Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
M
Makubaliano ya Muungano yanasemaje? Juu ya mgawanyo wa mapato na mgawanyo wa madeniMkuu;
Unakosea, unachosema sio kweli. wa sababu Zanzibar wanachopata haki yao kwa mujibu wa makubaliano ya muungano!
Kama chao wanakitumia vizuri kwa maendeleo yao, hamna shida! Wewe omba au dai mgao wa Tanganyika!
Maana mgao wa Tanzania ni wa pande zote!