Makanisa Nchini Mjitafakari

Makanisa Nchini Mjitafakari

Badala mpambane na serikali zinazopandisha bei kila kitu eti mnapambana na kanisa ni dhambi yaani maisha yawachape eti sadaka tunaliwa??!!makanisa yapo miaka na miaka leo wewe umezaliwa juzi unatoa maneno kama hayo[emoji849][emoji849][emoji849] pambaneni na serikal zinazoongeza matozo hizo ndio zinafanya muone kanisa linakula hela mnatia aibu na umasikini wenu visadaka vyenu vitawapeleka wapi ??! Badilika wewe ni aibu hama amia fin ambayo haitoi sadaka usilalame tuu
Visadaka vyao haviwapeleki popote ndio maana wameamua waachane navyo wawapatie wenyewe wahitaji. Kwa nini unateseka kwa maamuzi yao?
 
Maisha yakiwapiga msikimbilie kusema makanisa, huo ni mfumuko wa bei shughulikeni na serikali zenu, au hamia din nyingine ambayo hawatoi sadaka
Wewe ndugu Mbona Unang'ania Maisha maisha maisha.. Kwahiyo watu wasijadili Kisa Wana Maisha Magumu kuna Mtu ameweka Akaunti yake Katika hii mada na Maisha anayoishi. Jadili Mada Husika Usi attack Personal issues
 
Ukiona mtu anasononeka kama wewe ujue maisha yako ni magumu sana, usilalamikie kanisa lalamikia serikali kupandisha bei vitu, ndio jibu lako msisingizie makanisa coz miaka na miaka yapo hivyo hivyo wewe nani umezaliwa juzi tu eti unaliwa??!! Unajitafutia laana ungehama tu amia din nyingine ambayo haitoi sadaka
Kazi ya kutoa lawama ni ya watu wa makanisani. Jitu linazini linamlaumu shetani, linaiba linamlaumu shetani. Watu wengine sio watu wa lawama eti wailalamikie serikali, then what? Ndio wamechukua hatua wewe baki na lawama hapo mtume nabii mtumishi
 
Tukirudi kwenye fikira dini zote tulizo nazo ni dini za mchongo tuu ni vile tuu tumezaliwa na kukuta wakubwa wetu wanaabudu.

Fikiri kabla ya biashara ya utumwa watu walikua hawajui uislam africa.

Fikiri kabla ya kuja wazungu watu walikua hawajui ukristo africa.

Je walioishi kabla hukumu zao zikoje.

Jambo tafakarishi tunaomba kwa pamoja juu ya kinga fulani ila hilo hilo jambo lina kwenda tupata, mfano ufaulu, nafuu ya mgonjwa, ajari.

Kikubwa tuishi kwa kuwajari wenzetu, tutende yaliyo mema.
Ndio muhimu. Kama Mungu angekuwa na Dini basi kungekuwa na Muongozo mmoja Unaotuongoza Sote na Wala Kusingekuwa na Makundi

Sasa Leo hii mara Mungu anaipenda Israel kuliko Sehemu zingine. Mara Kuna Waislamu,mara kuna Wakristo n.k n.k. hapo Ujue Hakuna Mungu bali Ni Binadamu walikaa Chini Wakaweka Mambo yao Wavuruge na Kujinufaisha Wao na Mafamilia Yao
 
Alafu ukienda kutoa sadaka kanisani usichukulie kama umempa mchungaji we fanya kama umetoa kwa MUNGU ndio itakapo hesabika, wacha laana na adhabu ya MUNGU juu ya sadaka kutumiwa vibaya itawatafuina
 
Nijitolea kwa hali na mali kujenga shule moja ya kanisa mkoa fulani,Cha kushangaza nilimaliza chuo nilienda kuomba kazi pale NIKAKOSA nafasi walipewa Ndugu,na watoto wa wachungaji.Niliumia sana mpka leo nishabadili mfumo.
Pole Sana hapi Ndipo unaweza Funguka Akili kwamba Tunapigwa

Wamejenga Kanisa Moja Ila Wanamiradi inayozunguka Kanisa Zaidi ya Mia. Halafu Jaribu kama Muumini Kuomba Au Kutaka Kuwa Sehemu ya Hiyo Miradi uone Kinachotokea. Wale wanaotetea Ujue Kuna Miradi ya Kanisa Wananufaika Nayo usitegemee Muuza Cement aliyeingia Ubia Na Kanisa atakosoa Miradi hata Kama Yy mwenyewe ni Muumini. Kuna Watu wanaenda Kanisani kusikiliza Fursa zinazojitokeza humo Ndani. Ili wapeleke Cement.. NONDO...tofali.. n.k

Sasa Linapokuja Swala la Manufaa ya Miradi kwa Muumini Hutopata Majibu
 
Kupitia binadamu unamuona Mungu.
Asamsaidiae mhitaji umkopesha Mungu nae atamlipa mara nyingi yake.
Hii kanuni wanaijua wazungu thus kadri wanavyotupa misaada zaidi ndivyo wao wanavyotajirika zaidi.
Never Never

Mungu Hapitii kwa Binadamu Kutoa Mambo yake. Mungu keshakuumba Na Kila Kitu unachohitaji hapa Duniani

Hata Washenzi wana Mali kuliko Unayemuomba Mungu. Hata Majambazi.. wezi wote wana Mali. Haina Maana Wamebarikiwa na Mungu

Na Hao wazungu wala Usiwaweke Hapa Maana Hao ndio Wanaleta Hadi Ushoga huku. Maana Yake wametumwa Na Mungu?? Hiyo misaada yao ina Masharti amabyo serikali haiwezi kukuambia Mwananchi
 
Nasali kimara korogwe wiki mbili zilizopita nilikuepo pale na napenda San San kusali hapo kwa ndugu mastai .
Sas ikafika saa ya sadaka zikatolewa sadaka zote namm nikatoa sadaka moja Kati ya sadak 7 HV zilizokuwepo ambazo ndizo za kila siku .mf ahadi na collect ,10 % ,shukrani za wiki ,shukrani za pekee ,sadak za Siri , malimbuko na zaka na sadak pia za jengo . baadae mchungji akatangaza kuwa kama una sadaka yoyote ile iletwe mbele madhabauni iletwe watu kama kumi HV wakapeleka mm kumbuka nilitoa sadak moja tu siku hyo bas akawaombea wakatoa sadaka wakarud kuketi mm nilikuwa nimebakiw na Kama elf 22 mfukoni nikaonaa niuchune tu mnk ndizo hella nategemeaa kutumia Kulipia bill ya maji na kulipa umeme pia
Bas bhna nakumbuka nikiwa katkat ya ibada inaendelea simu ikaita nikaifinyia siku ipokeaa jamaa kapiga tena Tena sikupokea nikamtumia msg kuwa Niko kanisani bas na yey akatuma msg ya kuomba nimsadie elf tatu hapo anashida sijamjibu ..nikamaliza ibada nikatoka zangu nikarud home jamaa ilivyofika saa sab akapiga Tena kuomba nimchekie elf tatu nikamjibu kuwa Sina kitu.ikafika jioni nikaenda kutazama game ya yanga na Costal .nikanunua soda pale kucheki mfukoni sina kitu yaani inshort pesa nilipoteza zote na Sina naman nikajiuliza au kawasababu sikutoa sadaka nn nikatoa kidgo .au yule jama aliyeniomba nimtumie elfu tatu nikamnyima na mm kupoteza hela zote

In shortly sadaka zinafanya Kaz Kuna watu wamegundua Siri ktk sadaka hzi ambazo ss hatuzioni naamini ktk ibada ya sadaka
 
Mtu anapata Ajali ya Gari tena Unakuta ni Mahala pa Kijijini anaokolewa na Mwanakijiji hapo anamuwahisha Hospitali anapatiwa matibabu. Halafu kwa Sababu Akili timamu hana anachukua Pesa anaenda Kutoa Shukurani kwa Mchungaji au anapeleka Sadaka Ya Shukurani kanisani. Aliyemuokoa Kule Kijijini na Hospitali waliomtibu hawakumbuki
Inasikitisha sana...

Anakuambia amepona kwa uwezo wa Mungu kama vile alijipeleka mwenye hospitali...
 
Never Never

Mungu Hapitii kwa Binadamu Kutoa Mambo yake. Mungu keshakuumba Na Kila Kitu unachohitaji hapa Duniani

Hata Washenzi wana Mali kuliko Unayemuomba Mungu. Hata Majambazi.. wezi wote wana Mali. Haina Maana Wamebarikiwa na Mungu

Na Hao wazungu wala Usiwaweke Hapa Maana Hao ndio Wanaleta Hadi Ushoga huku. Maana Yake wametumwa Na Mungu?? Hiyo misaada yao ina Masharti amabyo serikali haiwezi kukuambia Mwananchi
Mambo ya Iman hayana majibu ya kisiasa
 
Nasali kimara korogwe wiki mbili zilizopita nilikuepo pale na napenda San San kusali hapo kwa ndugu mastai .
Sas ikafika saa ya sadaka zikatolewa sadaka zote namm nikatoa sadaka moja Kati ya sadak 7 HV zilizokuwepo ambazo ndizo za kila siku .mf ahadi na collect ,10 % ,shukrani za wiki ,shukrani za pekee ,sadak za Siri , malimbuko na zaka na sadak pia za jengo . baadae mchungji akatangaza kuwa kama una sadaka yoyote ile iletwe mbele madhabauni iletwe watu kama kumi HV wakapeleka mm kumbuka nilitoa sadak moja tu siku hyo bas akawaombea wakatoa sadaka wakarud kuketi mm nilikuwa nimebakiw na Kama elf 22 mfukoni nikaonaa niuchune tu mnk ndizo hella nategemeaa kutumia Kulipia bill ya maji na kulipa umeme pia
Bas bhna nakumbuka nikiwa katkat ya ibada inaendelea simu ikaita nikaifinyia siku ipokeaa jamaa kapiga tena Tena sikupokea nikamtumia msg kuwa Niko kanisani bas na yey akatuma msg ya kuomba nimsadie elf tatu hapo anashida sijamjibu ..nikamaliza ibada nikatoka zangu nikarud home jamaa ilivyofika saa sab akapiga Tena kuomba nimchekie elf tatu nikamjibu kuwa Sina kitu.ikafika jioni nikaenda kutazama game ya yanga na Costal .nikanunua soda pale kucheki mfukoni sina kitu yaani inshort pesa nilipoteza zote na Sina naman nikajiuliza au kawasababu sikutoa sadaka nn nikatoa kidgo .au yule jama aliyeniomba nimtumie elfu tatu nikamnyima na mm kupoteza hela zote

In shortly sadaka zinafanya Kaz Kuna watu wamegundua Siri ktk sadaka hzi ambazo ss hatuzioni naamini ktk ibada ya sadaka

Ungempa Huyo Jamaa Yako Usingepoteza.

Maana Kumbuka Tayari ulishatoa Sadaka Kanisani kwa mungu wa Kanisa hilo..

Kama Tayari umeshatoa Jua Kwamba Ulinyemnyima Muujuza Wa Mungu mwenye vyote umekufundisha Jambo. Hao uliowapa Hawajawahi mpa Mungu hizo sadaka wanapeleka wanapopeleka
 
Watakuja members wanaomiliki makanisa then watacomment "Tafuta hela uache kulalamika"
Unafikiri Watapenda Hii mada. Hata wale wenye wanaisimamia miradi wanaonufaika Kimoja au kingine hawawezi kupenda maana Wanaona Kabisa hakuna Pesa Anayopewa Mungu wanakula Wao
 
Ni Kama Kuna ujumbe fulani Unataka kuufikisha lakini kwa andiko hili wengi watapoteza mwelekeo..!
Mungu Katika Biblia ameagiza 'Nitoleeni Fungu la Kumi sababu hiyo ni haki yangu, na akaongeza nijaribuni Kwa njia hiyo Muone kama sitawafungulia madirisha ya Mbinguni.!
Kuna sehemu ameagiza 'pandeni juu milimani mkalete miti mnijengee Kanisa...!
Yote hayo ili Jina Lake Litukuzwe.
Ukitafakari Hayo Utagundua Michango na Sadaka kwa Mungu siyo Hiari ni Lazima...!
Nafikiri shida yako mtoa Mada ni Baadhi wa wanaokusanya hiyo michango na Sadaka Hawatumii kwa Malengo Yaliyokusudiwa...!
Ushauri : Wewe Hapo Ulipo Ukiona Sadaka zako Zinapigwa ...Hama tu.
Kila atakakohamia atakuta hadithi ni hiyo hiyo....
Bora aanzishe kanisa lake naye apige hela.
Binafsi bado ninajifunza mambo mengi sana katika Islamic faith. Nimejifunza swala la mirathi kwa Waislamu liko very perfect, swala la ndoa kwa Waislamu liko vizuri sana, swala la zaka na sadaka katika imani ya Kiislamu liko vizuri sana, hakuna kushurutishana na kutishiana, ukiangalia kwenye misiba hawana utaratibu wa kubaguana kwamba huyu alikuwa hatoi au sijui hashiriki Ibada nk nk
Mimi ni Mkristo lakini ninaamini yapo mengi sana mazuri tunaweza kujifunza katika Uislam.
 
Mwenyewe hiki kiingereza changu sikielewi ...
Yaani hata cjui nimeamdika nini [emoji848][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23]
NB: Nimesomea shule ya kanisa na msikiti.

Au cjasoma. Au .......
Pole sana....shule za kanisa na msikiti ni majanga.
 
Ni sawa na Kusema ukijadili mambo ya Mungu unajitakia laana. Hizi ni Statement zilizopo sana Huko Kwenye mahubiri ili wazidi kukufunga Akili
Imani haishikwi kisiasa.
Benefits za kiimani katika utoaji anaefahamu ni mtoaji.
 
Back
Top Bottom