Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Kwa bunge la sasa ni muhimu CHADEMA ikawa na sauti kwa niaba ya wananchi kuliko kususa tukawaacha wananchi wasiwe na sauti za kuwasemea.

Mpaka sasa utakua umepata picha ni madudu mangapi yamepita kwakua tu kuna sauti moja ya CCM bungeni.

To me naona tsa good move.
Hili linajadilika. Nadhani mada mpya juu yake ni stahili.
 
Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Tatizo la baadhi ya watanzania kupenda kuwasifu wezi, ukiiba sana na kujenga, kununua magari na kutoa ofa baa utasifiwa na nyimbo utatungiwa. CCM ni chama ambacho kimetuibia sana mali za wananchi na baadhi yetu eti tunakisifu kwa utajiri!
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake, Kinondoni mtaa wa Ufipa, bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi.

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba.

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527
Usidanganye watu....

Hako kaeneo watu maelfu hawawezi kusimama......

Mbele ya hako kaofisi kuna eneo dogo sana

#Siempre JMT🙏
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
Peleka ushirikina wako LUMUMBA
 
Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Imekuumaeee pole

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ofisi mbona hamuonyeshi hiyo kama banda kama la kufuga kuku

Mumekula hela za wafadhili wa Ndani na nje ofisi hamjengi

BBC ,nk mkichukua picha chukueni na picha ya hiyo ofisi ulimwengu uone pesa zao zilivyoliwa
Nakuonea huruma yani,povu lote lile afu Mungu si wewe kamsaidia kaachiwa baada ya kugundua Kesi ya maagumashi.Kuna watu leo watapatwa na homa za ghafla kwa mawazo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kilichonisikitisha ni yule james mbowe kutoonyesha shukrani kwa mama, kwa kumtoa mbowe na wenzake.
 
Nakuonea huruma yani,povu lote lile afu Mungu si wewe kamsaidia kaachiwa baada ya kugundua Kesi ya maagumashi.Kuna watu leo watapatwa na home za ghafla kwa mawazo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Azingatie kitu kimoja ambacho Mufti shehe Zuberi alimwambia Mama Samia musamehe Mbowe ila mkanye ASIRUDIE TENA
 
Kilichonisikitisha ni yule james mbowe kutoonyesha shukrani kwa mama, kwa kumtoa mbowe na wenzake.

Ni mama au DPP?. Na unamshukuru mama kwa lipi wakati watu walikuwa wameandaa ushahidi wao?. Unamshukuru mtu aliyesema umekimbia kwa sababu ya ugaidi?.
 
Ndio maana niliwaanbia wafuasi wa Mbowe huu ni mtego hatari saana kwai Mbowe na hilo genge lake.
kesi imeondolewa haijahitimishwa na mahakama maana yake inaweza kurudishwa muda na wakati wowote.
Hivyo Mbowe na wenzake ni vyema wakabadilika na kuachana kabisa na mipango ya kihalifu, Endapo Mahakama ingemkuta hana hatia na kumuachia huru angekuwa amesafishika lkn sio kwenye hatua hii.
Jambo la msingi abadilike.....na awe mzalendo kwa Taifa lake.
We kiazi kwa ushahidi ule alikuwa anashinda mchana kweupeeeeee.Sasa wameona hawawezi subiri wachekwe wakati uwezo wa kujipunguzia aibu wanao.Wewe Kesi yenyewe mashahidi wamekremisha Hadi huruma.Kwani huwezi acha ukiazi wako upate akili.Sh laki sita kufadhili ugaidi hata chekechea angeshangaa maana Mbowe siyo maskini hivyo na makomandoo hawawezi fanya ujinga kwa laki sita labda wa lumumba.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa nilizonazo za ndani ya Chadema Lisu na Lema hawajafurahia walikuwa wakipiga pesa sana kwa Mbowe kuwa ndani wakichangisha michango na kuila wakijua hatoki

Sasa katoka Lema na Lisu mkabidhini Mbowe pesa zote mlizochangisha ndani na nje kabla hamjaumbuliwa

Kuna taarifa Lisu kusikia Mbowe katoka kaahirisha kurudi Tanzania kuogopa kubanwa
 
Kesi ya Jinai haiozi hata baada ya miaka 20 inawezekana akaja DDP mwengine akaifufua kesi na ikaanza upya.
jambo la msingi hapa ni Mbowe kubadilika na kuachana na vitendo vya kihalifu.
Zandrano Issue siyo Mbowe kubadilika ni wewe kubadilika tumia UBONGO kufikiri maana hivyo ulivyo unatumia uji kufikiri.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Freeman Mbowe kuachiwa huru inatarajiwa atatokea gerezani Ukonga na kufika kwanza Kwenye Makao Makuu ya Chama chake, Kinondoni mtaa wa Ufipa, bila shaka atatoa hotuba fupi ya kusalimia wanachama na wananchi.

Sasa baada ya kulijua hilo wananchi kwa maelfu wamevamia Makao Makuu hayo kwa lengo la kumsubiri Mwamba.

Jionee mwenyewe

View attachment 2138527
Mungu ibariki CHADEMA
 
Back
Top Bottom