Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Makao Makuu ya CHADEMA yafurika, umati wafunga mtaa baada ya Mbowe kuachiwa huru

Pamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.

Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k

Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Mmeshindwa kuendelea kuhofia kuumbuka... Yaani mliwategemea mashahidi sampuli ya Urio??? Aibu sana
 
Nimejiuliza tu, baada ya haya Halima Mdee anajionaje?

Anajisikiaje?
Anajiona Halima Mdee na anajisikia Halima Mdee.

Ulitaka aishi kwa kufata fikra zako? Jifirie wewe achana na kufikiria wasio kuhusu.

Punguani wahed.
 
Ni mama au DPP?. Na unamshukuru mama kwa lipi wakati watu walikuwa wameandaa ushahidi wao?. Unamshukuru mtu aliyesema umekimbia kwa sababu ya ugaidi?.

Yani ninyi ndiyomaana mnapitia magumu na lichamalenu. Na msahau kushika nchi,, mjinga gani atakubali watu from NORTH waliongoze taifa!! Umesahau zitto alichoongea na mama, umesahau huko ubelgiji mama alipokutana na tundu lisu!!! Unataka kutuambia huo siyo msamaha wa huyu mama!!!! Acheni kujimwambafai wakati uwezo wenyewe wa kujitetea hamuna.


Mama God bless you, hautasahaulika kwa wananchi wako. Tunakupenda mama. Mama ni mama tu.
 
Nakuonea huruma yani,povu lote lile afu Mungu si wewe kamsaidia kaachiwa baada ya kugundua Kesi ya maagumashi.Kuna watu leo watapatwa na home za ghafla kwa mawazo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app

Nimefurahi wameachiwa huru.


God bless mama la mamama. Wamshukuru sana huyu mama, ni kipenzi cha watu, ana utu ana imani na huruma.
 
Kwa taarifa nilizonazo za ndani ya Chadema Lisu na Lema hawajafurahia walikuwa wakipiga pesa sana kwa Mbowe kuwa ndani wakichangisha michango na kuila wakijua hatoki

Sasa katoka Lema na Lisu mkabidhini Mbowe pesa zote mlizochangisha ndani na nje kabla hamjaumbuliwa

Kuna taarifa Lisu kusikia Mbowe katoka kaahirisha kurudi Tanzania kuogopa kubanwa
Baada ya kuchanganyikiwa unaanza kuchanganya madesa???Tuliza akili utaokota makopo.Acha siye tuendelee kufurahi ukweli umeshindwa uwongo.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Huu utoto umecopy na kupost kwenye kila uzi unaishia kuonyesha utoto wako.
Tindo unakwama wapi? Utalinganisheje upumbafu wa huyo ‘mfalme juha zamaradi’ na utoto?! Utoto Una heshima zake mkuu!
 
Yani ninyi ndiyomaana mnapitia magumu na lichamalenu. Na msahau kushika nchi,, mjinga gani atakubali watu from NORTH waliongoze taifa!! Umesahau zitto alichoongea na mama, umesahau huko ubelgiji mama alipokutana na tundu lisu!!! Unataka kutuambia huo siyo msamaha wa huyu mama!!!! Acheni kujimwambafai wakati uwezo wenyewe wa kujitetea hamuna.


Mama God bless you, hautasahaulika kwa wananchi wako. Tunakupenda mama. Mama ni mama tu.
Dpp kafuta Kesi full stop.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Anajiona Halima Mdee na anajisikia Halima Mdee.

Ulitaka aishi kwa kufata fikra zako? Jifirie wewe achana na kufikiria wasio kuhusu.

Punguani wahed.
Naona mjane una hasira sana na ashki zimekujaa kumgusa mzee wako Mdee. Nasikia Halima ni bingwa sana wa kuwaliwaza nyie wajane. Wapi nimesema au kutaka aishi kwa fikra zangu?

Inawauma sana Mbowe na CHADEMA kutake headlines na bado....

Tuliwaambia CHADEMA ni mpango wa Mungu sio hizo jumuia zenu za kwa mtoro na manyema zilizojaa wakoma.
 
Ofisi mbona hamuonyeshi hiyo kama banda kama la kufuga kuku

Mumekula hela za wafadhili wa Ndani na nje ofisi hamjengi

BBC ,nk mkichukua picha chukueni na picha ya hiyo ofisi ulimwengu uone pesa zao zilivyoliwa
Nakukumbusha tu kuwa Sabaya ni mfungwa wa miaka 30
 
Acha upumbavu, kama unafikiri kuwa kwa Mbowe kuwekwa mahabusu Ndiyo njia ya kumnyamazisha, utakuwa na uharo kichwani.

Ikiwa tu, amekataa kuomba msamaha mliomlazimisha Hadi mkaomba poo atawezaje kunyamaza.

Ndiyo kwanza mmemwongezea umaarufu, ama kweli kama ninyi ndio washauri wa ccm basi utafiti wa TWAWEZA utaendelea kuwa hai kwa muda mrefu.
IMG-20180405-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom