Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Ngoja niangalie mod kama wapo wachache active nakuja chapsshhhh!!
usiseme kwa sauti
njoo PM kimyakimya
ipo tayari inakusubiri wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niangalie mod kama wapo wachache active nakuja chapsshhhh!!
usiseme kwa sauti
njoo PM kimyakimya
ipo tayari inakusubiri wewe
Kuna fala anaumwa hospital pale Rabinisia,muhimbili,vipimo vyote hana tatizo, mkewe kaenda kwa mganga kigoma kaambiwa mumewe karogwa kzini amlete haraka amtibie,akipona atamlipa, jamaa anjifanya ye mlokore aendi kwa mganga, makanisa ya maombezi kaenda haijasaidia.Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Mleta mada, sina hakika na hii story. Kwamba kwa mganga ndipo pa uhakika wa utatuzi wa ushirikina na mikosi. Pili, sioni sababu ya kutaja dhehebu la awali la hiyo familia, kama sio chuki binafsi na hilo Kanisa.Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Hapana hapa tatizo sio kanisa la kilokole bali ni hisia na tuhuma za mikosi ya Wanaume kufa kwenye ukoo wa mwanamkeHabari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Nadhan serikali iingilie kati, watu wanaumizwa sana aiseeMAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
sshhhh!!
usiseme kwa sauti
njoo PM kimyakimya
ipo tayari inakusubiri wewe
Kwa nini haujui kueleza jambo?Unatakiwa urudie darasa la pili.Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Yaan hata mimi nimeshangaa sana ulokole unaingiaje hapa???Mke kukataa kwenda kwa sangoma haitoshelezi kuhitimisha kuwa makanisa ya kilokole ni hatari.
Kilichosambaratisha hiyo ndoa ni imani potofu ya huyo mume mshirikina
Wife alijitoa ufaham akaenda kusali kwa walokole, huku akijua background yangu me sina time na hizi habari za makanisa wala misikiti, bwana wee msela nkawaza kichizi jioni ya jumapili hiyo kuna mwana mmoja mfia dini kanitumia text nanukuu "Mr..., hongera sana Mungu ameingia ktk familia yako"Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Huyu anataka kutuaminisha kuwa siku hizi kanisa katoliki linaruhusu matunguliMkatoriki safi na kiongozi wa jumuiya anataka kwenda kwa sangoma kucheki rada, halafu anamshangaa mkewe kua mlokole.
Bora mke kuliko huyo mume kilaza
Ukitaka mke bora oa beki 3, utainjoi ndoa hadi uwashangae wanaolalama kwenye ndoano zao.Habari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.
Mimi nimeokaka na nampenda Yesu kwa maana ni mkombozi wa maisha yangu . Kuhusu hii ndoa mwanamke yupo sahihi kwa nini huyu mwanaume anamshauri kwenda kwa waganga wa kienyeji hata angelikuwa mimi ndoa ingelivunjija bora nibaki na Yesu wangu kuliko kwenda kwa mganga wa kienyejiHabari Wana JF?. Hii ni true story kabisa. Kuna familia ya jirani yangu imesambaratika sababu ya MAKANISA ya KILOKOLE japo kisa kilianzia mbali sana. Mume mtu alikuwa anamtuhumu mkewe kuwa kwenye ukoo wao kuna mkosi WA wanawake kufiwa na waume zao.
Katika familia ya huyo mke mtu, kuna wanawake sita na wanne kati Yao walishafiwa na waume zao kasoro huyo mke mtu ninayemzungumzia na mdogo wake WA mwisho tu, ila dada zao wote waume zao walishafariki Kwa sababu mbalimbali wengine Ajali, magonjwa nk.
Sasa mume mtu alipoona Hilo swala akaingia na wasiwasi akamuuliza mkewe mbona kwenu kuna kasumba ya wanawake kufiwa na waume zao isije ikawa Mimi ndo nafwata coz ikumbukwe katika familia ya mke mtu walikuwa wamebaki wawili tu ambao sio wajane.
Mume mtu akamuomba mkewe waende Kwa mganga au wakafanye Mila kijijini Ili kama kuna mkosi kwenye familia Yao wamtafute suluhisho.
Lakini mke mtu sababu ni mlokole na amshika dini kupita maelezo, akakataa katakata kutafuta suluhisho la tatizo Hilo Kwa waganga au kufanya Mila. Kwanza akamwambia mumewe kuwa yeye anaamini kwao hakuna mikosi yoyoye na hata hao dada zake wajane , waume zao walikufa vifo vya kawaida kama wanadamu wengine tu.
Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu, na akaona mkewe kama anachukulia poa suala la kifo sabubu tu kashika dini kupita kiasi.
Isitoshe mke alishahama kanisa katoliki walilokuwa wanasali, na kahamisha watoto wote kwenda hilo kanisa la KILOKOLE japo watoto ni wakatoliki pia, walibatizwa, walipata komunio na kipaimara. Jambo hili lilimkasirisha sana mume mtu baye ni mkatoliki mzuri na kiongozi kwenye jumuiya.
Hivi sasa ninavyozungumza ndoa hiyo imekufa.
MAKANISA ya KILOKOLE ni HATARI sana hasa Kwa akina mama na watu ambao hawana elimu ya kutosha kuchanganua mambo Kwa jicho la tatu.