KERO Makanisa ya kilokole ni hatari, yanasambaratisha familia

KERO Makanisa ya kilokole ni hatari, yanasambaratisha familia

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ndugu kunakanisa mojq temboni kwenda mbezi aisee inaumiza sijui wanafikiria nn unashangaa anamsimamisha mtoto anamwambja we n mchawi ??
uko level ganj local ama International?? unafanya majukumu gan??
Nani amekuinghzq bibi yake baba..aisee
umekuja nanani??
Nakuona kuna mtu unataka kummaliza hapo nyumban ndoo baba nimempa paralyse dah aisè

Anasimamishwa mzazi anaenda mbele
Anaambiwa mumeoo yuko wapi nyumban

Huyu mtoto umesikia anataka kummalzia babake ..umesikia anavyosema Aliemuingjza n mamake mumeo leo namtoa chama cha kichawi

Aisee...

Nawaza hivi ule mume akisikia mamake katangazwa mchawi angejisikiaje wapendwa
hao sio wachungaji ni wachumia tumbo, mchungaji ni mbeba siri, za Mungu nje ya hapo ni uchonganishi
 
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.

Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.

Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.

Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.

Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.

Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.

Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.

MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Familia zina mambo meng, isijekuwa wake ndo wanatanguliza waume zao kwa lazima.
 
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.

Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.

Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.

Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.

Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.

Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.

Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.

MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.

Mbona naona kama mume ndiyo aliyeuq ndoa kqq kumlazimisha mume waende kwa wapiga lamla.kitu ambacho ukienda kwa mganga wa kiwnyeji huwa hakuachi hivi hivi lazima akurushie kitu
 
Wakatoriki waabudu mizimu na Ushirikina hili umelithibitisha katika andiko hili. Yaani ndio maana huwa nasema Yesu WA wakatoriki bado Yuko msalabani huwa anazaliwa Christmas anakufa pasaka anafufukakaga siku ya tatu pasaka Kisha anakufa Tena yaani anarudia hiyo cycle hapo juu. Inakuwaje anashindwa KUVUNJA LAANA ya kifo mpaka asaidiwe na mizimu?. NENO la Mungu linasema Nini kuhusiana na mazoea ya kuwasiliana na roho WAOVU 18:10Hesabu
 
Ndugu kunakanisa mojq temboni kwenda mbezi aisee inaumiza sijui wanafikiria nn unashangaa anamsimamisha mtoto anamwambja we n mchawi ??
uko level ganj local ama International?? unafanya majukumu gan??
Nani amekuinghzq bibi yake baba..aisee
umekuja nanani??
Nakuona kuna mtu unataka kummaliza hapo nyumban ndoo baba nimempa paralyse dah aisè

Anasimamishwa mzazi anaenda mbele
Anaambiwa mumeoo yuko wapi nyumban

Huyu mtoto umesikia anataka kummalzia babake ..umesikia anavyosema Aliemuingjza n mamake mumeo leo namtoa chama cha kichawi

Aisee...

Nawaza hivi ule mume akisikia mamake katangazwa mchawi angejisikiaje wapendwa
Kama ambavyo watu Huwa wanasema humu kuwa wajinga ndio waliwao wanaaminije ishu kama hizo za kutengeneza?
 
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.

Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.

Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.

Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.

Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.

Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.

Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.

MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Kwa Hiyo wewe unaona ilikua sawa Kwa Matoriki Tena mwenyekiti wa jumuiya kwenda Kwa Mganga wa Kienyeji...!?

Sasa huko Kanisani wanaenda kufanya Nini..!?
Na hapo unamlaumu mlokole.
 
Kwenye hii stori Yako...! Hebu fanya uyatoe hayo Makanisa yote! Wala sioni yanaingiaje hapo.

Tatizo hapo ni imani potofu ya mume kuwa Vifo vya Wale Waume eti ni kwa sababu ukoo wa mke una Mkosi.!

Kosa La pili, kuamini mganga ndio atakuwa suluhisho au kufanya mambo Ya Kimila.

Hivyo, iwapo ndoa hii imesambaratika basi Tatizo ni hicho Kidume.Kwa kuwa Makanisa yote hayo hayasapoti usangoma ama mambo Ya Kimila.
 
Nimeshuhudia a noble family ikipiteza mwelekeo na mpasuko mwishowe aibu..kisa Ulokole....
Ulokole ukiingia nyumbani kwenu ni mwanzo wa vurugu.
 
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.

Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.

Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.

Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.

Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.

Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.

Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.

MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Naungana na walokole wote wanaofaidika kupitia uwepo wa wajinga wajinga kwenye haya makanisa ya kilokole.
 
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.

Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.

Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.

Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.

Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.

Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.

Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.

MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Watu wamekufa kwenye matukio ambayo sio wao wa kwanza kufa halafu unataka ukaangalie kwa nani eti? Yaani ujinga wako huu ndio unataka utumie kutukana imani za ndugu zako aisee🤣🤣🤣🤣🤣

Hapa wewe ndio mume mwenyewe na tunashukuru kwa kufahamu jinsi akili yako ilivyojaa giza na matope.
 
Ukitaka kujua hiyo issue km ni curse - laana anza Ku-trace family background .


It is true kuna familia ukioa unafilisika ,unakufa n.k

Mimi sio muumini wa imani potovu Ila naamini katika kufatilia kiini cha tatizo.

Kwenda kwa sangoma haifai Ila kufanya utamaduni kuvunja curse inafaa.


Mke yupo sahihi 90% na mume 60% yupo sahihi.
 
Mleta mada, sijaona hatari ya kanisa hapo, Kwa mganga anaezika watu wamekaa?enewei, Ndani ya familia kuna siri watengeneze maisha yaendelee.
 
Sasa hapo iliyosambaratisha ndoa ni kanisa la kilokole au huyo mwanaume azonto anayeamini ushirikina?hajui life span ya mwanamme na mwanamke ni tofauti?
 
Back
Top Bottom