Makao makuu ya chedema taifa kuhamishiwa Arusha

sina ubaya na mtu, kiroho safi tyu tunafurahi....
nimeridhika na Neema na baraka za Mungu alizonijaaliya..

furaha, karaha ndio mtindo wa maisha yangu, nakwepaje sasa kwa mfano,

wananchi wenyewe kila mtu ana changamoto yake, uipe kipaumbele ipi kuitatua, uiache ipi au ipi isubiri kidogo.

utafanyaje sasa, uchukie, unune, uzire, ususe au ukomae nazo ziishe uwe free....

chadema, CHAUMA, ACT, UDP, TADEA CUF na vyama vingine vya kisiasa zaidi ya 20, ni ndugu zangu, jirani zangu, marafiki zangu kwanini tusifurahike na kucheka pamoja maisha na siku zikasonga vizuri?

eti gentleman,
hiyo si ni muzuri πŸ’
 
Kichaa
 
Acha kupoteza mda na Chadema wenzako wengi tu walijiapiza wstaua Chadema wakafa wao yuko wapi jiwe to uko wapi Mzee wa gombe?
Imeandikwa,
'Kuishi ni Kristo kufa ni Faida'

usiogope, usitishike kizembe zembe gentleman πŸ’
 


Sasa haya ni mawazo yako au vipi kama ni mawazo yako sema haya ni mawazo yangu na sio kuandika uvumi kama vile ni kweli
 
Mnataka kuharibu Chama. Acheni hizi mambo.
ni mjumbe ametoa tu pendekezo sio kwamba eti ndio imepita hiyo no, bado mchakato ndani ya Chadema haujaanza πŸ’

wewe unaonaje?

au wewe umeona hatari hiyo tu uliyobainisha πŸ’
 
Sasa haya ni mawazo yako au vipi kama ni mawazo yako sema haya ni mawazo yangu na sio kuandika uvumi kama vile ni kweli
gentleman relax, don't panic,

nisome vizuri tena, ikiwezekana rudia hata mara tatu, itakusaidia na itapunguza taharuki kwa kiasi kikubwa sana πŸ’
 
Naunga mkono hoja ya Makao Makuu ya Chadema kuhamishiwa Arusha. Pia ni jirani na Singida kwa Tundu Lissu! Ahahahahaha!!!!
 
CHEDEMA ndio kitu gani?
ni miongoni mwa vyama vya upinzani dhaifu sana nchini, chenye mbunge moja tu wa Jimbo wa kuchaguliwa na lakini kina usajili wa kudumu nchini, kwa jina kamili la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kiufupi (CHADEMA)πŸ’
 
Au sio? Endelea kula raha, unaeleweka kiasi chake.
 
Cookie huyu member mara nyingi anatoa taarifa za Uongo hapa jukwaani zinazo husu CHADEMA. Huu utaratibu unaruhusiwa??
 
kwahiyo huelewi kama hili jambo ni jema au ni changamoto kwa mustakabali wa Chadema,

ispokua wewe imeishia kuhemka tu, sasa itakusaidia nini 🀣
Ujinga ni kuutetea ujinga ujinga zaidi ni kuuishi ujinga wewe ni zaidi ya mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…