Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
 
ugaidi wa laki 6[emoji3061]
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
sababu za kesi kufutwa unazijua?, na wakati gani kesi ikifutwa inaweza kurudishwa mahakamani?
au ndio story za kwenye vijiwe vya kahawa?
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
kasome CPA S.91, 98
 
Ni mwaka tu aisee muda bado wacha waingie wengine wale japo miaka mitath ijayo hao nao wasugue bench kwanza halima na wenzie hawana shukrani Wala utu.
Kiukwel hawajaonyesha utu.Halimaa amenishangaza sana.Kwel kumjua mtu ni kaz sana
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake , Kinondoni mtaa wa ufipa , bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi .

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba .

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527View attachment 2138528
Hatimae Haki Imeshinda.
 
sababu za kesi kufutwa unazijua?, na wakati gani kesi ikifutwa inaweza kurudishwa mahakamani?
au ndio story za kwenye vijiwe vya kahawa?
Kesi ya Jinai haiozi hata baada ya miaka 20 inawezekana akaja DDP mwengine akaifufua kesi na ikaanza upya.
jambo la msingi hapa ni Mbowe kubadilika na kuachana na vitendo vya kihalifu.
 
Kesi ya Jinai haiozi hata baada ya miaka 20 inawezekana akaja DDP mwengine akaifufua kesi na ikaanza upya.
jambo la msingi hapa ni Mbowe kubadilika na kuachana na vitendo vya kihalifu.
mzee msingi wa kufuta kesi ni nini? twende kisheria mzee, kukosekana kwa ushahidi ama? kasome CPA S.91 NA S.98 bwege wewe
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake , Kinondoni mtaa wa ufipa , bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi .

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba .

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527View attachment 2138528
Ni siku ya ushindi kwa wapenda haki.
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake , Kinondoni mtaa wa ufipa , bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi .

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba .

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527View attachment 2138528
|Wavae barakoa asee
 
Ofisi mbona hamuonyeshi hiyo kama banda kama la kufuga kuku

Mumekula hela za wafadhili wa Ndani na nje ofisi hamjengi

BBC ,nk mkichukua picha chukueni na picha ya hiyo ofisi ulimwengu uone pesa zao zilivyoliwa
Futa machozi
 
Usaliti ni laana
Bahati mbaya Sasa, mwajiri wao nae amesha wakimbia, huku akiwauzia mbuzi kwenye gunia, kuja gutuka wameuziwa wow wow🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️⛹️
 
Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Achana na ofisi kuwa vichochoroni,porini au ziwani...sisi tunajua kamanda yupo huru, njoo upate hata banana mbili tatu...hapa kwa mtogole
 
Back
Top Bottom