Tangia wapite wateule wa chama wameondoka na nyota yake yapilau kavuYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Duh! ulikunya Kreti la bia...Siku akifa makonda nitafurahi sana kama nilivyokunya cret nzima ya bia siku alipokufa jpm
Yaani duh roho mbayaNdiyo ujue wananchi wa Nchi hii ya Tanzania, wengi tunaongozwa na chuki na ushabiki, mpaka tunachokitaka inakua hatukijui.
Watu wamejaliwa maumbile sipati picha hilo nyeo la kupitisha kreti la bia.Duh! ulikunya Kreti la bia...
Huyu sio mjinga,huyu ni MPUMBAVU.Ulichokiandika hapa ndiyo tafsiri halisi ya mjinga. Wewe ni mjinga. Mjinga hukesha kufurahia anguko la watu wema.
Mizimu ndio nini,tuanzie hapo!!Kwa hiyo kwako wewe kuabudu mizimu ya kwenu ni ushirikina, na kuabudu vya wazungu na waarabu au wahindu kwako ninini?
Humpendi unataka akuoeYaani simpendi makonda ila Arusha katulia na anafanya kazi alliyotumwa.
Makonda wa dsm alikua mbogo kweli kweli.
migogolo
migogolo
Mh 🤔Ngolongoro