Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Leo hatimae mtandika kitanda utaweka na maua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tujue wanawake ni viumbe hatari sana washenzi wale waliweka maslahi yao mbele na sidhani hata kama wakienda kumsalimu Mbowe alipokuwa jela wakati aliwapa sana fursa sawa kwenye chama.
Mpanda Katavi mtaa wa simba bia kama Sisimizi hureeee Kamanda wa AngaPitia Kinondoni B njoo uchukue vinywaji hapa Swahiba Hotel .
Wale sidhan kama watawachomoa.Wataacha tu wamalize moaka 2025.By the way hawana watalachokipata hata wakiwafukuza wakat waliwaacha miaka yote hii.Maruhani19!
Ni mwaka tu aisee muda bado wacha waingie wengine wale japo miaka mitath ijayo hao nao wasugue bench kwanza halima na wenzie hawana shukrani Wala utu.Wale sidhan kama watawachomoa.Wataacha tu wamalize moaka 2025.By the way hawana watalachokipata hata wakiwafukuza wakat waliwaacha miaka yote hii.
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Angalia hawaionyeshi pichana sio jengo lao wanapangaOfisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Vijana mliotanuliwa midhuti huwa hamkosi la kusema mmekaa wambea wambea sababu ya kuzoea shahawa kumwagiwa huko nyuma Sasa zinakutekenya usuguliwe.Ofisi mbona hamuonyeshi hiyo kama banda kama la kufuga kuku
Mumekula hela za wafadhili wa Ndani na nje ofisi hamjengi
BBC ,nk mkichukua picha chukueni na picha ya hiyo ofisi ulimwengu uone pesa zao zilivyoliwa
ugaidi wa laki 6🥴Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Adui yako hatari ni yule anaekujua vizuri.
Mnahangaika na ofisi Sasa si mlisema ni gaidi haya muiteni gaidi Sasa mbona mmeogopa na zirro wenu???Angalia hawaionyeshi pichana sio jengo lao wanapanga
Laki sita zilizotumika kwa nauli, chakula na mavazi.ugaidi wa laki 6🥴
Kwani wanaishi humo humo?Sema nini makamanda, yale makao makuu bwana ni JAU kwakwel
Nimekutukana tusi jipya.Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Nyimba ya babako je?Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Acha kushobokea visivyokuhusu. Ndo tupo hapa saa hii.Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Chakula cha mchana na maji ndiyo mwisho wake. Mwamba amerudiBaada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake , Kinondoni mtaa wa ufipa , bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi .
Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba .
Jionee mwenyewe
View attachment 2138527View attachment 2138528
Karibu tuunge tela mzee.Nakuja fasta, natokea Biafra
Mwenda wa wazimu wewe!kafie mbaliPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.