Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

LEO KONYAGII ITANYWEKA SANA!NA MKEWE HANA KAZI LEO!
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.

Mwenye tabia kama zako ndio huweza kuona arakeye. Wewe ni lazima uwe na mtazamo huo kwa sababu unadhani kila mtu anawaza kama wewe!!

Kwa taarifa tu - Mbowe na wenzake sio wahalifu, magaidi nk. Ni mahakama ndio ilikuwa na uwezo wa kuwaita hivo kwa hukumu na haikupata nafasi hiyo. Hao wanabaki raia safi kama wewe. Unaijua dhania ya “innocent until proven guilty”?

Mtawafuata tena na wengine wengi kwa sababu haki sio kiongozi cha hulka na tabia za waoneaji!! Mnataka asishughulike na alichoanza nacho - ili iwe rahisi kwa ounevu wenu kushamiri. Ni ninyi ndio mtafanikiwa!!!
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
kwani nani anaogopa mahakama na magereza. Toa ujinga wewe MBOWE ni mzalendo namba 1 Tanzania na msimamo wake ni uleule
 
Baada ya mateso yote na safari ngumu alopitia katika kukuza jina na career yake mwishowe akakubali kuishia vile?

Nimemsikitikia sana Halima.
Halima huwa ananiuma kwenye roho yangu kama kidonda.. sikutegemea. Na mpaka leo moyo wangu unakataa kuamini
 
Nimejiuliza tu, baada ya haya Halima Mdee anajionaje?

Anajisikiaje?
Samahani mkuu 'Lusungo', baadhi yetu hatusomi vitu juu juu na kwenda zetu.

Huu mstari wako ulioweka hapa una maana gani? Fafanua kidogo tafadhari.
 
Halima huwa ananiuma kwenye roho yangu kama kidonda.. sikutegemea. Na mpaka leo moyo wangu unakataa kuamini
Sio peke yako, binafsi Halima, Zitto na Dr Slaa nilijitoleaga sana katika kuwapa taarifa nyeti zilizokuza umaarufu na career zao leo wakawa na price tag!! Hawa watu wananiuma sana ila ndo basi tena.
 
Samahani mkuu 'Lusungo', baadhi yetu hatusomi vitu juu juu na kwenda zetu.

Huu mstari wako ulioweka hapa una maana gani? Fafanua kidogo tafadhari.
Halima aliahidiwa Mbowe angefungwa na vikao vya baraza kuu visingefanyika.

Kilichopo ni kuwa Covid19 wanaliwa kichwa na chadema inapeleka wabunge wapya. Haya ni maagizo toka juu.
 
Nmepitwa! HALIMA MDEE na genge lake la Covid-19 wamefanyaje huko??
Inaelekea kuna habari za chini chini ambazo hazijawekwa bayana.

Labda tumwite mkuu Erythrocyte kidogo atupe mwanga juu ya hili. Hii itakuwa ni habari mpya, kama kweli ipo.
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake, Kinondoni mtaa wa Ufipa, bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi.

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba.

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527
Mungu,Mbariki Mama Samia,Rais msikivu,Rais mwenye upendo,Rais anayependa raia wake.Mungu mpe uzima,afya,umri mrefu,Rais wetu,kipenzi cha wengi.Ni msikivu kama jina Lake,Samia(kwa kwa lugha za mashariki ya kati,msikivu)
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Wakati kiongozi wa nchi akiona dhuluma juu ya Haki ni haramu, watu wajinga huona ni halali. Idiot!!
 
Jamhuri wajanja wamejua kuanzia leo ndio walikuwa wanaanza kuvukiwa nguo rasmi wakaona isiwe shida bora wamuache asepe, naamini katoka na wale watuhumiwa wenzake isije kuwa wao wamebaki kwasababu yoyote ile.
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Acha upumbavu, kama unafikiri kuwa kwa Mbowe kuwekwa mahabusu Ndiyo njia ya kumnyamazisha, utakuwa na uharo kichwani.

Ikiwa tu, amekataa kuomba msamaha mliomlazimisha Hadi mkaomba poo atawezaje kunyamaza.

Ndiyo kwanza mmemwongezea umaarufu, ama kweli kama ninyi ndio washauri wa ccm basi utafiti wa TWAWEZA utaendelea kuwa hai kwa muda mrefu.
 
Halima aliahidiwa Mbowe angefungwa na vikao vya baraza kuu visingefanyika.

Kilichopo ni kuwa Covid19 wanaliwa kichwa na chadema inapeleka wabunge wapya. Haya ni maagizo toka juu.
Ahsante mkuu, kwa taarifa.

Aaah, lakini tafadhali punguza spidi, unakwenda haraka mno kiasi kwamba akili inashindwa ku-process majibu yako haya.

"Maagizo toka juu. Chadema inapeleka wabunge wapya"?

Inamaana CHADEMA sasa wameukubali "UCHAFUZI" uliofanywa na Magufuli 2020? Mbona hii itakuwa kama movie ya kihindi?

Nitastaajabu sana kama haya uliyoandika hapa ndiyo yatakayotokea.
 
Ahsante mkuu, kwa taarifa.

Aaah, lakini tafadhali punguza spidi, unakwenda haraka mno kiasi kwamba akili inashindwa ku-process majibu yako haya.

"Maagizo toka juu. Chadema inapeleka wabunge wapya"?

Inamaana CHADEMA sasa wameukubali "UCHAFUZI" uliofanywa na Magufuli 2020? Mbona hii itakuwa kama movie ya kihindi?
Hawajakubali uchafuzi, maza ametaka reconciliation. Hakuna namna zaidi ya chama kujipanga kwaajili ya 2025.
 
Hawajakubali uchafuzi, maza ametaka reconciliation. Hakuna namna zaidi ya chama kujipanga kwaajili ya 2025.
CHADEMA ni lazima wawe waangalifu sana toka hapa kwenda mbele wasije wakaashia kuwa kama NCCR, CUF na kile cha Mrema.

Sisemi wakatae 'reconciliation', lakini ni lazima wawe waangalifu sana wakati huu. Kupeleka wabunge kwenye bunge batili si busara hata mara moja. Na kukataa hilo sio kukataa 'reconciliation', tafadhari nielewe hivyo.
 
CHADEMA ni lazima wawe waangalifu sana toka hapa kwenda mbele wasije wakaashia kuwa kama NCCR, CUF na kile cha Mrema.

Sisemi wakatae 'reconciliation', lakini ni lazima wawe waangalifu sana wakati huu. Kupeleka wabunge kwenye bunge batili si busara hata mara moja. Na kukataa hilo sio kukataa 'reconciliation', tafadhari nielewe hivyo.
Kwa bunge la sasa ni muhimu CHADEMA ikawa na sauti kwa niaba ya wananchi kuliko kususa tukawaacha wananchi wasiwe na sauti za kuwasemea.

Mpaka sasa utakua umepata picha ni madudu mangapi yamepita kwakua tu kuna sauti moja ya CCM bungeni.

To me naona tsa good move.
 
Back
Top Bottom