Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,040
- 2,674
Mmeshindwa kuendelea kuhofia kuumbuka... Yaani mliwategemea mashahidi sampuli ya Urio??? Aibu sanaPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.