Makao makuu ya wilaya ya Iramba, Mwigulu anahusika

Makao makuu ya wilaya ya Iramba, Mwigulu anahusika

Juzi tarehe 5 Machi, kamati ya ushauri ya wilaya ya Iramba DCC, ilipitisha maamuzi ya kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba,yaliyopo Kiomboi kwenda Kijiji cha Misigiri.Kikao hicho cha DCC kiliongozwa na Mkuu wa wilaya Mwenda.

Katibu wa kikao hicho mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya, alitoa hoja ya kuhamisha makao makuu ya wilaya, na sababu alizozitoa mosi, halmashauri haina majengo kwa kuwa yaliyopo ni ya serikali kuu.

Pili hospitali ya wilaya ni mali ya kkkt.

Ikumbukwe kuwa hila za kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba zimeanza siku nyingi.Maamuzi haya yamekiuka sheria kwa kuwa hayajawashirikisha wananchi.

Na uamuzi huu unakwenda kuua mji wa Kiomboi kwa kuwa Kiomboi haina kivutio kingine. Mwigulu anawatumia DC Mwenda na mkurugenzi Matomola, na wanapelekwa Denmaki.
kijiografia kijiji cha misigiri kinafaa kuwa makao makuu ya wilaya ya iramba kwa kuwa kinapitiwa na barabara kuu kutoka dar na arusha kwenda mwanza na kahama.
 
Kiomboi iko pembeni sana kutoka barabara kuu, ni mwendo wa kilometa kadhaa ukichepuka kuacha barabara kuu. Cha kufanya ni kukipanga vizuri kijiji cha misigiri kiwe mji wa makao makuu ya wilaya ya iramba. Mji wa kiomboi ubaki kuwa mji wa kihistoria
 
Kiomboi iko pembeni sana kutoka barabara kuu, ni mwendo wa kilometa kadhaa ukichepuka kuacha barabara kuu. Cha kufanya ni kukipanga vizuri kijiji cha misigiri kiwe mji wa makao makuu ya wilaya ya iramba. Mji wa kiomboi ubaki kuwa mji wa kihistoria
Hebu niulize swali dogo . Hicho ndicho kipaumbele cha wilaya hiyo.
 
kijiografia kijiji cha misigiri kinafaa kuwa makao makuu ya wilaya ya iramba kwa kuwa kinapitiwa na barabara kuu kutoka dar na arusha kwenda mwanza na kahama.
Hoja sio kufaa au kutokufaa kuhamisha halmashauri na hospitali ya wilaya ni matumizi mabaya ya fedha za umma.pili wananchi wa iramba hawajashirikishwa.
 
Kiomboi iko pembeni sana kutoka barabara kuu, ni mwendo wa kilometa kadhaa ukichepuka kuacha barabara kuu. Cha kufanya ni kukipanga vizuri kijiji cha misigiri kiwe mji wa makao makuu ya wilaya ya iramba. Mji wa kiomboi ubaki kuwa mji wa kihistoria
Mawazo yako ni ya hovyo
 
Juzi tarehe 5 Machi, kamati ya ushauri ya wilaya ya Iramba DCC, ilipitisha maamuzi ya kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba,yaliyopo Kiomboi kwenda Kijiji cha Misigiri.Kikao hicho cha DCC kiliongozwa na Mkuu wa wilaya Mwenda.

Katibu wa kikao hicho mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya, alitoa hoja ya kuhamisha makao makuu ya wilaya, na sababu alizozitoa mosi, halmashauri haina majengo kwa kuwa yaliyopo ni ya serikali kuu.

Pili hospitali ya wilaya ni mali ya kkkt.

Ikumbukwe kuwa hila za kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba zimeanza siku nyingi.Maamuzi haya yamekiuka sheria kwa kuwa hayajawashirikisha wananchi.

Na uamuzi huu unakwenda kuua mji wa Kiomboi kwa kuwa Kiomboi haina kivutio kingine. Mwigulu anawatumia DC Mwenda na mkurugenzi Matomola, na wanapelekwa Denmaki.
Vita nyingine isiyo na akili hii.
Kuna viongozi wanaamini wana akili kuliko wananchi
 
Juzi tarehe 5 Machi, kamati ya ushauri ya wilaya ya Iramba DCC, ilipitisha maamuzi ya kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba,yaliyopo Kiomboi kwenda Kijiji cha Misigiri.Kikao hicho cha DCC kiliongozwa na Mkuu wa wilaya Mwenda.

Katibu wa kikao hicho mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya, alitoa hoja ya kuhamisha makao makuu ya wilaya, na sababu alizozitoa mosi, halmashauri haina majengo kwa kuwa yaliyopo ni ya serikali kuu.

Pili hospitali ya wilaya ni mali ya kkkt.

Ikumbukwe kuwa hila za kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba zimeanza siku nyingi.Maamuzi haya yamekiuka sheria kwa kuwa hayajawashirikisha wananchi.

Na uamuzi huu unakwenda kuua mji wa Kiomboi kwa kuwa Kiomboi haina kivutio kingine. Mwigulu anawatumia DC Mwenda na mkurugenzi Matomola, na wanapelekwa Denmaki.
Maandalizi ya kugombea 2030 kama sio 2025 kulingana na upepo utakavyovuma
 
Hoja sio kufaa au kutokufaa kuhamisha halmashauri na hospitali ya wilaya ni matumizi mabaya ya fedha za umma.pili wananchi wa iramba hawajashirikishwa.
kwani we humjui mwigulu? Yule ni mfalme wa iramba, atakachoamua hakuna wa kumpinga, ni utekelezaji tu
 
Yuko sahihi kabisa. Kiomboi Iko pembeni sana. Misigiri panafaa kuwa makao makuu ya Wilaya ya Iramba. Hata Wilaya ya Kwimba wafanye haraka mchakato wa kuhamisha makao makuu ya Wilaya kutoka Ngudu ambako ni pembeni kwenda Hungumalwa kwenye barabara kuu.
 
Juzi tarehe 5 Machi, kamati ya ushauri ya wilaya ya Iramba DCC, ilipitisha maamuzi ya kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba,yaliyopo Kiomboi kwenda Kijiji cha Misigiri.Kikao hicho cha DCC kiliongozwa na Mkuu wa wilaya Mwenda.

Katibu wa kikao hicho mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya, alitoa hoja ya kuhamisha makao makuu ya wilaya, na sababu alizozitoa mosi, halmashauri haina majengo kwa kuwa yaliyopo ni ya serikali kuu.

Pili hospitali ya wilaya ni mali ya kkkt.

Ikumbukwe kuwa hila za kuhamisha makao makuu ya wilaya ya Iramba zimeanza siku nyingi.Maamuzi haya yamekiuka sheria kwa kuwa hayajawashirikisha wananchi.

Na uamuzi huu unakwenda kuua mji wa Kiomboi kwa kuwa Kiomboi haina kivutio kingine. Mwigulu anawatumia DC Mwenda na mkurugenzi Matomola, na wanapelekwa Denmaki.
Duu mji unatakiwa ujengwe na biashara na shughuli nyingine za uzalishaji na sio hizo na makao mkuu
 
Hapo maana yake kwenye bajeti ijayo watatengewa fedha za majengo ya Dc, Halmashauri na Taasisi nyingine za serikali
 
Back
Top Bottom