Makamu wa Rais: Zanzibar hakuna Amani, kuna Ukimya

Makamu wa Rais: Zanzibar hakuna Amani, kuna Ukimya

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar , Othman Masoud , ambaye pia aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar , amenukuliwa akieleza kwamba , kwa sasa Zanzibar hakuna amani , bali kuna Ukimya tu .


ZANZIBAR HAKUNA AMANI, KUNA UKIMYA

"Kilichopo sasa Zanzibar ni kimya; na si amani; kwa sababu kila mtu ana wasiwasi—na mtu anapokuwa na wasiwasi ukisema ana amani sio kweli."

Duh msomi huyo
 
Back
Top Bottom