MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Umepata kichaa mwandamizi hapa jukwaani ?Mimi naona makao makuu ya chama yangekuwa nyumbani kwa Mbowe kwenye nyumba yake .maana akili zao CHADEMA wanazijuwa wao wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata kichaa mwandamizi hapa jukwaani ?Mimi naona makao makuu ya chama yangekuwa nyumbani kwa Mbowe kwenye nyumba yake .maana akili zao CHADEMA wanazijuwa wao wenyewe
sina ubaya na mtu, kiroho safi tyu tunafurahi....Sikujua kuwa hata siasa inaweza kumpa mtu raha za bliss kiasi hiki. Mkuu naona comment zote za wadau, njema na mbovu, zote heri. Zinakupa raha tu. Kazi ya “kuicheka” CHADEMA ni burdani tupu! Ni uzi baada ya uzi wa kejeli kwa raha żako.😎
Well, keep enjoying the ride while the going is still euphoric, ni wakati wako huu.
Kichaalengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.
hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..
mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...
tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kuamua itakavyokua..
ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini kwakweli hazijakisaidia sana chama vya kutosha.
Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...
kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?
au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?[emoji205]
Mimi naona kwenye nyumba ya Mbowe nyumbani kwake ndio utapendeza zaidi .au wewe unaonaje?Umepata kichaa mwandamizi hapa jukwaani ?
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.
hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..
mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...
tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kuamua itakavyokua..
ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini kwakweli hazijakisaidia sana chama vya kutosha.
Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...
kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?
au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
gentleman relax, don't panic,Sasa haya ni mawazo yako au vipi kama ni mawazo yako sema haya ni mawazo yangu na sio kuandika uvumi kama vile ni kweli
Naunga mkono hoja ya Makao Makuu ya Chadema kuhamishiwa Arusha. Pia ni jirani na Singida kwa Tundu Lissu! Ahahahahaha!!!!lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.
hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa ni wapi, yakutuhakikishia hata jimbo moja tu kwamba tutashinda? wapi nitajie..
alidokeza mnyetisha wa tetesi hii kwa kujiamini sana..
mwenyekiti Taifa,
anawafuasi wengi wa uhakika na wakuaminika kaskazini, hasa katika mkoa wa Arusha, lakini pia Kilimanjaro na Manyara anakubalika sana na chama kinaweza kujihakikishia kitu kule..
na huko ndiko chadema inawafuasi wengi, wanachama wengi, mashabiki wengi na wapiga kura wengi zaidi ya mahali pengine popote nchini...
tayari pendekezo hili limeshawasiishwa na mjumbe moja mwandamizi wa chama, kanda, tunasubiri vikao vya kamati kuu vikae, pendekezo lipokelewe, lijadiliwe na baadae mkutano mkuu kutoa kauli ya mwisho na kuamua itakavyokua..
ofisi za kanda,
ndiyo zipo, lakini kwakweli hazijakisaidia sana chama vya kutosha.
Dar es salaam, Zanzibar na Dodoma zitabaki kua ofisi ndogo ndogo za makao makuu, lakini pia ndizo zitakazokua ofisini kuu za kanda husika..
alihitimisha mnyetisha wa tetesi hii...
kisiasa,
Je, pendekezo hili likiafikiwa na mkutano mkuu, linaweza kuwasaidia chadema katika kujijengea ngome imara na ya uhakika sehemu fulani nchini, huko tunapoelekea na ikawa na sura kama ilivyo ACT Pemba?
au halina tija, ni kupoteza wakati na pesa tu,
bora waconcentrate na issue nyingine za kukijenga chama chao?🐒
ni miongoni mwa vyama vya upinzani dhaifu sana nchini, chenye mbunge moja tu wa Jimbo wa kuchaguliwa na lakini kina usajili wa kudumu nchini, kwa jina kamili la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, kiufupi (CHADEMA)🐒CHEDEMA ndio kitu gani?
Au sio? Endelea kula raha, unaeleweka kiasi chake.sina ubaya na mtu, kiroho safi tyu tunafurahi....
nimeridhika na Neema na baraka za Mungu alizonijaaliya..
furaha, karaha ndio mtindo wa maisha yangu, nakwepaje sasa kwa mfano,
wananchi wenyewe kila mtu ana changamoto yake, uipe kipaumbele ipi kuitatua, uiache ipi au ipi isubiri kidogo.
utafanyaje sasa, uchukie, unune, uzire, ususe au ukomae nazo ziishe uwe free....
chadema, CHAUMA, ACT, UDP, TADEA CUF na vyama vingine vya kisiasa zaidi ya 20, ni ndugu zangu, jirani zangu, marafiki zangu kwanini tusifurahike na kucheka pamoja maisha na siku zikasonga vizuri?
eti gentleman,
hiyo si ni muzuri 🐒
Ujinga ni kuutetea ujinga ujinga zaidi ni kuuishi ujinga wewe ni zaidi ya mjingakwahiyo huelewi kama hili jambo ni jema au ni changamoto kwa mustakabali wa Chadema,
ispokua wewe imeishia kuhemka tu, sasa itakusaidia nini 🤣