Makao Makuu ya EAC Makonda hoi bin taabani.

Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.

Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.

Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.

Ngongo kwasasa Makuyuni.
Tangia wapite wateule wa chama wameondoka na nyota yake yapilau kavu
 
Ndiyo ujue wananchi wa Nchi hii ya Tanzania, wengi tunaongozwa na chuki na ushabiki, mpaka tunachokitaka inakua hatukijui.
Yaani duh roho mbaya
Wangapi wanaoharibu na hakuna Cha maana
Bora ht makonda Kuna kitu kafanya aisee ht km aluzingua huko awali

Kila mmoja ana stahili nafasi ya pili
 
Alhamdulilah kijana wetu amerejea akiwa na siha njema.
 
Kwa hiyo kwako wewe kuabudu mizimu ya kwenu ni ushirikina, na kuabudu vya wazungu na waarabu au wahindu kwako ninini?
Mizimu ndio nini,tuanzie hapo!!

Unamaanisha wafu wanasikia na kupokea Ibada Toka Kwa Walio hai?
 
Kama kawaida, nyumbu mmekosa cha kuandika inabidi mmrudie Makonda ili mtrendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…