Waislamu ndani ya kitabu chetu kitukufu yapo maandiko yanayoharamisha mavazi kama haya herini kwa mwaname, ama kuvaa dhahabu na vituo vyenye mfano huo, lakini kwa wakiristo kitabu chao chote hakuna andiko lihusianalo na mavazi kwa mwanamme na mwanamke ndio mana tunasema tuna wasiwasi na dini yenu. kwa sababu mumekosa mafundisho kwenye kitabu chenu sasa munakuja hapa munasema ni utamaduni., kwa msingi huo ndio utakuta wakiristo wengi hawajielewi wanafanya vyovyote tu katika haya mavazi kwa sababu mumekosa muongozo.
Sisi waislamu muislamu akivaa herini tunajuwa makatazo yake kwa maandiko na mtu muislamu akivaa tunajua kabisa amefanya kosa na hukmu yake ni nini lakini kwa wakiristo hamna hiyo fatwa kwenye kitabu chenu. kama lipo letee tumalize mjadala.
Ndio mana huyu W.Ruto alikosa majibu kwa mwanawe baada ya kumuuliza kwanini huyu judge anavaa herini? ni kwa sababu alikosa muongozo yeye ni mkiristo na hakuna hayo mafundisho, kuna mambo unayaona kabisa haya hayafai lakini unakosa kujenga hoja mana huna pakushika katika kitabu chenu.
Kuna aina flani ya waislamu huwa mwanishangaza sana.... utakuta ustadhi mzima ameketi na wafuasi wake wakijadiliana na kudanganyana kuhusu ukristo.... kama dini yenu ni ya nguvu sana, kwanini mwajisumbua na ukristo...
Sasa nani kakudanganya hakuna mahali nguo/mavazi huongelewa kwa bibilia?
Kitu cha kwanza unafaa ujue kwa bibilia kuna parts mbili...kuna old testament na new testament. ..
Old testament ni sheria ya Mungu tangu dunia ianze hadi pale alipotuma nabii wake Yesu. New testament ni sheria ya Mungu kuanxia pale yesu alipozaliwa hadi siku ya mwisho kwenda mbinguni...
Katika old testament, wakristo wanaahidiwa kwamba kutakua na mwamko mpya, wafyate sheria ya Mungu hadi pale mwamko mpya ukija watapewa sheria mpya. The old testament ilikua sheria ya nabii Moses, ndo maana utakuta kuna vitu vyengine kwa bibilia vinafanana na vya Quran. Haya hapa maandiko ya Bibilia yanaayo ongelea new testament
The Old Testament was preparatory, temporary, and limited. The New is complete, eternal, and universal. The Old Testament promised a New Testament
(Jer. 31:31). The prophet Isaiah spoke of the days to come when the new law would go forth from Jerusalem (Isaiah 2:2-4). In the New Testament, the Apostle Paul stated that the law of Moses had been given until the seed, which is Christ Jesus, had come (study Galatians 3:19-27).
The New Testament is the will of Christ, its seal is Jesus' blood (Hebrews 9:15-17). The testator of this will is Jesus, God's Son. The inheritance is heaven. The terms are faith and obedience. The period of probation is the Christian age which will end when Christ returns. The beneficiaries are all men who accept the terms, and the executors of the will are the apostles.
This will could not come of force until Jesus' death, "For where a testament is, there must of necessity be the death of him that made it" Hebrews 9:16. Jesus' death marked the end of the old and the beginning of the new, for, "He taketh away the first that He may establish the second" Hebrews 10:9. Christians are discharged from the law and joined to Christ (Romans 7:4-6).
Since the time of the cross, even now in this Christian age, men live under the law of Christ rather than under the Law of Moses as in the Old Testament times. (John 1:17).
Hivi ndo kitabu cha Deuteronomy ambacho ni old testament kinaongea kuhusu mavazi ya mwanamme na mwanamke
OLD TESTAMENT
Deuteronomy 22:5
"A woman shall not wear man's clothing, nor shall a man put on a woman's clothing; for whoever does these things is an abomination to the LORD your God.
----------
Psalm 104:2
Covering yourself with light as with a garment, stretching out the heavens like a tent.
--------
Leviticus 19:19
“You shall keep my statutes. You shall not let your cattle breed with a different kind. You shall not sow your field with two kinds of seed, nor shall you wear a garment of cloth made of two kinds of material.
NEW TESTAMENT
Kitabu cha kwanza cha new testament
Matthew 6:25-34
“Therefore I tell you, do not be anxious about your life, what you will eat or what you will drink, nor about your body, what you will put on. Is not life more than food, and the body more than clothing? Look at the birds of the air: they neither sow nor reap nor gather into barns, and yet your heavenly Father feeds them. Are you not of more value than they? And which of you by being anxious can add a single hour to his span of life? And why are you anxious about clothing? Consider the lilies of the field, how they grow: they neither toil nor spin, yet I tell you, even Solomon in all his glory was not arrayed like one of these.
Also from new testament kuhusu wanawake
-------
Your beauty should not come from outward adornment, such as braided hair and the wearing of gold jewelry and fine clothes. Instead, it should be that of your inner self, the unfading beauty of a gentle and quiet spirit, which is of great worth in God's sight. For this is the way the holy women of the past who put their hope in God used to make themselves beautiful. (1 Peter 3:2-5)
---------------------'
Hizi ni mfano tu, ziko aya nyingi ambazo zinaongelea mavazi.... kwahivyo kamwambie alie kudanganya akajinyonge .
Alafu usijifanye eti uislamu uko na muongozo imara ambao hauchanganyi watu, afadhali ukristo ambao umekuchanganya wewe kuhusu mambo madogo kama mavazi..... dini ya uislamu imechanganya wengine... vita vikubwa duniani vinavyoendelea kwa sasa ni mambo ya jihad.... wengine wenu mnnaamini makafiri wote lazma wawe waislamu au wachinjwe na wanasema hayo ndo mafundisho ya Quran na wengine wenu mnabaki mkiwakana kwamba hao si wenzenu kwani yeni ni dini ya amani