Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Mwachiluwi ubavu wako huu hapaHapa nilisinzia nimeoneshwa ndotoni yeye ndo wamaisha🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwachiluwi ubavu wako huu hapaHapa nilisinzia nimeoneshwa ndotoni yeye ndo wamaisha🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Ipo haikosekaniChakula kinakosa mvuto.
Leo hamna juisi?
Ndio umejua leo pikaNilikua sijui makange kumbe ndo delicious meal namna hii!
Kuna nyimbo ya ibraah na line moja ina mention "supu makange"
Uweke na picha hapaHongera sana, mshahara Bado sijapata nitafanya hivyo!
Oh nice nakuandalia kipenziUgali
Ahhah kubadilisha mloNapenda sana kuku ila makange sijawahi kula sipendi kuku wa minyanya ila wa kukaanga😋
Nimemuona aje pm na mkaribisha kabisa 😂Mwachiluwi ubavu wako huu hapa
😊 thank youOh nice nakuandalia kipenzi
Uyo ana wadada wa kazi wanampikia na anawakula 😂 kimasihalaMwachi mwenye jiko lake, safi sana.
Dipresheni hebu jifunze nawee khaaah! Mtu gani hata chai unaunguza!
Ameshindikana kuliko shindikanaaUyo ana wadada wa kazi wanampikia na anawakula 😂 kimasihala
SawaUweke na picha hapa
Uyo ni chura kiziwiAmeshindikana kuliko shindikanaa
Shindikanaa unajua kupika tofauti na kiburu?Ameshindikana kuliko shindikanaa
Aje yeye badala umfuate moja kwa moja? Unaniangusha sasa na mtoto ameshalainikaNimemuona aje pm na mkaribisha kabisa 😂
Ndio, najua na mangararimo🤣🤣Shindikanaa unajua kupika tofauti na kiburu?
Ngararimo za magadi😆😆Ndio, najua na mangararimo🤣🤣
Ni kipande cha kiungo 🤣Huyo ni nzi au