Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msomi mbobezi hahakiki hata anachoandika🤣😂Kuweni wabunifu, acheni kuzabaa
KKKT wanafuata midundo ya muziki baada ya kuona waumini wanawakimbia kwenda makanisa ya kiroho ambako kunena kwa lugha ni chambo cha kuwanasa waumini😂🤣Eti hata kkkt wananena kwa lugha!?? Yan walokole wamekiua kanisa kabisa
Umenikumbusha Mungu wa Muthoni Kenya😂🤣Ibada yaweza kuanzia Mwanzo Hadi mwisho bila mahubiri watu wakamwimbia Mungu kumsifu ,wakamsujudia,wakamuomba wakaondoka zao
Lutgeran ile ilikuwa ya kweli hii ya sasa ni genge la weziUmenikumbusha Lutheran ya zamani. Dah. Nyimbo za vitabuni zina raha yake aisee
KAZI ya Mungu zinafanywa Kwa Ulegevu na watu wasio na karama.
Mtu Hana karama ya uhubiri unampaje ahubiri, huoni atakera watu??
Mimi binafsi Nabarikiwa sana na nyimbo za kitabuni rather than miziki wanayoita kwaya, hasa kipindi hiki tunachoendea cha majilio, kuna nyimbo nzuri ambazo kwa mwaka tunaimba mara moja.
Msomi mbobezi🤣😂Alafu hizi Dini kubwa sasa Kama taasisi kubwa zimeshindwa kuyaendesha ni Bora wazibinafsishe
UNAMAANISHA NINI?Eti hata kkkt wananena kwa lugha!?? Yan walokole wamekiua kanisa kabisa
Msomi mbobezi🤣😂
Hivi hujagundua kuwa makanisa yamebinafsishwa kimtindo, bado hujui kuwa sadaka zinakwenda kwa genge fulani la wahuni!!!