Kwa taarifa nilizonazo za ndani ya Chadema Lisu na Lema hawajafurahia walikuwa wakipiga pesa sana kwa Mbowe kuwa ndani wakichangisha michango na kuila wakijua hatoki
Sasa katoka Lema na Lisu mkabidhini Mbowe pesa zote mlizochangisha ndani na nje kabla hamjaumbuliwa
Kuna taarifa Lisu kusikia Mbowe katoka kaahirisha kurudi Tanzania kuogopa kubanwa