Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Daa wale wadada, nimewaogopa Sana wanawakeNimejiuliza tu, baada ya haya Halima Mdee anajionaje? Anajisikiaje?
Baada ya mateso yote na safari ngumu alopitia katika kukuza jina na career yake mwishowe akakubali kuishia vile?
Pitia Kinondoni B njoo uchukue vinywaji hapa Swahiba Hotel .Nakuja fasta, natokea Biafra
Usaliti ni laana
Kwani wamefanyaje tena?
Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake , Kinondoni mtaa wa ufipa , bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi .
Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba .
Jionee mwenyewe
View attachment 2138527View attachment 2138528
We utakuwa ni kati a ndugu zake Halima na Esta.Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Sasa unalia nini ?Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Wakodishie taarab YakoOfisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Nan hao..Serikal, ccm au chadema?Wanakwenda kwa Zitto ndio size yao!
Maruhani19!Nan hao..Serikal, ccm au chadema?
Ukifika nisanueNakuja fasta, natokea Biafra
njaa mbayaBaada ya mateso yote na safari ngumu alopitia katika kukuza jina na career yake mwishowe akakubali kuishia vile?
Nimemsikitikia sana Halima.