Makamu wa Rais: Zanzibar hakuna Amani, kuna Ukimya

Makamu wa Rais: Zanzibar hakuna Amani, kuna Ukimya

M
Mkuu;

Unakosea, unachosema sio kweli. wa sababu Zanzibar wanachopata haki yao kwa mujibu wa makubaliano ya muungano!

Kama chao wanakitumia vizuri kwa maendeleo yao, hamna shida! Wewe omba au dai mgao wa Tanganyika!

Maana mgao wa Tanzania ni wa pande zote!
Makubaliano ya Muungano yanasemaje? Juu ya mgawanyo wa mapato na mgawanyo wa madeni
 
Zanzibar kwa Sasa hakuna upinzani. Ile ilikuwa maalim effect, Sasa maalim hayupo pamebaki tupu.
 
Sema naye alipewa huo.umakamu basi tu kichwa chake sio kizuri sana
Hata alipokuwa mwana sheria mkuu wa serikali alikuwa hajielewi kama yuko serikalini au ni mtu huru tu kama wa mtaani anayeweza bishia hata serikali

Hapo alipo hata hajielewi kama ni kiongozi wa serikali sio.kiongozi wa chama cha siasa
Haelewi kabisa yupo hapo kama kiongozi wa serikali. Zanzibar hakuna makamu wa Raisi hapo poleni.
Naunga mkono hoja, huyu jamaa anaongozwa na hisia kuliko akili japo ni msomi.
 
Kwa ukweli aliongea tayari amejiweka kwenye hatari.
 
Huyo ni mchochezi tu, amani zanzibar ipo tele, na inapiga hatua kubwa kimaendeleo, hapo awali maendeleo ya Zanzibar yapokuwa yakisuasua kweli palikuwa na tafrani.
Ni Mchechezi halafu yupo ndani Ya serkali kama Makamu wa Rais..
Oke nimekuelewa
 
Sema naye alipewa huo.umakamu basi tu kichwa chake sio kizuri sana
Hata alipokuwa mwana sheria mkuu wa serikali alikuwa hajielewi kama yuko serikalini au ni mtu huru tu kama wa mtaani anayeweza bishia hata serikali

Hapo alipo hata hajielewi kama ni kiongozi wa serikali sio.kiongozi wa chama cha siasa
Haelewi kabisa yupo hapo kama kiongozi wa serikali. Zanzibar hakuna makamu wa Raisi hapo poleni.
Kwakuwa kausema Ukweli..
Ifike mahala Ukweli uwe SI unit Yetu wote bila kuogopa hadhi na Heshima uliyonayo
 
Huyo ni mchochezi tu, amani zanzibar ipo tele, na inapiga hatua kubwa kimaendeleo, hapo awali maendeleo ya Zanzibar yapokuwa yakisuasua kweli palikuwa na tafrani.
Sema naye alipewa huo.umakamu basi tu kichwa chake sio kizuri sana
Hata alipokuwa mwana sheria mkuu wa serikali alikuwa hajielewi kama yuko serikalini au ni mtu huru tu kama wa mtaani anayeweza bishia hata serikali

Hapo alipo hata hajielewi kama ni kiongozi wa serikali sio.kiongozi wa chama cha siasa
Haelewi kabisa yupo hapo kama kiongozi wa serikali. Zanzibar hakuna makamu wa Raisi
 
Sema naye alipewa huo.umakamu basi tu kichwa chake sio kizuri sana
Hata alipokuwa mwana sheria mkuu wa serikali alikuwa hajielewi kama yuko serikalini au ni mtu huru tu kama wa mtaani anayeweza bishia hata serikali

Hapo alipo hata hajielewi kama ni kiongozi wa serikali sio.kiongozi wa chama cha siasa
Haelewi kabisa yupo hapo kama kiongozi wa serikali. Zanzibar hakuna makamu wa Raisi hapo poleni.
yaani wewe ndiyo umemkamatia akili zake?

Hajielewi yeye au wewe unaeandika ovyo? Watu wengine bwana!
 
Kwakuwa kausema Ukweli..
Ifike mahala Ukweli uwe SI unit Yetu wote bila kuogopa hadhi na Heshima uliyonayo
Kusema tu haosadii kama anaona umakamu wa Raisi kwake hauna la maana yeyote ajiuzulu hiyo nafasi

Sasa yakhe pesa apokea wakati aona kuwa hiyo nafasi hana la maana alifanyalo akal8a nini hicho kiti yakhe? Ala bure pesa za wazanzibari yakhe.Na hiyo ni haramu mbele ya Mtume Mohamedi kula cha wa Zanzibar bila kazi
 
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar , Othman Masoud , ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar , amenukuliwa akieleza kwamba , kwa sasa Zanzibar hakuna amani , bali kuna Ukimya tu .


ZANZIBAR HAKUNA AMANI, KUNA UKIMYA

"Kilichopo sasa Zanzibar ni kimya; na si amani; kwa sababu kila mtu ana wasiwasi—na mtu anapokuwa na wasiwasi ukisema ana amani sio kweli."

inawezekana anachapwa makofi ndani ya nyumba yake na amekaa kimya, maana yake hamna amani hapatoshi , busara inamtuma akae kimya 🐒

kwenye hizi nyumba miongoni mwa jamii kuna mambo mengi sana huko ndani 🐒
 
inawezekana anachapwa makofi ndani ya nyumba yake na amekaa kimya, maana yake hamna amani hapatoshi , busara inamtuma akae kimya 🐒

kwenye hizi nyumba miongoni mwa jamii kuna mambo mengi sana huko ndani 🐒
Ngoja tuone
 
Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar , Othman Masoud , ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar , amenukuliwa akieleza kwamba , kwa sasa Zanzibar hakuna amani , bali kuna Ukimya tu .


ZANZIBAR HAKUNA AMANI, KUNA UKIMYA

"Kilichopo sasa Zanzibar ni kimya; na si amani; kwa sababu kila mtu ana wasiwasi—na mtu anapokuwa na wasiwasi ukisema ana amani sio kweli."

Wasi wasi wa nini sasa, kwa aliyemfahamu, wa ukosefu wa sukari kwa ajili ya mfungo wa Ramadhani au mikopo kutoka bodi ya elimu ya juu ???
 
sio kuona tu utaskia pia mazrui na jusa pia wanalia kwa sauti ya aina nyingine pia 🐒
Mazrui sio katika watakaolio na kama atalia basi atakuwa mru wa ajabu maana zabuni za kujenga hospitali ya wilaya zinafanywa na kampuni yake na viaja wake. sasa huwezi kunyea unapokula kwa utamaduni wa Pwani
 
Mazrui sio katika watakaolio na kama atalia basi atakuwa mru wa ajabu maana zabuni za kujenga hospitali ya wilaya zinafanywa na kampuni yake na viaja wake. sasa huwezi kunyea unapokula kwa utamaduni wa Pwani
kwahiyo anaweza kuobserve table manners , kwamba ukiwa una chakula mdomoni hapana kuzungumza sio 🐒

that is maturity, ni mzuri sana 🐒
 
Wakikosa amani basi wana hila, kila kitu wanapata bure kutoka bara wana wasiwasi gani.
 
Back
Top Bottom