Makanisa Nchini Mjitafakari

Makanisa Nchini Mjitafakari

Alafu ukienda kutoa sadaka kanisani usichukulie kama umempa mchungaji we fanya kama umetoa kwa MUNGU ndio itakapo hesabika, wacha laana na adhabu ya MUNGU juu ya sadaka kutumiwa vibaya itawatafuina
Nichukulie hivi hapo Nitakuwa natumia Akili kweli. Yaani Nichukulie tu. Hiki ndicho kitu kinasemwa sana Na Wachungaji ili wawachote vizuri akili

[emoji835]Mungu hana Mikono kama Ulivyo wewe
[emoji835]Mungu hataki kitu kama Wewe unavyotaka taka Vitu
[emoji835]Mungu hataki chochote kile kutoka kwako.

Jiulize tu wewe hiyo mia 2 mpka Ma laki unayotoa Yanamuongozea nini Mungu kwa Mfano. Ila Hawa Miungu Mnaowapelekea huko kanisani ndio Yanachukia Usipoyapelekea Kitu na Yanachukia Pale unapokiwa hutoi Kitu maana Yanajua Kabisa kwamba Hizo sadaka haziendi kwa Mungu
 
Nichukulie hivi hapo Nitakuwa natumia Akili kweli. Yaani Nichukulie tu. Hiki ndicho kitu kinasemwa sana Na Wachungaji ili wawachote vizuri akili

[emoji835]Mungu hana Mikono kama Ulivyo wewe
[emoji835]Mungu hataki kitu kama Wewe unavyotaka taka Vitu
[emoji835]Mungu hataki chochote kile kutoka kwako.

Jiulize tu wewe hiyo mia 2 mpka Ma laki unayotoa Yanamuongozea nini Mungu kwa Mfano. Ila Hawa Miungu Mnaowapelekea huko kanisani ndio Yanachukia Usipoyapelekea Kitu na Yanachukia Pale unapokiwa hutoi Kitu maana Yanajua Kabisa kwamba Hizo sadaka haziendi kwa Mungu
Poa poa tutajua ukweli ukifa
 
Sasa Hivi Wasomi wanazidi kuwa Wengi wajinga Wanapungua Kwa Kasi na Serikali ndio hiyo Inazidi kujenga Madarasa hata Kama Haijui Itawapeleka wapi hao wasomi inaowajengea madarasa

Waumini wenu wanaokuja Makanisani (wale wenye Akili Timamu) Wanaona Jinsi gani Mnavyoyaendesha Makanisa Bila Wao Kufaidia Directly na hizo pesa Mnazosema Mnampelekea Mungu wakati ukweli ni Kwamba Hazifiki kwa Mungu bali mnazipigia Bajeti zenu za Kujinufaisha Au Kutengeneza Future Za Maisha Na Makanisa Yenu na Kuanzisha Miradi ambayo haimnufaishi Muumini Directly

Hakuna Siri kwamba Makanisa Hapa Nchini yamekuwa yakikusanya Michango.. Sadaka.. Shukrani..Harambee...Bahasha...Michango ya Redio...n.k Milioni na Bilioni kwa Mwaka Zinakusanywa Katika Makanisa. ila Msaada kwa Waumini kama Waumini husika haiendi Directly Kitu ambacho Kinasababisha hata Watu kuona Wanachotwa Mifukoni kwa Kisingizio cha Watabarikiwa au Wanamtolea Mungu

Mfano 1: Leo hii Muumini Apate Ugonjwa au Kuzeeka Asijiweze. Kanisa Linakaa Pembeni waumini ndio wachange Tena Pesa katika Jumuiya zao Na Pengine Asipoudhuria Misa au Jumuiya ingawa Ni Muumini Aliyekuwa Anachangia Anapotezewa kama Vile ni Mpagani tu

Katika Vikundi mbalimbali hapa Nchini Watu wanachanga Pesa Na wanauliza Zitawanufaisha Vipi wao kama Wao either wakiwa Wameugua Au Wakiwa Na Sherehe au Kifo. Kitu Ambacho waumini Ambao wamepumbazwa Wanashindwa Kuulizia Sadaka na Michango yao Kanisani itawasaidia nini Katika maisha Mmoja Mmoja.

Wameambiwa Sadaka Ni Za Mungu wakati Wakishazitoa Wanaona Majengo, viwanja, Mashule na Mahospitali yanajengwa bila Wao kuwapewa hata Asilimia moja Ya Mapato kutoka Katika Vyanzo hivyo.

Na Wakijaribu Kupeleka Watoto au Wao wenyewe wanakutana Na Bei ambayo hata Asiyemuumini Anatozwa hiyo hiyo Pesa haijalishi.

Fungukeni Macho Mnapigwa kwa Kivuli cha Mnamtolea Mungu. Hii Siri Baada ya Wengine Kuijua Wameamua na Wao kufungua makanisa kwa Kasi na Wanaendelea Kupiga Pesa maana Waumini akili timamu Hazipo Zimeshafubazwa kwa Kuambiwa Mungu ndie Anayetolewa

Wakati Huyo Mungu kwanza Haitaji kitu chochote kile Kutoka Kwako maana Hana Mapungufu kama Wewe ulivyo. Yeye kakamilika Haitaji sadaka wala Dhabihu wala Kitu Chochote kutoka Kwako maana Huwezi Mlipa Chochote.

Umekuwa Muumini Wa Muda Mrefu mpaka Unazeeka Hapo. Kanisa Lako halina hata Account ya Kusaidia Waumini wake wanapopatwa na Matatizo. Hivi hamuoni Mmechanganyikiwa na Mnaendeshwa Kunufaisha Watu. Kazi yako ni Kupeleka Fungu la Kumi kanisani ambalo wenye Nalo wanaenda Kuweka Mabati kwenye Miradi ya Kanisa

Jisaidieni Nyie kwa Nyie. Pelekeni Fungu la Kumi mnalotoa huko Kanisani kwa Watu wenye Mahitaji maana Mungu ndio kawaumba Hivyo ,msaidianeni Nyie kwa Nyie si kumpelekea Binadamu mwenzako Pesa Halafu Yeye anakuhadaa eti Unampa Mungu.

Chukueni Pesa zenu Pelekeni wagonjwa..Pelekeeni Watoto Yatima Wanautunzwa Na Watu..wasaidieni wazee walio majumbani Hawana Uwezo wa Kujipatia Vyakula Wakat kanisa lako hilo Likisubiri Afe ili Lije Limpe Upako Tu na Kumzika na likimkuta Haudhulii Misa Linamuacha

Mtu anapata Ajali ya Gari tena Unakuta ni Mahala pa Kijijini anaokolewa na Mwanakijiji hapo anamuwahisha Hospitali anapatiwa matibabu. Halafu kwa Sababu Akili timamu hana anachukua Pesa anaenda Kutoa Shukurani kwa Mchungaji au anapeleka Sadaka Ya Shukurani kanisani. Aliyemuokoa Kule Kijijini na Hospitali waliomtibu hawakumbuki

Hivi wewe unategemea utabarikiwa wewe. Au ndio mabalaa ya Maisha Yatakuandama. Yaani Yule Mwanakijiji aliyekutoa Kwenye Gari na Kukuokoa Hana Maana Na Sometimes alikuwa anajipitia Tu ..kwanini Usiende Kumpa Yule na Hao wa Hospitali waliokusaidia Ukapona Wangekuacha Je Huyo mungu wa Huko Kanisani na Kwa Mchungaji wako angekuja Kukupeleka hospitali. Tujitambue Wana Ndugu tumepotoshwa sana na Tumepotoka Kweli kweli

Tutumie Akili Timamu na Tumwabudu Mungu asiyetaka Vitu bali Aliyeumba Vitu vyote bila Yeye Kukutaka Kitu Chochote kile kutoka Kwako. Huyo ndio Mungu wa Kweli hana Mapungufu ya Kutaka Taka Vitu. Si Kama ukimnyima Anakuchukia na Kukupa Mabalaa hapa Duniani hakuna Mungu wa Hivyo


Asanteni
Watakuja kukupinga maana walishajazwa upumbavu ,,,ila ukweli utabaki ulivyo sadaka ya kweli ni kusaidia yatima ,,wagonjwa na wajane,,pamoja na kujilinda na mabaya ya dunia,,,

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Sasa Hivi Wasomi wanazidi kuwa Wengi wajinga Wanapungua Kwa Kasi na Serikali ndio hiyo Inazidi kujenga Madarasa hata Kama Haijui Itawapeleka wapi hao wasomi inaowajengea madarasa

Waumini wenu wanaokuja Makanisani (wale wenye Akili Timamu) Wanaona Jinsi gani Mnavyoyaendesha Makanisa Bila Wao Kufaidia Directly na hizo pesa Mnazosema Mnampelekea Mungu wakati ukweli ni Kwamba Hazifiki kwa Mungu bali mnazipigia Bajeti zenu za Kujinufaisha Au Kutengeneza Future Za Maisha Na Makanisa Yenu na Kuanzisha Miradi ambayo haimnufaishi Muumini Directly

Hakuna Siri kwamba Makanisa Hapa Nchini yamekuwa yakikusanya Michango.. Sadaka.. Shukrani..Harambee...Bahasha...Michango ya Redio...n.k Milioni na Bilioni kwa Mwaka Zinakusanywa Katika Makanisa. ila Msaada kwa Waumini kama Waumini husika haiendi Directly Kitu ambacho Kinasababisha hata Watu kuona Wanachotwa Mifukoni kwa Kisingizio cha Watabarikiwa au Wanamtolea Mungu

Mfano 1: Leo hii Muumini Apate Ugonjwa au Kuzeeka Asijiweze. Kanisa Linakaa Pembeni waumini ndio wachange Tena Pesa katika Jumuiya zao Na Pengine Asipoudhuria Misa au Jumuiya ingawa Ni Muumini Aliyekuwa Anachangia Anapotezewa kama Vile ni Mpagani tu

Katika Vikundi mbalimbali hapa Nchini Watu wanachanga Pesa Na wanauliza Zitawanufaisha Vipi wao kama Wao either wakiwa Wameugua Au Wakiwa Na Sherehe au Kifo. Kitu Ambacho waumini Ambao wamepumbazwa Wanashindwa Kuulizia Sadaka na Michango yao Kanisani itawasaidia nini Katika maisha Mmoja Mmoja.

Wameambiwa Sadaka Ni Za Mungu wakati Wakishazitoa Wanaona Majengo, viwanja, Mashule na Mahospitali yanajengwa bila Wao kuwapewa hata Asilimia moja Ya Mapato kutoka Katika Vyanzo hivyo.

Na Wakijaribu Kupeleka Watoto au Wao wenyewe wanakutana Na Bei ambayo hata Asiyemuumini Anatozwa hiyo hiyo Pesa haijalishi.

Fungukeni Macho Mnapigwa kwa Kivuli cha Mnamtolea Mungu. Hii Siri Baada ya Wengine Kuijua Wameamua na Wao kufungua makanisa kwa Kasi na Wanaendelea Kupiga Pesa maana Waumini akili timamu Hazipo Zimeshafubazwa kwa Kuambiwa Mungu ndie Anayetolewa

Wakati Huyo Mungu kwanza Haitaji kitu chochote kile Kutoka Kwako maana Hana Mapungufu kama Wewe ulivyo. Yeye kakamilika Haitaji sadaka wala Dhabihu wala Kitu Chochote kutoka Kwako maana Huwezi Mlipa Chochote.

Umekuwa Muumini Wa Muda Mrefu mpaka Unazeeka Hapo. Kanisa Lako halina hata Account ya Kusaidia Waumini wake wanapopatwa na Matatizo. Hivi hamuoni Mmechanganyikiwa na Mnaendeshwa Kunufaisha Watu. Kazi yako ni Kupeleka Fungu la Kumi kanisani ambalo wenye Nalo wanaenda Kuweka Mabati kwenye Miradi ya Kanisa

Jisaidieni Nyie kwa Nyie. Pelekeni Fungu la Kumi mnalotoa huko Kanisani kwa Watu wenye Mahitaji maana Mungu ndio kawaumba Hivyo ,msaidianeni Nyie kwa Nyie si kumpelekea Binadamu mwenzako Pesa Halafu Yeye anakuhadaa eti Unampa Mungu.

Chukueni Pesa zenu Pelekeni wagonjwa..Pelekeeni Watoto Yatima Wanautunzwa Na Watu..wasaidieni wazee walio majumbani Hawana Uwezo wa Kujipatia Vyakula Wakat kanisa lako hilo Likisubiri Afe ili Lije Limpe Upako Tu na Kumzika na likimkuta Haudhulii Misa Linamuacha

Mtu anapata Ajali ya Gari tena Unakuta ni Mahala pa Kijijini anaokolewa na Mwanakijiji hapo anamuwahisha Hospitali anapatiwa matibabu. Halafu kwa Sababu Akili timamu hana anachukua Pesa anaenda Kutoa Shukurani kwa Mchungaji au anapeleka Sadaka Ya Shukurani kanisani. Aliyemuokoa Kule Kijijini na Hospitali waliomtibu hawakumbuki

Hivi wewe unategemea utabarikiwa wewe. Au ndio mabalaa ya Maisha Yatakuandama. Yaani Yule Mwanakijiji aliyekutoa Kwenye Gari na Kukuokoa Hana Maana Na Sometimes alikuwa anajipitia Tu ..kwanini Usiende Kumpa Yule na Hao wa Hospitali waliokusaidia Ukapona Wangekuacha Je Huyo mungu wa Huko Kanisani na Kwa Mchungaji wako angekuja Kukupeleka hospitali. Tujitambue Wana Ndugu tumepotoshwa sana na Tumepotoka Kweli kweli

Tutumie Akili Timamu na Tumwabudu Mungu asiyetaka Vitu bali Aliyeumba Vitu vyote bila Yeye Kukutaka Kitu Chochote kile kutoka Kwako. Huyo ndio Mungu wa Kweli hana Mapungufu ya Kutaka Taka Vitu. Si Kama ukimnyima Anakuchukia na Kukupa Mabalaa hapa Duniani hakuna Mungu wa Hivyo


Asanteni
Huu Uzi unahisu kutokutoa sadaka?, kama ndio.... sema... niendelee kusoma, hata Mimi sipendelei utitiri wa sadaka
 
Ni kuyafuta kama alivyofanya kagame, maana hakuna njia nyigine. Wanawake ndiyo wahanga wakubwa sijui wanatafuta nini kwa manabii uchwara!
 
Ni Kama Kuna ujumbe fulani Unataka kuufikisha lakini kwa andiko hili wengi watapoteza mwelekeo..! .

Wajue Ukweli

Mungu Katika Biblia ameagiza 'Nitoleeni Fungu la Kumi sababu hiyo ni haki yangu, na akaongeza nijaribuni Kwa njia hiyo Muone kama sitawafungulia madirisha ya Mbinguni.!

Mungu huyo umemjua anataka Fungu la Kumi baada ya Biblia Kuja. Kabla ya Hapo je Ulikuwa Huishi au Hao mababu zako waliokuzaa mpka leo Hii unajua Hiyo Biblia walikuwa Wanamtolea Nini?

Kuna sehemu ameagiza 'pandeni juu milimani mkalete miti mnijengee Kanisa...!
Yote hayo ili Jina Lake Litukuzwe..

Mungu haitaji Hayo Yote Mnajidanganya sana. Sasa Watu wakikataa Kujenga Atafanyaje..!!. Au ndio anashusha Moto kutoka Mbinguni kuwaunguza. Mungu hana Mahali pa Kukaa Hayo ni Mawazo ya Kumuumba Mungu katika Mawazo yenu ili mmfananishe na Binadamu. Kwahiyo Mungu akikaa Katika Kanisa Lako hilo Je Huko Kwingine kwenye Makanisa anakuwa amekaa Nani ?

Mmemfanya Mungu Binadamu. Mara Mungu anasikia..mara anakaa..mara anaongea.. mara ananena kwa Lugha.. mara Anatembea tembea... Mara Mkono wake ni Mkubwa.. Mara mmeuona Mkono wa Bwana haya ni Mawazo ya Kumtengeneza Mungu ambaye Hammjui



Ukitafakari Hayo Utagundua Michango na Sadaka kwa Mungu siyo Hiari ni Lazima...!
Nafikiri shida yako mtoa Mada ni Baadhi wa wanaokusanya hiyo michango na Sadaka Hawatumii kwa Malengo Yaliyokusudiwa...!
Ushauri : Wewe Hapo Ulipo Ukiona Sadaka zako Zinapigwa ...Hama tu.


Sadaka Toeni kwa Binadamu nyie kwa Nyie Mungu haitaji Chochote kutoka Kwako huna Kitu cha Kumuonga Mungu akubariki. Maana Mungu alipokuumba alikupa Akili uitumie Mwenyewe kujitafutia Baraka Za Maisha. Kwa Mungu tunaomba Majala tu.

Hivyo Vingine hata Binadamu wasiomjua Huyo Mungu wako wanavyo na Wala Hawatikisikia wala Kutoa sadaka zako unazosema Ni Lazima. Kama Unapeleka Sadaka Kwa Mtu ili akuombee inajidanganya na Mtaendelea kuharibikiwa kila Siku na hata Nafuu hamtaiona
 
Ukisoma nyuzi za aina hii ndio hasa utaijua akili ya mwafrika ilivyo. No wonder ilikua rahisi sana kwa wazungu kututawala na kutufanya watumwa. Na hata leo wazungu wakitaka kurudi kutu colonize tena tutawapokea kwa mikono miwili. Waafrika mpaka tuje tujitambue ni miaka 1000 ijayo..!
 
Huu Uzi unahisu kutokutoa sadaka?, kama ndio.... sema... niendelee kusoma, hata Mimi sipendelei utitiri wa sadaka
Unahusu Njia Nzuri ya Kusaidiana Hapa Duniani kama Binadamu wenye Akili Timamu
 
Ukifa Huwezi jua Ukweli.

Unakuwa Mfu na Kwenye Biblia si wameandika Wafu hawaongei wala Wasikii jambo Lolote kwahiyo huwezi Jua Ukweli ukifa. Utajua Ukweli ukiwa Hapa unaona na Kusikia
Asikudanganye mtu ukifa ndio unakuwa kwenye real life hapo utateseka kwa matendo yako mwenyewe
 
Asikudanganye mtu ukifa ndio unakuwa kwenye real life hapo utateseka kwa matendo yako mwenyewe
Ushawahi simuliwa Hayo na Mtu aliyewahi kufa???

Kuna Watu wanakufa na Wanaenda Kuwa Misukule huko wakitumikishwa na Kutolewa ndimi zao . Hayo ndio Real Life unayoyasema. Au huyo Mtu akija ndio utamwambia Hivyo kwamba Alikuwa kwenye Real Life
 
Ushawahi simuliwa Hayo na Mtu aliyewahi kufa???

Kuna Watu wanakufa na Wanaenda Kuwa Misukule huko wakitumikishwa na Kutolewa ndimi zao . Hayo ndio Real Life unayoyasema. Au huyo Mtu akija ndio utamwambia Hivyo kwamba Alikuwa kwenye Real Life
hahahah Naona umeninukuu vibaya kmuu sikumaanisha hivyo
siongelei misukule bali watu waliokufa baada ya muda wao waliopangiwa na MUNGU kuisha
 
Wala huandikiwi dhambi kwa kutotoa sadaka ila unajikosesha baraka zako mwenyewe
Daaah Binadamu Mtakatifu Unajikosesha Baraka kwa Kutokutoa Sadaka kwa Hao Wa Kanisani!?

Mungu amekuuumba Kwamba usipompa Anakunyima Baraka! Yaani Mungu amekuumba Amekupa Uwezo wa kutengeza Pesa ila Ukimnyima hizo Pesa Anakunyima Baraka

Ungejiuliza kwanza Hata Washenzi..Wezi..Majambazi..malaya..Mafisadi.. Wachoyo wamepewa Baraka za Kuishi vizuri hapa Duniani kuliko wale ambao Hawafanyi madhambi hayo

Mungu amekuwekea Akili Hapo Ulipo baraka zako utazipata Ukitumia akili zako vizuri kutafuta Vitu. Hao wanaoiba ..wanafanya ufisadi .. wanaofanya uzinzi.. wote wanamtegemea Mungu ila Wanachokosa ni Kumtii Mungu basi
 
Pia hivyohivyo ila kwenye zaka ni laana zinakufuata na unazikosa baraka
Ngoja Nikuambie Kitu kimoja Ndugu yangu. Ulishajiuliza kwanini Kuna Mirundikano ya Michango ila Ina Badilika Majina Tu. Leo Sadaka.. Kesho Zaka. Kesho kutwa Harambee..Mwakani hiki na hiki n.k Ni njia ya Kukupumbaza Ili uone Mungu ndio anataka Kumbe Sivyo

Mungu hakuchukii usipotoa sadaka wala Zaka. Mungu hachukii Mtu Yeyote yule ni Wewe na Akili yako Keshakuumba . Hana Haja ya Kuhitaji Chochote kile angehitaji hayo Asingekuwa Mkamilifu Huyo Mungu maana Anahitaji vitu kutoka Kwako ili Akamilike.
 
Back
Top Bottom