptizing them in the name of the Father and the Son and the Holy Spirit." (Matt. 28:19)


unaona hapo inasema in the name of thr Father and the Son and the Holy Spirit. ..... hio ndo trinity .... there is only one God but he exists in trinity, they are distinct but they are all God
therefore Jesus is not the Father, he is the Son, he is not GOD but he is God, what ever he does is though as if the Father has done, and what ever the wholly spirit does is as if thr Son has done and ad if the Father has done...... so like Jesus said "He and the Father are One" He did not say are equal, but are one
wakati Yesu alipokua anarudi mbinguni alisema holy spirit itashuka na iwe nasi hadi siku atarudi....lakini alipo ulizwa siku ya mwisho ya dunia kuisha ni siku ghani, alisema baba pekee ndo anajua hio siku.......... hapo pia ndo unaelewa alikua anamaanisha nini akisema Father id greater than I ....

so ukisema Yesu ni Mungu, Yesu ni mwana wa MUNGU... nyote mko sawa

Mkuu mimi naamini hujaenda kanisani miaka 7 iliyopita kwa sababu unajuwa kabisa ukiristo ni dini dhaifu sana., na kama ingekuwa ni dini sahihi usingekosa kufanya ibada kanisani kwa kipindi chote hicho. Hili porojo lako loote nimesoma halina maana yeyote. kwa sababu mimi sijuwi nyinyi wakiristo muna tatizo la kufahamu au ndio ukiristo kwa mfano:-

1. Katika maelezo yako na aya ulizotoa ndani ya bibilia ww mnyewe unasema hakuna mahali yesu amesema ni mungu moja kwa moja kwa mfano umetoa andiko (John 10:30 , “I and the Father are one.”) Hili andiko ulitafsiri kuna neon "I" halaf kuna kiunganish and then ikafuata neno "Father". Likimaanisha yeye yesu na baba ni kitu kimoja. Ivi kwa mfano mimi nikisema mimi na wewe ni kitu kimoja itafuta kwamba sisi ni watu wawili (2) tofauti lakini lengo letu ni moja? Pia nashindwa kufahamu ugumu wa wewe kufahamu kwamba nikisema "I" that means ni mimi na nikiendelea kusema and "Father" sasa hapa namzungumzia mwengine. Kwa aya hii uliyotoa ni dhahir yesu akipata maelekezo kutoka kwa huyo Father ambaye ndie Mungu bado yeye anasimama kama mtumwa yaani Nabii (Mtume).

2. Nashindwa kufahamu unaposema Yesu alizaliwa kutoka Mbinguni, wakati maandiko yenu ndani ya biblia na katika Quran yetu tukufu yanathibitisha kwamba Mama Maryam alipata mimba na kumzaa Yesu sasa unaposema mbinguni sijuwi unamaanisha nini, na Huna andiko lolote litakalokataa yesu kuzaliwa na mama Maryam halafu uje utoe andiko yesu kazaliwa mbinguni.

3. Pia yaani wewe usipokuwa muislamu itakuwa ni kwa bahati mbaya sana Yaani unasema kabisa kwamba katika kitabu chenu cha biblia chooote hakuna mahali Yesu amesema "Niabuduni mimi" kama umeridhika na maneno hayo 2 tu kwanini munapatashida munaenda makanisani mukipiga vinanda munamuabudu yesu ilhali hajasema mumuabudu mahali popote, na ukaendelea kusema kwamba Yesu amesema watu wamuabudu Baba, Ivi wewe kwa akili zako za kawaida unaweza kusema kwamfano "Fedha hizi au kitu hichi mpe Fulani halafu ije tafsiri kwamba yule Fulani kumbe ni wewe wewe?'' hakuna kitu kama icho wala mfano wa namna hiyo. Lazima yule Fulani atakuwa ni mtu wa pili na tayari kushakuwa na tofauti kwa anayetoa na anayepokea. (mbona sisi katika Quran Allah kaeleza wazi mimi ni Mola wenu Niabuduni).

4. Halafu mwisho umemaliza kwa kusema eti ukisema ''yesu ni mungu ni sawa lakini pia ukisema ni mwana wa mungu ni sawa'' Ivi kama yesu alizaliwa na Mama Maryam vipi Mama Maryam atakuwa Mungu mana ndie aliyemzaa, lakini Je ivi Mungu ana mtoto? na kama kweli Mungu ana Mtoto huyu mtoto atakuwa vipi Mungu na yeye Mungu mwenyewe atakuwa nani? Kwa msingi huu unataka kutuaminisha kwamba Nyinyi wakiristo muna Waungu 2? na sio mmoja tena? na ni wawili Ni Mungu yupi nyinyi munamuabudu?

5. Kuna mahali unakubali kwamba Yesu alizaliwa. Ivi Kama Yesu alizaliwa hapo kabla ya yeye kuzaliwa Dunia ilikuwa kwenye himaya ya Nani mana Mungu wenu alikuwa bado hajazaliwa na Dunia ilikuwepo kitambo kabla ya kuja yesu duniani. Lakini pia swali jengine kama yesu alizaliwa ndio akaja akawa Mungu hawo watu waliokuwa kabla ya yeye kuzaliwa wakiongozwa ni nani mana ili Mungu wenu aje kwa baadae sasa nauliza hawa waliotangulia kwa Mfano Nabii Nuhu (Alaihi Salaam) alikuja kabla ya Yesu na wakati yesu anazaliwa tayari amemkuta Nabii Nuhu.
 
Waislamu ndani ya kitabu chetu kitukufu yapo maandiko yanayoharamisha mavazi kama haya herini kwa mwaname, ama kuvaa dhahabu na vituo vyenye mfano huo, lakini kwa wakiristo kitabu chao chote hakuna andiko lihusianalo na mavazi kwa mwanamme na mwanamke ndio mana tunasema tuna wasiwasi na dini yenu. kwa sababu mumekosa mafundisho kwenye kitabu chenu sasa munakuja hapa munasema ni utamaduni., kwa msingi huo ndio utakuta wakiristo wengi hawajielewi wanafanya vyovyote tu katika haya mavazi kwa sababu mumekosa muongozo.

Sisi waislamu muislamu akivaa herini tunajuwa makatazo yake kwa maandiko na mtu muislamu akivaa tunajua kabisa amefanya kosa na hukmu yake ni nini lakini kwa wakiristo hamna hiyo fatwa kwenye kitabu chenu. kama lipo letee tumalize mjadala.

Ndio mana huyu W.Ruto alikosa majibu kwa mwanawe baada ya kumuuliza kwanini huyu judge anavaa herini? ni kwa sababu alikosa muongozo yeye ni mkiristo na hakuna hayo mafundisho, kuna mambo unayaona kabisa haya hayafai lakini unakosa kujenga hoja mana huna pakushika katika kitabu chenu.

Shika dini yako achana na dini za watu wengine maana hutahukumiwa kwa dhambi za jirani yako! Watu wote wameletwa na Mungu kwa malengo anayoyajua yeye. Shika ulichonacho
 
Shika dini yako achana na dini za watu wengine maana hutahukumiwa kwa dhambi za jirani yako! Watu wote wameletwa na Mungu kwa malengo anayoyajua yeye. Shika ulichonacho

Dini ni moja tu, nyengine zisizokuwa sahihi haziwezi kuwa dini ni kupoteza mda tu. njoo katika uislamu tuepukane na moto mkali wa Jehannam tuishi peponi milele
 
Mkuu mimi naamini hujaenda kanisani miaka 7 iliyopita kwa sababu unajuwa kabisa ukiristo ni dini dhaifu sana., na kama ingekuwa ni dini sahihi usingekosa kufanya ibada kanisani kwa kipindi chote hicho. Hili porojo lako loote nimesoma halina maana yeyote. kwa sababu mimi sijuwi nyinyi wakiristo muna tatizo la kufahamu au ndio ukiristo kwa mfano:-

1. Katika maelezo yako na aya ulizotoa ndani ya bibilia ww mnyewe unasema hakuna mahali yesu amesema ni mungu moja kwa moja kwa mfano umetoa andiko (John 10:30 , “I and the Father are one.”) Hili andiko ulitafsiri kuna neon "I" halaf kuna kiunganish and then ikafuata neno "Father". Likimaanisha yeye yesu na baba ni kitu kimoja. Ivi kwa mfano mimi nikisema mimi na wewe ni kitu kimoja itafuta kwamba sisi ni watu wawili (2) tofauti lakini lengo letu ni moja? Pia nashindwa kufahamu ugumu wa wewe kufahamu kwamba nikisema "I" that means ni mimi na nikiendelea kusema and "Father" sasa hapa namzungumzia mwengine. Kwa aya hii uliyotoa ni dhahir yesu akipata maelekezo kutoka kwa huyo Father ambaye ndie Mungu bado yeye anasimama kama mtumwa yaani Nabii (Mtume).

2. Nashindwa kufahamu unaposema Yesu alizaliwa kutoka Mbinguni, wakati maandiko yenu ndani ya biblia na katika Quran yetu tukufu yanathibitisha kwamba Mama Maryam alipata mimba na kumzaa Yesu sasa unaposema mbinguni sijuwi unamaanisha nini, na Huna andiko lolote litakalokataa yesu kuzaliwa na mama Maryam halafu uje utoe andiko yesu kazaliwa mbinguni.

3. Pia yaani wewe usipokuwa muislamu itakuwa ni kwa bahati mbaya sana Yaani unasema kabisa kwamba katika kitabu chenu cha biblia chooote hakuna mahali Yesu amesema "Niabuduni mimi" kama umeridhika na maneno hayo 2 tu kwanini munapatashida munaenda makanisani mukipiga vinanda munamuabudu yesu ilhali hajasema mumuabudu mahali popote, na ukaendelea kusema kwamba Yesu amesema watu wamuabudu Baba, Ivi wewe kwa akili zako za kawaida unaweza kusema kwamfano "Fedha hizi au kitu hichi mpe Fulani halafu ije tafsiri kwamba yule Fulani kumbe ni wewe wewe?'' hakuna kitu kama icho wala mfano wa namna hiyo. Lazima yule Fulani atakuwa ni mtu wa pili na tayari kushakuwa na tofauti kwa anayetoa na anayepokea. (mbona sisi katika Quran Allah kaeleza wazi mimi ni Mola wenu Niabuduni).

4. Halafu mwisho umemaliza kwa kusema eti ukisema ''yesu ni mungu ni sawa lakini pia ukisema ni mwana wa mungu ni sawa'' Ivi kama yesu alizaliwa na Mama Maryam vipi Mama Maryam atakuwa Mungu mana ndie aliyemzaa, lakini Je ivi Mungu ana mtoto? na kama kweli Mungu ana Mtoto huyu mtoto atakuwa vipi Mungu na yeye Mungu mwenyewe atakuwa nani? Kwa msingi huu unataka kutuaminisha kwamba Nyinyi wakiristo muna Waungu 2? na sio mmoja tena? na ni wawili Ni Mungu yupi nyinyi munamuabudu?

5. Kuna mahali unakubali kwamba Yesu alizaliwa. Ivi Kama Yesu alizaliwa hapo kabla ya yeye kuzaliwa Dunia ilikuwa kwenye himaya ya Nani mana Mungu wenu alikuwa bado hajazaliwa na Dunia ilikuwepo kitambo kabla ya kuja yesu duniani. Lakini pia swali jengine kama yesu alizaliwa ndio akaja akawa Mungu hawo watu waliokuwa kabla ya yeye kuzaliwa wakiongozwa ni nani mana ili Mungu wenu aje kwa baadae sasa nauliza hawa waliotangulia kwa Mfano Nabii Nuhu (Alaihi Salaam) alikuja kabla ya Yesu na wakati yesu anazaliwa tayari amemkuta Nabii Nuhu.
yaani vile umepotea hata sijui nikwambie nini ila kilala heri....
yaani ni kama haujielewi kabisa, hivi uko na miaka ngapi wewe? hata mtoto wa miaka tano anajua mengi kuhusu ukristo kuliko wewe

First of all, siendi kanisani hio ni yangu personally... otherwise am proud to be a Christianity. .. hii sio uislamu ambambo ukikosa kwenda kuomba unaanza kuitwa majina na kutengwa na wenzio... ukristo is about your inna self, its about your inner self, personal drive, its about when you are ready to accept christ as your savior, its about bieng true to yourself when you are alone in the dark....and that is what I love most about Christianity. ... its not about showing up in church and praying just because everyone is doing it and if I dont I will look odd..... mi kwetu ni pwani na nimeshawai ona waislamu wengi wakati wa ramadhan wakisema kitu kama "ningekutukana lakini ni vile nimefunga", hio kulingana na my belief ni dhambi kubwa hata kuliko yule hakufunga... ... hakuna mahali utaenda kama unaenda kanisani ili kuonekana wewe ni mkristo... Mungu anajua nani ni true believer, na hakuna mtu anafaa kukujudge hapa duniani... si wewe, si pastor wangu.. so thanks for the offer but there is no where in hell I will ever subject myself to that backward religion called Islam ... and good luck.
nilicho fundishwa kwa CRE nikiwa mdogo ni love your neighbour just as you would love yourself..... and thats what I use to respect other people's religions, I have my own views about other religions, lakini hautaniona mimi nikianza kuita watu wengine kafir, sijui wataenda hell, just because they are not my religion.. any religion that cannot tolerate others is a backward religion,



alafu ntamalizia kwa kukwambia afadhali ujipatie shughuli nyengine, if you want to know about Christianity, better be commited.. yani vile unajieleza ni dhahiri kwa mkristo yoyote kwamba you know nothing abt Christianity, yaani hata ni aibu vile unajifanya eti unajua mawili matatu...


Yesu alikuja kuokoa binadamu, lakini kabla kuokoa ilikua ni lazma apitie maisha ya binadamu wa kawaida, lazma alikua akue humbled, ateseke, a mwage damu, ajaribiwe (temptemtion)... ndo mwishowe afe ili aokoe binadamu ili binadamu wasamehewe fhambi zao... hio ndo one of the fundamentals of Christianity. ... sasa kama hata haujui one of the most basic fundamentals of Christianity, how do you expect to understand the inner Christianity. ...... ushawahi ona mtu amesoma back page ya novel ya 2000pages alafu anajaribu jadiliana na mtu amesoma kitabu na akaelewa, anajua ilianzaje, ikaendaje, ikakuaje........ wewe ndo huyo mtu alisoma back page.... na pindi tulipo anza ku jafiliana ni dhahiri kwamba hakuna lolote unajua kuhusu Christianity, ,, uko na ignorance ambayo mtoto wa miaka tano anayefundishwa bible study ndo anafaa anze kukuelezea
 
Vip na yule seneta (sharobaro) sonko?
hiyo ya senetor wa Nairobi hakuna cha mila wala nini.... yeye ni kuwa dot com tu .

cheki hapa walikua official business na senator wa Nairobi ambaye ni beste ya uhuru alikuja akiwa hivi, uhuruto walibaki waki cheka na kushangaa na hawakumfanya lolote..pia yeye huvaa hereni


ss-2.jpg
ss-3.jpg


nafiki hapa walikua wanangoja rais wa china awasili kenya pale jkia. na unaona rais uhuru akimkagua alafu wanacheka na Ruto. ... inakaa ruto ako na shida na jaji mkuu na wala sio mambo ya kuvaa hereni sababu huyu senetor huvaa hereni na ni rafiki ya uhuru
 
Mkuu kabla sijajibu hayo maandiko yako., naomba kwanza thibitisha ulichokiandika kwa mkono wako hapo juu ambacho nimebold kwa blue colour halafu mimi na wewe tuelekeze hoja zetu kwenye mada ya msingi.

1. Mimi nilifikiri yesu ni mungu wa wakikiristo lakini kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu umekiri yesu ni nabii wa Mungu. yawezekana mimi na wewe tuko upande mmoja sote ni waislamu.

2. Katika aya hiyo hiyo umeeleza kwamba yesu alipozaliwa that means kumbe yesu alizaliwa na ni mtu siyo Mungu, na bila shaka kama yesu kazaliwa bila shaka mama yake alikuepo, pia kumbe yesu alinyonya kwa mama yake, pia kumbe yesu ni binadamu na sio mungu. Kama kazaliwa kabala hakuwepo mpaka alipozaliwa. kwa msingi huu dunia ilikuwepo kabla yesu kuzaliwa na ilikuwa katika himaya ya Mungu ambaye baada ya yesu kuzaliwa alimtuma na kumpa unabii. Ni sawa na kusema yesu si mungu hii ni kauli yako.

3. Kuna mahali katika paragraf hio hio umeandika Mungu alipomtuma yesu, Kumbe yesu alitumwa na Mungu mana wakiristo wengi husema yesu ni mungu lakini ndo nakusikia wewe unasema mungu alimtuma yesu. Kumbe yesu si mungu bali ametumwa na ni Mtume wa Mungu.

Kwa heshima sana naomba thibitisha haya halafu tuwekane sawa kwenye hii hoja yetu ya mavazi yawezekana wewe ni muislamu mwenzangu kwa mujibu wa maelezo yako mana hata sisi waslamu tunaamini yesu alikuwa Mtume wa Mungu na Mungu ndio alimtuma yesu kwa wana wa Israel.
Mbona suala la Yesu kuwa linakutoa mapofu sana?
Mbona Kafrican amekupa darasa la kutosha?
 
Nime confirm. Ilikua wanamlaki rais wa China jkia

sonko-jeans1.jpg
sonko-jeans2.jpg
sonko-jeans4.jpg
 
yaani vile umepotea hata sijui nikwambie nini ila kilala heri....
yaani ni kama haujielewi kabisa, hivi uko na miaka ngapi wewe? hata mtoto wa miaka tano anajua mengi kuhusu ukristo kuliko wewe

First of all, siendi kanisani hio ni yangu personally... otherwise am proud to be a Christianity. .. hii sio uislamu ambambo ukikosa kwenda kuomba unaanza kuitwa majina na kutengwa na wenzio... ukristo is about your inna self, its about your inner self, personal drive, its about when you are ready to accept christ as your savior, its about bieng true to yourself when you are alone in the dark....and that is what I love most about Christianity. ... its not about showing up in church and praying just because everyone is doing it and if I dont I will look odd..... mi kwetu ni pwani na nimeshawai ona waislamu wengi wakati wa ramadhan wakisema kitu kama "ningekutukana lakini ni vile nimefunga", hio kulingana na my belief ni dhambi kubwa hata kuliko yule hakufunga... ... hakuna mahali utaenda kama unaenda kanisani ili kuonekana wewe ni mkristo... Mungu anajua nani ni true believer, na hakuna mtu anafaa kukujudge hapa duniani... si wewe, si pastor wangu.. so thanks for the offer but there is no where in hell I will ever subject myself to that backward religion called Islam ... and good luck.
nilicho fundishwa kwa CRE nikiwa mdogo ni love your neighbour just as you would love yourself..... and thats what I use to respect other people's religions, I have my own views about other religions, lakini hautaniona mimi nikianza kuita watu wengine kafir, sijui wataenda hell, just because they are not my religion.. any religion that cannot tolerate others is a backward religion,



alafu ntamalizia kwa kukwambia afadhali ujipatie shughuli nyengine, if you want to know about Christianity, better be commited.. yani vile unajieleza ni dhahiri kwa mkristo yoyote kwamba you know nothing abt Christianity, yaani hata ni aibu vile unajifanya eti unajua mawili matatu...


Yesu alikuja kuokoa binadamu, lakini kabla kuokoa ilikua ni lazma apitie maisha ya binadamu wa kawaida, lazma alikua akue humbled, ateseke, a mwage damu, ajaribiwe (temptemtion)... ndo mwishowe afe ili aokoe binadamu ili binadamu wasamehewe fhambi zao... hio ndo one of the fundamentals of Christianity. ... sasa kama hata haujui one of the most basic fundamentals of Christianity, how do you expect to understand the inner Christianity. ...... ushawahi ona mtu amesoma back page ya novel ya 2000pages alafu anajaribu jadiliana na mtu amesoma kitabu na akaelewa, anajua ilianzaje, ikaendaje, ikakuaje........ wewe ndo huyo mtu alisoma back page.... na pindi tulipo anza ku jafiliana ni dhahiri kwamba hakuna lolote unajua kuhusu Christianity, ,, uko na ignorance ambayo mtoto wa miaka tano anayefundishwa bible study ndo anafaa anze kukuelezea

Hiyo ni theory yenu tu muliyonayo kichwani wakiristo, Lipo andiko ndani ya kitabu chenu biblia kwamba Mungu wenu ''hana sifa ya kugeuka geuka'', kwamba leo awe Mungu kesho aje awe binadamu na afanye vitendo vya kibinadamu kama unavyosema, kuteseka sijuw kumwaga damu nk halafu arudi tena kuwa Mungu.,

Swali: Wakati Yesu amekuja kibinadamu ili awaokoe Mungu alikuwa nani wakati huo yeye ni binadamu? mana yesu ndo ashakuwa binadamu, hapa silazima utumie muda sana ni akili ya kawaida unapata majibu tosha kwa kuna udhaifu mkubwa sana kwenye hiyo muitayo dini ya kikiristu.

Halafu umesema ''ajaribiwe'' (temptation) Ivi aliyejaribiwa na kuwa binadamu ni nani na aliyemjaribu ni nani?? wataje wote 2, nijuwe aliyemjaribu na aliyejaribiwa halafu uniambie katika hawo Mungu wenu hasa ni yupi? otherwise wakiristo munataka kutuaminisha kwamba miungu wenu ni wawili, haya ni maneno huwa munalishwa kanisani lakini hakuna andiko ndani ya biblia kwamba mungu atakuwa na sifa ya kugeuka geuka.
 
Back
Top Bottom